takwimu za maambukizi ya VVU kupatikana Kwa kiwango kikubwa Kwa wanandoa kuliko waseja na mabachela NUKTA
🤣🤣🤣🤣Ujumbe umefika kwaiyo unashauri tusioe 😅
Hizo takwimu zimewataja walokole na washirikina?
Nijuavyo mimi mnyanduo haramu ipo kwa watu wa kada zote, ila nimepata mashaka kwa huo utafiti kwa kuwa walokole na washirikina ndio wakuogopwa, why hao tu?Chunguza mkuu,utagundua kitu
NAKAZIA KWA MALLET HAMMERSishangai takwimu za maambukizi ya VVU kupatikana Kwa kiwango kikubwa Kwa wanandoa kuliko waseja na mabachela
Mshirikina huwez kaa nae Kwa amani...anaweza fukuzisha nduguzo wote akiwahusisha na mambo hayo ndani kwake.....walokole uchwara ndoa zipo kwenye majuto Kila kitu baba mchungaji mume kageuzwa ndo pepo mchafuNijuavyo mimi mnyanduo haramu ipo kwa watu wa kada zote, ila nimepata mashaka kwa huo utafiti kwa kuwa walokole na washirikina ndio wakuogopwa, why hao tu?
Mama mdogo😅😅😁😅🤣🤣🤣🤣
HELL yEAH🤣🤣🤣As usual
🤣🤣 Sijamaanisha hivyoKwahiyo umejiunga kundi moja na ndguyo dronedrake
Sidhani kama kweli. Pole yaliyokukuta.. Binadamu ndio walivyo. Njoo PM nikupe ushauri wa kisaikolojiaMwanaume au mwanamke mwenye Imani za kishirikina au mwanaume/mwanamke mwenye kujifanya mlokole sana.Mara mia adui unaemfahamu kuliko usiyemfahamu.Sishangai takwimu za maambukizi ya VVU kupatikana Kwa kiwango kikubwa Kwa wanandoa kuliko waseja na mabachela NUKTA