Katika maisha, nimejifunza kuwa mwanamke sio mtu wa kumuamini kabisa

Katika maisha, nimejifunza kuwa mwanamke sio mtu wa kumuamini kabisa

Hahahahahah haya ndio yale yale nayosemea. Unakuwa na mpenzi wako ilihali nae ana mpenzi wake kwahio ngoma inogile. Unahudumia raia asiyejulikana kwa mgongo wa mchumba wako.
hela yangu mwenyewe ikampa mchongo wa kazi mwanaume mwenzangu[emoji17][emoji17]
 
mkuu pole mimi ilinitokea miezi miwili nyuma nilimnunulia demu simu sumsung A11 nikampa ili mawasiliano yaimarike niendelee kufaidi mbususu kwa uhakika zaidi..
Sasa bhna baada ya kupokea simu kama wiki hivi nikaanza kuona mabadiliko kitu cha kwanza nilianza kuona ni siwezi kuona status zake WhatsApp nikajua hapa lazima namba imefutwa au privacy inatumika juu yangu ili nisione nini na nani anawekwa status.

Siku moja nikiwa nimetoka kazini mida ya saa kumi12 nikampigia mtoto nikamwambia nataka tuonane akanambia naomba iwe saa moja namalizia kupika nikamwambia sawa ilipo fika saa moja nikajisogeza maeneo ya kukutana nikawa nameza moto polepole muda unasonga .

Nilipo mpigia nikamwambia nakusubiri maeneo hapa uje akagutuka heee! umeshakujaa?? nikamwambia ndio akaanza sasa mbona umekuja na sijakwambia uje nikamjibu tulikubaliana ni saa moja.

Akasema mi bado nina kazi siwezi kutoka nikamwambia utamamaliza saa ngapi akajibu sijui..nikaona isiwe tabu nikakata simu nikamalizia kinywaji nikasepa lakini kichwani nawaza hizi dharau.
Nikaanza mpango wa kutaka kachukua simu yangu ili mpango uende vizuri nikasema sitakiwi kuwa na hasira niwe mpolee basii baada ya siku moja kupita nikamwambia nakuja huko nikuletee zawadi gani,? akasema amua wewe basi chap nikaingia online nikadownlod caver za simu yake za kike nzuri nikamtumia picha nikamwambia chagua caver mbili nipo dukani hapa nikununulie akasema nataka hii na hiii...

Basii nikajua hapa kila kitu kitakuwa sawa nikamwambia basi usiache simu maana zingine huwa zinapwaya hivyo vizuri tujaribishe ili kama itakuwa kuna kasoro nirudi nazo..

Mishale ya saa moja hivi tukakutana tukapiga story fresh nikamwambia nipe simu yako basi akanipa screen lock amebadilisha ila kabla sijampa ile simu mwanzo nilikuwa nimeweka finger print yangu hivyo ilikuwa rahisi kutoa lock chap nikatoa nikaangalia namba yangu kweli haijaseviwa.

Nikamuuliza mbona namba umefuta hana cha kusema nikamwambia naondoka na simu yangu akajibu sawa nikatoa ufungo mfukoni nikachomoa line zake nikamwambia shika akagoma nikaziweka chini hapo mara ghafla akanishika akasema ivi kweli ndo umeamua hivyo nikamwambia ndio nasepa..

Akaanza kilio amenikamata lakini haikusaidia baada ya vutana ya muda nikasepa zangu..Sasa bhana baada ya kufika home na kuikagua ile simu asee niliishiwa nguvu yani aseee acha nisiseme tu...[emoji1602][emoji1602][emoji1602][emoji1602][emoji1602][emoji1602]
Mkuu hebu malizia story kwa heshima yangu kwako
 
Ndugu zangu mimi mwenzenu kwa mara hii nahisi nimepigwa na radi kabisa sio tena kitu kizito. Kuna demu nilimtongoza kwa bahati nzuri demu huyo alinikubalia.

