Katika jambo kubwa ninalojivunia, ni kutambua kuwa hakunaga UCHAWI

Katika jambo kubwa ninalojivunia, ni kutambua kuwa hakunaga UCHAWI

Naona mtoto ushashiba nyonyo ya mama unakuja kuandika ujinga hapa JF. Kama uchawi haupo kaa zako kimya usitake kila mtu aamini huo upuuzi.
 
Sijalewa mkuu ninajiamini tu kila siku.. Kama ni jinamizi tayari Lina jibu lake kwamba ni sleep paralysis.. Sasa tukio gani la ajabu laweza kutokea maishani tukasema uchawi au kufilisika?? Au kukosa wateja dukani yaani kipi Kwa mfano kitaje
Ila nna swali hapa,

Hii sleep paralysis kwanini haimtokei kila mtu ?

Na inayemtokea kwanini haimtokei siku zote au kila siku ? Naomba majibu ya kisayansi nahitaji kujifunza jambo hapa
 
Kama Uchawi haupo na shetani hayupo naasi kama shetani hayupo na Mungu hayupo. Kama Mungu yupo na shetani yupo kama shetani yupo na uchawi upo. Mungu ana nguvu kuliko sheitwani. Asiyeamini Mungu hayupo amelaaniwa.
 
Nawasikitia sana watu ambao wamebaki kuamini kwamba hapa duniani kuna kitu kinachoitwa uchawi na kinafanya kazi. aisee hakuna kitu kama hicho binadamu ni mnyama tu ana limit zake yako miujiza hawezi tu kufanya mfano kupotea na kwenda kutokea sehemu nyingine au eti kujibadilisha umbo..

kuamini uchawi ni ujinga naini uoga uliopitiliza mimi nimeshapita mazingira mengi sana tu kuanzia makaburini, mabaharini, misituni usiku Kwa usiku na sijawahi kuona badiliko lolote nikalihusisha na eti ni mbinu za kishetani. Maisha yapo tu the way yapo magonjwa yapo ya Kuua so hata Ukifa ghafla hujalogwa tunakupima tunajua ulikuwa na ugonjwa gani..

Zamani kweli mambo mengi yalikuwa hayajagunduliwa maswali yasiyo na majibu yalikuwa mengi.. Pressure, kisukari, kifafa na magonjwa ya akili haya kujulikana hivyo watu akili zao ilibidi ziishie kwenye kuamini uchawi kwamba Ukifa na ugonjwa wasioujua basi umelogwa..

Uchawi upo Kwa dhana kwamba una fanywa (Wana upractice Kwa mazoea yao ila hautendi lolote yaani huwezi ukawa tabora eti umuue mtu yupo dar (hakuna outcome yoyote).

Ndo maana mimi daima napenda mtu ninayefanya naye mijadala awe haamini hakuna uchawi nitamkubali sana nitaona kichwa chake kinaweza ku solve mysterious mbalimbali.. mbona simple tu MUNGU YUPO, UKICHAA UPO, MAARIFA YAPO, NGUVU ZIPO ILA UCHAWI HAUPO LABDA UCHAWA.mwingine unakuta eti kisa tu ana kidonda kilichokataa kupona basi wanaelekeza fikra kwamba ni cha kulogwa cha kichawi mbona ishu kama hiyo ni nyepesi kwamba akili yako haitaki kuamini kama kidonda hakiwezi tu kupona Kwa sababu nyingine za afya au mazingira Mpaka utuhumu uchawi?

Wamechelewa. Waonee huruma sana wanaendekeza uchawi na ushirikina
 
Nawasikitia sana watu ambao wamebaki kuamini kwamba hapa duniani kuna kitu kinachoitwa uchawi na kinafanya kazi. aisee hakuna kitu kama hicho binadamu ni mnyama tu ana limit zake yako miujiza hawezi tu kufanya mfano kupotea na kwenda kutokea sehemu nyingine au eti kujibadilisha umbo..

kuamini uchawi ni ujinga naini uoga uliopitiliza mimi nimeshapita mazingira mengi sana tu kuanzia makaburini, mabaharini, misituni usiku Kwa usiku na sijawahi kuona badiliko lolote nikalihusisha na eti ni mbinu za kishetani. Maisha yapo tu the way yapo magonjwa yapo ya Kuua so hata Ukifa ghafla hujalogwa tunakupima tunajua ulikuwa na ugonjwa gani..

Zamani kweli mambo mengi yalikuwa hayajagunduliwa maswali yasiyo na majibu yalikuwa mengi.. Pressure, kisukari, kifafa na magonjwa ya akili haya kujulikana hivyo watu akili zao ilibidi ziishie kwenye kuamini uchawi kwamba Ukifa na ugonjwa wasioujua basi umelogwa..

Uchawi upo Kwa dhana kwamba una fanywa (Wana upractice Kwa mazoea yao ila hautendi lolote yaani huwezi ukawa tabora eti umuue mtu yupo dar (hakuna outcome yoyote).

