Katika mahusiano ogopa sana watu hawa

BINADAMU HAWANA FORMULA UNAYEMWONA MBAYA LEO KESHO ANAWEZA AKAWA MZULI WAKO NA UNAYEMUONA MZULI WAKO LEO KESHO ANAWEZA KUWA NDO MBAYA WAKO.

KWA WALE WALIOWA NADHANI WANANIELEWA

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Jamaa yangu alipata demu wa kilokole si akajua hapa ndio penyewe naoa. Demu kumbe ana gono

Mademu wanao jifanya sana kwenda kanisani asilimia kubwa wanaficha mauchafu yao
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamaa yangu alipata demu wa kilokole si akajua hapa ndio penyewe naoa. Demu kumbe ana gono

Mademu wanao jifanya sana kwenda kanisani asilimia kubwa wanaficha mauchafu yao
 
Jamaa yangu alipata demu wa kilokole si akajua hapa ndio penyewe naoa. Demu kumbe ana gono

Mademu wanao jifanya sana kwenda kanisani asilimia kubwa wanaficha mauchafu yao
Sana yaan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…