Katika mahusiano ogopa sana watu hawa

Katika mahusiano ogopa sana watu hawa

Haiwezi kuingia akilini labda kama hujafikiria zaidi ,umekupuka.

kweny ndo hamna HIV kama ipo basi tambua kuna mmoja ni mzinifu na anazidi na hao wasioa .

Assume hata wanandoa wana HIV wao wawili wakawa waaminifu bila ya kuchepuka unafikria hayo maambuziki yataendelea kweli?

Chanzo za yote overall tatizo no uzinifu tu basi maana hata waliopo ndani ya ndoa ni wazinifu ila waaminifu wapo kibao.
Ndiyo kuchepuka huko kunaleta maradhi
 
Ndo hao kujifanya walokole.....wakikerwa hawana maamuzi mengine zaidi ya Kuua au kuniua eti mwende wote mbinguni[emoji849]
Hilo chaguo lako dadaa, uokoke usiokoke hakubadilishi mental capacity na personality yako.
 
Mwanaume au mwanamke mwenye Imani za kishirikina au mwanaume/ mwanamke mwenye kujifanya mlokole sana. Mara mia adui unaemfahamu kuliko usiyemfahamu.

Sishangai takwimu za maambukizi ya VVU kupatikana Kwa kiwango kikubwa kwa wanandoa kuliko waseja na mabachela NUKTA
Huna hoja.
 
mahusiano na mtu mwenye imani za kishirikina ni kujitafutia mazonge sio madogo kabisa. ni bora uishi na changu doa kuliko mshirikina.
 
Back
Top Bottom