Ndo maana mimi daima napenda mtu ninayefanya naye mijadala awe haamini hakuna uchawi nitamkubali sana nitaona kichwa chake kinaweza ku solve mysterious mbalimbali.. mbona simple tu MUNGU YUPO, UKICHAA UPO, MAARIFA YAPO, NGUVU ZIPO ILA UCHAWI HAUPO LABDA UCHAWA.mwingine unakuta eti kisa tu ana kidonda kilichokataa kupona basi wanaelekeza fikra kwamba ni cha kulogwa cha kichawi mbona ishu kama hiyo ni nyepesi kwamba akili yako haitaki kuamini kama kidonda hakiwezi tu kupona Kwa sababu nyingine za afya au mazingira Mpaka utuhumu uchawi?
Ila unaamini kuna mungu wa Yakobo na Ibrahim🤔
 
Usijivunie,! Wewe upo upo tu, hujui kinachoendelea katika ulimwengu wa roho. Sana sana umefunikwa na huu utamaduni wa kizungu unaojulikana kama ukristu!
 
acha usenge ungejua watu wanavyohangaika na uchawi usingeongea upuzi kama huo.we mwenyewe unaonekana mchawi tu
 
acha usenge ungejua watu wanavyohangaika na uchawi usingeongea upuzi kama huo.we mwenyewe unaonekana mchawi tu
Ukiita wa kumi uwaulize wakutajie shida zao kubwa mbili wote watataja hela na afya njema.. Yaani means shida kubwa ya binadamu ni umaskini na maradhi... Kuhusu maradhi karibia yote yanatambuliwa visababishi vyake, dalili na tiba..
 
Usijivunie,! Wewe upo upo tu, hujui kinachoendelea katika ulimwengu wa roho. Sana sana umefunikwa na huu utamaduni wa kizungu unaojulikana kama ukristu!
Ukiita wa kumi uwaulize wakutajie shida zao kubwa mbili wote watataja hela na afya njema.. Yaani means shida kubwa ya binadamu ni umaskini na maradhi hakuna hata mmoja ambaye atakwambia anasumbuliwa na wachawi kwamba hataki hela ye anataka umuondelee wachawi kwenye maisha yake. ... Kuhusu maradhi karibia yote yanatambuliwa visababishi vyake, dalili na tiba..
 
Hahaha sababu wewe uliwaona live wakikuchezea singeli na kiduku...

Alafu wana style yao ya kucheza kama wale wa kanga moko...
Singeli 😂😂😂😂!
Smart wee ni chizi ujue hahaha

Kanga moko ndo wanachezaje kwani ???

Naombapo mwongozo pulllllllliiiiiiiiizzzzz 😊!
 
Uchawi haupo? Nyie kenge kweli?

Angekuwepo Hayati Magufuli tungemwuliza kuhusu ule moshi ulipotokea alipokuwa ziarani kule mikoa ya Kusini.

Mnafikiri ule moshi ulitoka wapi? Kama ulikuwa Moshi wa kawaida, mnafikiri Vyombo vya usalama vingeruhusu mwanakijiji awashe moto jirani na alipo Mhe.Rais? Mna akili kweli?
 
Ukiita wa kumi uwaulize wakutajie shida zao kubwa mbili wote watataja hela na afya njema.. Yaani means shida kubwa ya binadamu ni umaskini na maradhi... Kuhusu maradhi karibia yote yanatambuliwa visababishi vyake, dalili na tiba..
umeongea kibusara ila siambao tumekumbana na uchawi hatuwezi kukuelewa.
 
Nawasikitia sana watu ambao wamebaki kuamini kwamba hapa duniani kuna kitu kinachoitwa uchawi na kinafanya kazi. aisee hakuna kitu kama hicho binadamu ni mnyama tu ana limit zake yako miujiza hawezi tu kufanya mfano kupotea na kwenda kutokea sehemu nyingine au eti kujibadilisha umbo..

kuamini uchawi ni ujinga naini uoga uliopitiliza mimi nimeshapita mazingira mengi sana tu kuanzia makaburini, mabaharini, misituni usiku Kwa usiku na sijawahi kuona badiliko lolote nikalihusisha na eti ni mbinu za kishetani. Maisha yapo tu the way yapo magonjwa yapo ya Kuua so hata Ukifa ghafla hujalogwa tunakupima tunajua ulikuwa na ugonjwa gani..

Zamani kweli mambo mengi yalikuwa hayajagunduliwa maswali yasiyo na majibu yalikuwa mengi.. Pressure, kisukari, kifafa na magonjwa ya akili haya kujulikana hivyo watu akili zao ilibidi ziishie kwenye kuamini uchawi kwamba Ukifa na ugonjwa wasioujua basi umelogwa..

Uchawi upo Kwa dhana kwamba una fanywa (Wana upractice Kwa mazoea yao ila hautendi lolote yaani huwezi ukawa tabora eti umuue mtu yupo dar (hakuna outcome yoyote).

Ndo maana mimi daima napenda mtu ninayefanya naye mijadala awe haamini hakuna uchawi nitamkubali sana nitaona kichwa chake kinaweza ku solve mysterious mbalimbali.. mbona simple tu MUNGU YUPO, UKICHAA UPO, MAARIFA YAPO, NGUVU ZIPO ILA UCHAWI HAUPO LABDA UCHAWA.mwingine unakuta eti kisa tu ana kidonda kilichokataa kupona basi wanaelekeza fikra kwamba ni cha kulogwa cha kichawi mbona ishu kama hiyo ni nyepesi kwamba akili yako haitaki kuamini kama kidonda hakiwezi tu kupona Kwa sababu nyingine za afya au mazingira Mpaka utuhumu uchawi.

Ukiita wa kumi uwaulize wakutajie shida zao kubwa mbili wote watataja hela na afya njema.. Yaani means shida kubwa ya binadamu ni umaskini na maradhi hakuna hata mmoja ambaye atakwambia anasumbuliwa na wachawi kwamba hataki hela ye anataka umuondelee wachawi kwenye maisha yake. ... Kuhusu maradhi karibia yote yanatambuliwa visababishi vyake, dalili na tiba..
Wewe hujitambui!
 
Back
Top Bottom