Ukisikia sehemu kuna uchaguzi Tanzania ujue hapo ni kudhulumiana na kuibiana basi.
Hali hiyo ipo kwenye chaguzi za kitaifa mpaka za vyuoni.Kwani waislamu hawaombi kwenye vyuo vikuu vya wakristo mbona hawachaguliwi mpaka waishiwe na watu na bajeti zikae songombingo.
Zamani wakati wa kabla ya waziri wa elimu Kigoma Malima uchaguzi wa wanafunzi ulifanywa kibaguzi kwa hali ya juu sana kwa kuangalia majino yao tu,
Kwenda Israel kama kweli kuna neema hawachaguliwi waislamu na kama kuna ajenda za kijeshi pia hawachaguliwi.