Katika mahusiano ogopa sana watu hawa

Katika mahusiano ogopa sana watu hawa

Haiwezi kuingia akilini labda kama hujafikiria zaidi ,umekupuka.

kweny ndo hamna HIV kama ipo basi tambua kuna mmoja ni mzinifu na anazidi na hao wasioa .

Assume hata wanandoa wana HIV wao wawili wakawa waaminifu bila ya kuchepuka unafikria hayo maambuziki yataendelea kweli?

Chanzo za yote overall tatizo no uzinifu tu basi maana hata waliopo ndani ya ndoa ni wazinifu ila waaminifu wapo kibao.
 
Back
Top Bottom