Katika jambo la ovyo na la aibu amefanya mwenyekiti wa CCM ni kumteua Makonda kuwa Katibu Mwenezi wa CCM

Katika jambo la ovyo na la aibu amefanya mwenyekiti wa CCM ni kumteua Makonda kuwa Katibu Mwenezi wa CCM

Huyu rais na mwenyekiti wa CCM ni kwamba kuna watu wanamwendesha km gari bovu au ni akili yake. Km ni kuendeshwa kwanini akubali akili zake hazimtoshi?

Aibu atakayoipata kumteua huyu bwana hatakaa asahau. Kwanza tukubaliane Makonda ni miongoni mwa wale io kateu hili fala?
Hicho cheo jamaa anapita tu ndugu utakufa kwa makasiriko we lia na Mungu wa Israel akupiganie upate maisha yako, japo waisrael wanapigana wenyewe. Akiteuliwa cheo alichoandaliwa sijui utasemaje tena.
 
Sagilo mbona unakata mauno kwa kelele za chumba cha jilani?, utaumiza kichwa chako bure,acha majilani wafanye yao,na wewe fanya ysko. Utakuwa mpumbavu kuanza kukata mauno kwa kelele za chumba cha jilani.
 
Huyu rais na mwenyekiti wa CCM ni kwamba kuna watu wanamwendesha km gari bovu au ni akili yake. Km ni kuendeshwa kwanini akubali akili zake hazimtoshi?

Aibu atakayoipata kumteua huyu bwana hatakaa asahau. Kwanza tukubaliane Makonda ni miongoni mwa wale binadamu wenye akili ndogo sana hapa duniani. Watu wa dizaini hiyo utawatambua kwa kupenda makuu, sifaa, mfahamu ndio kateu hili fala?
Tumeshaanza kuyaona,ni kubwata tu,Samia asubiri aibu yake.
 
Huyu rais na mwenyekiti wa CCM ni kwamba kuna watu wanamwendesha km gari bovu au ni akili yake. Km ni kuendeshwa kwanini akubali akili zake hazimtoshi?

Aibu atakayoipata kumteua huyu bwana hatakaa asahau. Kwanza tukubaliane Makonda ni miongoni mwa wale binadamu wenye akili ndogo sana hapa duniani. Watu wa dizaini hiyo utawatambua kwa kupenda makuu, sifaa, kuonekana, kujulikana, waropokaji, wazushi, watu wasioona aibu kufanya kioja cha aibu.

Kwangu mimi nafasi ya katibu wa itikadi na uenezi wa chama ni nafasi ndogo tu na ya kawaida. Angalia jitu lisilo na akili kila ofisi anayoenda ni maandamano, mapokezi makubwa yanayogharimu pesa bila sababu. Nafasi hii wamepewa watu wengi kwa nyakati tofauti sijawahi kushuhudia upumbavu wa kiwango cha juu cha huyu bwana. Tunakoelekea hata katibu mkuu wa CCM atakuja kuonekana ni mdogo kuliko Makonda.

Alipokuwa mkuu wa mkoa wa DSM alijikweza mpaka kufikia kuwadharau mawaziri kuwa hawana totauti na yeye wakati kimsingi alikuwa chini ya waziri wa TAMISEMI. Alijiona ndio makamu wa rais zaidi ya hata waziri mkuu.

Sahivi tutashuhudia mtu pekee atakayemheshimu na kumwogopa atakuwa rais pekee. Hili ni janga, Samia umepotea njia, hili jitu halifai kuwa hata balozi wa CCM wa nyumba kumi. Ama kweli miujiza ipo.

Badala aingie ofisini kimya kimya na kwa unyenyekevu ona mambo yanayofanyika na yana live coverage kuchezea kodi za wananchi maskini kipumbavu namna hii. Huyu lofa atakifanya CCM ichukiwe na wananchi, huyu atabomoa chama badala ya kukijenga. Hivi kweli ni Samia nayemfahamu ndio kateu hili fala?
maskiniiii....
inakutesaeeee, poleeh
kijana anakimbiza mbaya sanaee...
mwakani usijisahau kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi serikali za mitaa......
 
Huyu rais na mwenyekiti wa CCM ni kwamba kuna watu wanamwendesha km gari bovu au ni akili yake. Km ni kuendeshwa kwanini akubali akili zake hazimtoshi?

Aibu atakayoipata kumteua huyu bwana hatakaa asahau. Kwanza tukubaliane Makonda ni miongoni mwa wale binadamu wenye akili ndogo sana hapa duniani. Watu wa dizaini hiyo utawatambua kwa kupenda makuu, sifaa, kuonekana, kujulikana, waropokaji, wazushi, watu wasioona aibu kufanya kioja cha aibu.

