mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
msipolegeza na sisi tutaendelea kujigeuzia makali😂🤣🤣🤣🤣🤣Wamekunyoosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
msipolegeza na sisi tutaendelea kujigeuzia makali😂🤣🤣🤣🤣🤣Wamekunyoosha
😅 😅 NAKAZIAmsipolegeza na sisi tutaendelea kujigeuzia makali😂
ila pia tukubaliane mwanamke mlolkole sana pia sio mzuri kuoa😂Yule mchungaji wa Kenya aliwaaminisha waumini wake kufa Kwa ajili ya kristo Kwa kufunga
Endeleeni tu🙄msipolegeza na sisi tutaendelea kujigeuzia makali😂
ToYeyeUmeniitaje? 🙆
🤣🤣🤣🤣🙌😅 😅 NAKAZIA
utafaidika sana kuliko kuolewa na mlokole.
nimesahau😬Nimezungumzia wote mbona
wewe hio hofu unayo kweli kwa unavopenda threesome??😬[emoji23][emoji23][emoji23] binafsi napenda mwanaume mwenye hofu ya Mungu. Walokole wamepoa wapo wapo wamezubaa
Uje basi, tule hata ka kitimoto na ka sweet wine.. upunguze mawazo nduguAsante sana
mbona unantisha😬Ogopa pia mwanaume asiyekunywa hata wine.
wewe hio hofu unayo kweli kwa unavopenda threesome??[emoji51]
TrueKwa wakazi wa Dar mke wako akishaanza safari za Bagamoyo, Kawe Tanganyika packers au Kimara Temboni na kote huko hamna ndugu wala jamaa ujue utaahira unamnyemelea na ujiandae kumpeleka Milembe
Nataka nijaribu nione ntalia kweli ...?🤣🤣Tena utalia kweli aisee
Utachelewa sana kuoa ukifanya ivoNataka nijaribu nione ntalia kweli ...?