Katika kuelekea safari ya kuoa maoni nayo kutananayo

Katika kuelekea safari ya kuoa maoni nayo kutananayo

2v1

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2024
Posts
247
Reaction score
358
Binafsi ukiniuliza swala la kuoa nitakuambia lazima nioe ahijarishi kuna changamoto au lah, ingawa sio kwa sasa. Unakuta unaongea na watu tofauti tofauti, unakuta huyu anasema "oa mwanamke usiyempenda",

Mwingine anasema "usiangalie sura angalia tabia", Mwingine anasema "oa mwanamke mpambanaji",
Mwingine anasema "oa goli kipa",mwingine anasema "mwenye imani ya Mungu",

Mwingine anasema "mwanamke mwema atoka kwa bwana",na mengine yanayofanana na hayo.

Sasa unakuta mtu unajiuliza maswali mengi mpaka mengine unakosa majibu. Hivi wakati mnaingia mlikuwa hamyaoni hayo?, Halo mnatuchanganya! ok nisubiri na mimi yangu.
 
Ishu maisha yako pressure unayopitia Mimi napita pia sasaivi nimekuwa alone nasoma game na sihitaji mke ila mademu wakubanhbang una bang Nao tu USIKINBIKIMBILIE NDOA KWA PUPA
 
Sasa unakuta mtu unajiuliza maswali mengi mpaka mengine unakosa majibu. Hivi wakati mnaingia mlikuwa hamyaoni hayo?, Halo mnatuchanganya! ok nisubiri na mimi yangu.
Mkuu unaonekana bado hauna purpose ya kukufanya uoe, so Relax hadi pale utakapopata sababu itayokufanya uoe. Usisikilize ushauri wa yoyote, Just your purpose ndio iwe Motivation factor.

MUME sio jina la Ubatizo, Mume ni kutimiza majukumu. Ukiona haupo tayari kutimiza majukumu ya MUME, basi ni bora zaidi ukiendelea kubaki single. Maana vijana wa sasa Majukumu mnaona ni MATESO(ZIGO LA MISUMARI).

Kuhusu swali lako hili "WAKATI MNAINGIA MLIKUWA HAMYAONI HAYO?"
Hao unaona wanakusimulia yanayowakuta sio wazembe, au hawana akili, au hawasali makanisani/misikitini, au wao hawajui michezo ya madada wa mjini au ndio washamba wa uchi, HAPANA.

Mkuu you are not special, Yaani wewe hauna upekee wowote unaofikiri unao, hivyo unapaswa kujifunza kupitia yanayowatokea wenzako ili uweze kuelewa nini utafanya endapo na wewe likikutokea (Linalomkuta mwanaume mwenzako basi nawewe linaweza kukutokea pia, hupaswi kukejeli ila unatakiwa kujifunza jambo kwenye hilo ili usirudie makosa).

Be a Man.
 
#KATAANDOA
Kijana, kama kaka yako Nakushaur usioe, utakuja kujuta sana mana utapoteza uhuru wako, furaha yako kamilifu na umakin who (focus)...........TUNZA HII COMMENT ITAKUKUMBUSHA SIKU MOJA.
Binafsi ukiniuliza swala la kuoa nitakuambia lazima nioe ahijarishi kuna changamoto au lah, ingawa sio kwa sasa. Unakuta unaongea na watu tofauti tofauti, unakuta huyu anasema "oa mwanamke usiyempenda",

Mwingine anasema "usiangalie sura angalia tabia", Mwingine anasema "oa mwanamke mpambanaji",
Mwingine anasema "oa goli kipa",mwingine anasema "mwenye imani ya Mungu",

Mwingine anasema "mwanamke mwema atoka kwa bwana",na mengine yanayofanana na hayo.

Sasa unakuta mtu unajiuliza maswali mengi mpaka mengine unakosa majibu. Hivi wakati mnaingia mlikuwa hamyaoni hayo?, Halo mnatuchanganya! ok nisubiri na mimi yangu.
 
Oa mwanamke bikra
Si mpaka umpate, maana kuna rafiki nimesoma naye kaoa nilipewa story yake na rafiki yangu ambaye pia nimesoma naye, huyo binti alimdanganya yeye ni bikra jamaa kajiripua kazama ndani, kakuta amna kitu dah nackia saizi kakonda, nadhani kutokana na majukumu tu.
 
Ishu maisha yako pressure unayopitia Mimi napita pia sasaivi nimekuwa alone nasoma game na sihitaji mke ila mademu wakubanhbang una bang Nao tu USIKINBIKIMBILIE NDOA KWA PUPA
Ni kweli, ndiyo maana bado nipo nipo kwanza.
 
Mkuu unaonekana bado hauna purpose ya kukufanya uoe, so Relax hadi pale utakapopata sababu itayokufanya uoe. Usisikilize ushauri wa yoyote, Just your purpose ndio iwe Motivation factor.

MUME sio jina la Ubatizo, Mume ni kutimiza majukumu. Ukiona haupo tayari kutimiza majukumu ya MUME, basi ni bora zaidi ukiendelea kubaki single. Maana vijana wa sasa Majukumu mnaona ni MATESO(ZIGO LA MISUMARI).

Kuhusu swali lako hili "WAKATI MNAINGIA MLIKUWA HAMYAONI HAYO?"
Hao unaona wanakusimulia yanayowakuta sio wazembe, au hawana akili, au hawasali makanisani/misikitini, au wao hawajui michezo ya madada wa mjini au ndio washamba wa uchi, HAPANA.

Mkuu you are not special, Yaani wewe hauna upekee wowote unaofikiri unao, hivyo unapaswa kujifunza kupitia yanayowatokea wenzako ili uweze kuelewa nini utafanya endapo na wewe likikutokea (Linalomkuta mwanaume mwenzako basi nawewe linaweza kukutokea pia, hupaswi kukejeli ila unatakiwa kujifunza jambo kwenye hilo ili usirudie makosa).

Be a Man.
Nimepokea kwa mikono miwili ✋
 
Im
#KATAANDOA
Kijana, kama kaka yako Nakushaur usioe, utakuja kujuta sana mana utapoteza uhuru wako, furaha yako kamilifu na umakin who (focus)...........TUNZA HII COMMENT ITAKUKUMBUSHA SIKU MOJA.
Imani yangu sijaweka huko.
 
Back
Top Bottom