Kwangu mimi nafasi ya katibu wa itikadi na uenezi wa chama ni nafasi ndogo tu na ya kawaida. Angalia jitu lisilo na akili kila ofisi anayoenda ni maandamano, mapokezi makubwa yanayogharimu pesa bila sababu. Nafasi hii wamepewa watu wengi kwa nyakati tofauti sijawahi kushuhudia upumbavu wa kiwango cha juu cha huyu bwana. Tunakoelekea hata katibu mkuu wa CCM atakuja kuonekana ni mdogo kuliko Makonda.

Alipokuwa mkuu wa mkoa wa DSM alijikweza mpaka kufikia kuwadharau mawaziri kuwa hawana totauti na yeye wakati kimsingi alikuwa chini ya waziri wa TAMISEMI. Alijiona ndio makamu wa rais zaidi ya hata waziri mkuu.

Sahivi tutashuhudia mtu pekee atakayemheshimu na kumwogopa atakuwa rais pekee. Hili ni janga, Samia umepotea njia, hili jitu halifai kuwa hata balozi wa CCM wa nyumba kumi. Ama kweli miujiza ipo.

Badala aingie ofisini kimya kimya na kwa unyenyekevu ona mambo yanayofanyika na yana live coverage kuchezea kodi za wananchi maskini kipumbavu namna hii. Huyu lofa atakifanya CCM ichukiwe na wananchi, huyu atabomoa chama badala ya kukijenga. Hivi kweli ni Samia nayemfahamu ndio kateu hili fala?
Makonda hafai kupewa nafasi hiyo, Samia atavuna alichopanda muda si mrefu.
 
Nachokiona ni kwamba huyu mwamba anakwenda kuivuruga CCM vibaya zaidi ya ilivyo sasa, tatizo huyu mwamba huwa hana mipaka ya kazi yake na project zake karibia zote huwa zinafeli.
 
Huyu rais na mwenyekiti wa CCM ni kwamba kuna watu wanamwendesha km gari bovu au ni akili yake. Km ni kuendeshwa kwanini akubali akili zake hazimtoshi?

Aibu atakayoipata kumteua huyu bwana hatakaa asahau. Kwanza tukubaliane Makonda ni miongoni mwa wale binadamu wenye akili ndogo sana hapa duniani. Watu wa dizaini hiyo utawatambua kwa kupenda makuu, sifaa, kuonekana, kujulikana, waropokaji, wazushi, watu wasioona aibu kufanya kioja cha aibu.

Kwangu mimi nafasi ya katibu wa itikadi na uenezi wa chama ni nafasi ndogo tu na ya kawaida. Angalia jitu lisilo na akili kila ofisi anayoenda ni maandamano, mapokezi makubwa yanayogharimu pesa bila sababu. Nafasi hii wamepewa watu wengi kwa nyakati tofauti sijawahi kushuhudia upumbavu wa kiwango cha juu cha huyu bwana. Tunakoelekea hata katibu mkuu wa CCM atakuja kuonekana ni mdogo kuliko Makonda.

Alipokuwa mkuu wa mkoa wa DSM alijikweza mpaka kufikia kuwadharau mawaziri kuwa hawana totauti na yeye wakati kimsingi alikuwa chini ya waziri wa TAMISEMI. Alijiona ndio makamu wa rais zaidi ya hata waziri mkuu.

Sahivi tutashuhudia mtu pekee atakayemheshimu na kumwogopa atakuwa rais pekee. Hili ni janga, Samia umepotea njia, hili jitu halifai kuwa hata balozi wa CCM wa nyumba kumi. Ama kweli miujiza ipo.

Badala aingie ofisini kimya kimya na kwa unyenyekevu ona mambo yanayofanyika na yana live coverage kuchezea kodi za wananchi maskini kipumbavu namna hii. Huyu lofa atakifanya CCM ichukiwe na wananchi, huyu atabomoa chama badala ya kukijenga. Hivi kweli ni Samia nayemfahamu ndio kateu hili fala?
Tena sana
 
Ipo siku damu ya Ben Sanane atailipia.

Waulizeni viongozi wenu wa chama (CDM) wamefanya juhudi gani kuhusu ndugu Ben
Wakikupa jibu linaloeleweka uje sasa na haya
Madai yako ambayo hawana evidence yoyote.
Hamtaki kuwajibika mnataka public sympathy,
That shit now is over. Msimpangie katibu cha
Kufanya job description anayo na responsibilities
and duties plus boundaries anajua wewe mwenzangu na mimi tafuta daily bread.
 
Back
Top Bottom