Katika Kanda 10 za CHADEMA, Lissu anaweza kuambulia kura kutoka maeneo gani?

Katika Kanda 10 za CHADEMA, Lissu anaweza kuambulia kura kutoka maeneo gani?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Kimsingi, CHADEMA kama chama cha siasa nchini, kina kanda 10 za kiutawala.

Na kanda zote 10 zina viongozi waandamizi ambao wamechaguliwa awamu hii katika uchaguzi ambao ulianza mapema 2023 na utahitishwa rasmi na uchaguzi ngazi ya Taifa Jan.22,2025.

Viongozi karibu wa kanda zote 10 waliochaguliwa hivi karibuni na viongozi mikoa na wilaya kadhaa nchini, waliweka wazi misimamo yao dhidi ya nani ambaye wanamuunga mkono kwenye nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa2025-2030.

Kama mdau wa siasa na demokrasia, na kwa kutumia hisabati ya siasa, unadhani Tundu Antipas Lissu anaweza kupata kuungwa mkono kutoka kwa wajumbe wa mktano mkuu wa CHADEMA Taifa, kutoka katika kanda zipi? Mikoa na wilaya zipi haswa hata awe Mwenyekiti wa chadema Taifa?

Na vipi kuhusu Freeman Aikaeli Mbowe, kwa kutumia sayansi ya siasa, anaweza kujizolea kura nyingi zaidi za kishindo kutoka kanda zipi za kiutawala, mikoa ipi na wilaya zipi humu nchini?

Mungu Ibariki Tanzania
 
Ukanda itakuwa na nafasi finyu kidogo
Mambo yatakayoamua matakoeo ni haya yafuatayo,;
1: Uzalendo kwa Taifà
2:Uchawa
3:Rushwa
4:Ukabila
5:ukanda
Note: Uwiano wa kura kwa mtiririko huu, utategemeana na Hali ya kisiasa kwa Siku hizo mbili,ndani ya ukumbi,Ndani ya Chama husika kwa Siku za mwisho kabisa na Hali ya Siasa Kitaifa kwa wakati huo!
Ila Mungu kama kawaida atasimama upande wa Haki!
 
Mbowe alihakikisha kuanzia ngazi za chini anaweka loyalists wake hadi ngazi ya Kanda. Lissu alikuja kushtuka ngazi ya kanda tena akiwa amechelewa. Ndio maana amebakiza wapiga kura wa mitandaoni ambao sio miongoni mwa wapiga kura 1200. Mbowe na watu wake wengi hawahangaiki mitandaoni kwasababu "hesabu" wanazijua.

Na itakuwa ajabu sana kama Lissu atabaki Chadema, maana kuna kuondoka aidha kwa aibu ya kushindwa vibaya au kutoamini kuwa alikuwa anaungwa mkono na watu sio huku wanachadema hawana habari naye au kufukuzwa na chama kwa misconduct.

Nimekaa pale nasubiria tarehe 21/1/2025!
 
Kimsingi, CHADEMA kama chama cha siasa nchini, kina kanda 10 za kiutawala.

Na kanda zote 10 zina viongozi waandamizi ambao wamechaguliwa awamu hii katika uchaguzi ambao ulianza mapema 2023 na utahitishwa rasmi na uchaguzi ngazi ya Taifa Jan.22,2025.

Viongozi karibu wa kanda zote 10 waliochaguliwa hivi karibuni na viongozi mikoa na wilaya kadhaa nchini, waliweka wazi misimamo yao dhidi ya nani ambaye wanamuunga mkono kwenye nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa2025-2030.

Kama mdau wa siasa na demokrasia, na kwa kutumia hisabati ya siasa, unadhani Tundu Antipas Lissu anaweza kupata kuungwa mkono kutoka kwa wajumbe wa mktano mkuu wa CHADEMA Taifa, kutoka katika kanda zipi? Mikoa na wilaya zipi haswa hata awe Mwenyekiti wa chadema Taifa?

Na vipi kuhusu Freeman Aikaeli Mbowe, kwa kutumia sayansi ya siasa, anaweza kujizolea kura nyingi zaidi za kishindo kutoka kanda zipi za kiutawala, mikoa ipi na wilaya zipi humu nchini?

Mungu Ibariki Tanzania
Unamuuliza nani?
Mbona unaweweseka sana dogo?
 
Mbowe alihakikisha kuanzia ngazi za chini anaweka loyalists wake hadi ngazi ya Kanda. Lissu alikuja kushtuka ngazi ya kanda tena akiwa amechelewa. Ndio maana amebakiza wapiga kura wa mitandaoni ambao sio miongoni mwa wapiga kura 1200. Mbowe na watu wake wengi hawahangaiki mitandaoni kwasababu "hesabu" wanazijua.

Na itakuwa ajabu sana kama Lissu atabaki Chadema, maana kuna kuondoka aidha kwa aibu ya kushindwa vibaya au kutoamini kuwa alikuwa anaungwa mkono na watu sio huku wanachadema hawana habari naye au kufukuzwa na chama kwa misconduct.

Nimekaa pale nasubiria tarehe 21/1/2025!
Unaweweseka, wapiga kura tupo.
We unafahamu mi ni mjumbe kutoka kanda ipi?
 
Mbowe alihakikisha kuanzia ngazi za chini anaweka loyalists wake hadi ngazi ya Kanda. Lissu alikuja kushtuka ngazi ya kanda tena akiwa amechelewa. Ndio maana amebakiza wapiga kura wa mitandaoni ambao sio miongoni mwa wapiga kura 1200. Mbowe na watu wake wengi hawahangaiki mitandaoni kwasababu "hesabu" wanazijua.

