fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
😁😁Kwaiyo unanishaurije apoUtachelewa sana kuoa ukifanya ivo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁Kwaiyo unanishaurije apoUtachelewa sana kuoa ukifanya ivo
Tulia katika kuchagua😁😁Kwaiyo unanishaurije apo
Ndiyo kuchepuka huko kunaleta maradhiHaiwezi kuingia akilini labda kama hujafikiria zaidi ,umekupuka.
kweny ndo hamna HIV kama ipo basi tambua kuna mmoja ni mzinifu na anazidi na hao wasioa .
Assume hata wanandoa wana HIV wao wawili wakawa waaminifu bila ya kuchepuka unafikria hayo maambuziki yataendelea kweli?
Chanzo za yote overall tatizo no uzinifu tu basi maana hata waliopo ndani ya ndoa ni wazinifu ila waaminifu wapo kibao.
Umewahi onja maisha ya walokole uchwara?walokole uchwara ndoa zipo kwenye majuto Kila kitu baba mchungaji mume kageuzwa ndo pepo mchafu
Watu waogope mangapi mama? Tutaogopa hata vivuli vytu sasa😁Ogopa pia mwanaume asiyekunywa hata wine.
Ana nn cha kutisha?Ogopa pia mwanaume asiyekunywa hata wine.
[emoji23][emoji23][emoji23] tunakunywa soda, tuueni sasa!Ogopa pia mwanaume asiyekunywa hata wine.
Hilo chaguo lako dadaa, uokoke usiokoke hakubadilishi mental capacity na personality yako.Ndo hao kujifanya walokole.....wakikerwa hawana maamuzi mengine zaidi ya Kuua au kuniua eti mwende wote mbinguni[emoji849]
Huna hoja.Mwanaume au mwanamke mwenye Imani za kishirikina au mwanaume/ mwanamke mwenye kujifanya mlokole sana. Mara mia adui unaemfahamu kuliko usiyemfahamu.
Sishangai takwimu za maambukizi ya VVU kupatikana Kwa kiwango kikubwa kwa wanandoa kuliko waseja na mabachela NUKTA
Ogopa pia mwanaume asiyekunywa hata wine.
Nimekuja kufahamu haya hadi nimebadilisha nyenendo kabisa .Hatari sana