Na itakuwa ajabu sana kama Lissu atabaki Chadema, maana kuna kuondoka aidha kwa aibu ya kushindwa vibaya au kutoamini kuwa alikuwa anaungwa mkono na watu sio huku wanachadema hawana habari naye au kufukuzwa na chama kwa misconduct.

Nimekaa pale nasubiria tarehe 21/1/2025!
Unauliza swali kisha unakuja jijibu kwa IDs zako nyingine....🤣
 
Mbowe huku bara hana chake labda zanzibar.
Ingekuwa viongozi wa kanda tu ndiyo wanapiga kura mbowe angeshinda.
Kitendo cha Lissu kuja na sera ya kugawa ruzuku hadi mashinani ni bao la kisigino kwa mbowe
 
Kimsingi, CHADEMA kama chama cha siasa nchini, kina kanda 10 za kiutawala.

Na kanda zote 10 zina viongozi waandamizi ambao wamechaguliwa awamu hii katika uchaguzi ambao ulianza mapema 2023 na utahitishwa rasmi na uchaguzi ngazi ya Taifa Jan.22,2025.

Viongozi karibu wa kanda zote 10 waliochaguliwa hivi karibuni na viongozi mikoa na wilaya kadhaa nchini, waliweka wazi misimamo yao dhidi ya nani ambaye wanamuunga mkono kwenye nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa2025-2030.

Kama mdau wa siasa na demokrasia, na kwa kutumia hisabati ya siasa, unadhani Tundu Antipas Lissu anaweza kupata kuungwa mkono kutoka kwa wajumbe wa mktano mkuu wa CHADEMA Taifa, kutoka katika kanda zipi? Mikoa na wilaya zipi haswa hata awe Mwenyekiti wa chadema Taifa?

Na vipi kuhusu Freeman Aikaeli Mbowe, kwa kutumia sayansi ya siasa, anaweza kujizolea kura nyingi zaidi za kishindo kutoka kanda zipi za kiutawala, mikoa ipi na wilaya zipi humu nchini?

Mungu Ibariki Tanzania
Unauliza swali kisha unakuja jijibu kwa IDs zako nyingine....🤣
 
Wanaomuunga mkono Mbowe wote wana akili timamu hawawezi kumuunga mkono Lissu ambaye anaropoka kila uchao!
Kuropoka ndo nini? Hii id yangu unasema haina hata mwezi ...we kweli una akili bwashee? Sisi CCM tunasema Lissu anaropoka. Anaropokaje?anaropoka nini?
 
Ukanda itakuwa na nafasi finyu kidogo
Mambo yatakayoamua matakoeo ni haya yafuatayo,;
1: Uzalendo kwa Taifà
2:Uchawa
3:Rushwa
4:Ukabila
5:ukanda
Note: Uwiano wa kura kwa mtiririko huu, utategemeana na Hali ya kisiasa kwa Siku hizo mbili,ndani ya ukumbi,Ndani ya Chama husika kwa Siku za mwisho kabisa na Hali ya Siasa Kitaifa kwa wakati huo!
Ila Mungu kama kawaida atasimama upande wa Haki!
Wewe Baki na CCM yako subiri Makamu Mwenyekiti asimikwe bila kugombea. Unadhani wenyeviti wa Kanda walivyojipeleka Kwa Mbowe walikuwa wanawakilisha mawazo ya wapiga Kura au mawazo yao? Mbona tunaona waziwazi wapiga Kura wanaita waandishi na kutoa misomamo tofauti? Jana Mbeya na Rukwa wamekuja na msimamo tofauti na Sugu, juzi Iringa nao wako tofauti, tumewasikia Arusha wanaongea tofauti na Mwenyekiti wao. Kuwa Mwenyekiti usidhani unaongoza mpaka akili na utashi wa unaowangoza.
Huwa tunawaambia wabunge wa CCM wanaokwenda Bungeni kuwasilisha mawazo yao huku wananchi wakiwa na hoja tofauti kiama chao kinakuja.
 
Ukanda itakuwa na nafasi finyu kidogo
Mambo yatakayoamua matakoeo ni haya yafuatayo,;
1: Uzalendo kwa Taifà
2:Uchawa
3:Rushwa
4:Ukabila
5:ukanda
Note: Uwiano wa kura kwa mtiririko huu, utategemeana na Hali ya kisiasa kwa Siku hizo mbili,ndani ya ukumbi,Ndani ya Chama husika kwa Siku za mwisho kabisa na Hali ya Siasa Kitaifa kwa wakati huo!
Ila Mungu kama kawaida atasimama upande wa Haki!
naona umefafanua kijumla vizuri sana katika aya ya kwanza, kwamba nafasi ya muungwana kushinda ni finyu mno, ni kama vile ngamia kupita katika tundu la sindano,

hata hivyo,
ufafanuzi wa ziada ulioutoa ni wa kinadharia zaidi, na pengine kinabii au kiroho zaidi, amboa kwa wasio amini Mungu wataona hauna athari zozote za moja kwa moja kisiasa kwenye uchaguzi huo na kwa Taifa kwa ujumla :pulpTRAVOLTA:
 
Kanda zote,mbowe ameshtukiwa ana ushirika na ccm
kwahiyo ikiwa ni hivyo,
ni kanda zipi sasa Tundu Lisu kibaraka wa mabwenyenye ya magaharibi anaweza kuambulia chochote?:pulpTRAVOLTA:
 
Mbowe huku bara hana chake labda zanzibar.
Ingekuwa viongozi wa kanda tu ndiyo wanapiga kura mbowe angeshinda.
Kitendo cha Lissu kuja na sera ya kugawa ruzuku hadi mashinani ni bao la kisigino kwa mbowe
Mwambieni tu Mbowe imetosha. Astaafu kwa heshima. Nyakati zina mfavor Lisu!
 
Back
Top Bottom