Sasa ikawa ngumu kwetu kuongea kwa maana alikuwa hana simu mimi na mapenzi yangu ya kijinga nikajifanya kiherehere cha kumnunulia simu kubwa ya laki 3 nikampa demu. Cha ajabu simu niliyo nunua sasa hivi ndo inanitesa.

Huyo demu sasa hivi hapokehi simu zangu wala kujibu sms zangu na kila nikienda kwao namkuta anaongea na wanaume wengine pale kwao. Tena kwenye simu niliyonunua. Yaani kwa kifupi demu hana mpango na mimi tena.

Je, ni halali mimi kuchukua simu yangu kwake au ni

Pole sana bora yako wewe laki 3 mimi wangu bi mkubwa wake alilazwa muhimbili sewa haji private akaniambia nikiwa kama mchumba wake ambae ndio future yake uko mbele nimuazime laki5 tano aongezee kwenye kulipia bili za pale hospital lohhhhh kumbe napigwa changa la macho nikampa 650k kumbe kuna bwana ake kapata kazi za kwenda congo na malori sasa iyo sehemu aliyopata kazi kumbe HR anataka 400k kama rushwa ndio jamaa apewe nafasi jamaa akampigia demu wake ambae ndio alikuwa mchumba wangu demu akamuambia usijali ngoja niitafute iyo hela ndio nikapigwa na kitu kizito kichwani na hela yote akatumiwa jamaa yaani 400k kama rushwa 250k iliyobaki ni kama pocket money kwa muda atakao kuwa uko congo ..nikaja kugundua kuwa yule bi mkubwa wake alikuwa adaiwi ata mia na hospital ana mtoto wake mkubwa wa kiume alimkatia bima kubwa kwaiyo bima ililipia kila kitu.. nilichokuja kumfanyia sijui kama atakuja kunisahau kenge yule
Chukuaa cm chapu, utakufa kwamawaoz usipo chukua hyo cm 🤣
 
Tatizo linakuja unapomdanganya mwanaume ukapewa vitu vya thamani kumbe huna mpango naye.
Huu ni wizi na inaumiza sana.
Kama hunitaki usitake na vitu vyangu
Anataka akutapeli halafu ikitokea umemstukia eti umuachie tu ndio utaonekana Jentomen😂😂😂 ila ukisema uchukue zaga zako unaonekana mshamba 😂😂😂
 
Ebu nipe mbinu ya kurudisha laki tatu nilizomkopesha mrembo mmoja niliekuwa nawinda kumhegegda lakini kanizidi akili mpaka sasa
Veteran ushaliwa mzee 😂😂😂 kama ni wale wenye nyota mabegani andika maumivu tu😀😀😀
 
Ndugu zangu mimi mwenzenu kwa mara hii nahisi nimepigwa na radi kabisa sio tena kitu kizito. Kuna demu nilimtongoza kwa bahati nzuri demu huyo alinikubalia.

Sasa ikawa ngumu kwetu kuongea kwa maana alikuwa hana simu mimi na mapenzi yangu ya kijinga nikajifanya kiherehere cha kumnunulia simu kubwa ya laki 3 nikampa demu. Cha ajabu simu niliyo nunua sasa hivi ndo inanitesa.

Huyo demu sasa hivi hapokehi simu zangu wala kujibu sms zangu na kila nikienda kwao namkuta anaongea na wanaume wengine pale kwao. Tena kwenye simu niliyonunua. Yaani kwa kifupi demu hana mpango na mimi tena.

Je, ni halali mimi kuchukua simu yangu kwake au ni mpotezee?
Majina haya mengine mnajiita yanawaletea mkosi, hebu fikiria unajiita kwisha😂😂😂 si ndo umekwisha sasa. Anyway chukua simu sepa japo haimalizi maumivu
 
Tuwapende sana mademu ila tusiwape simu 😂!!!
Simu ni silaha ambayo ukimkabidhi malaya asiye na akili inaweza kutumika kukuumiza kama lilivyo sime au panga.
 
Dah......wanaume wanazidi kupungua duniani........Kama umemtafuna achana naye tafuta hela....... Hata hivyo unatoaje zawadi kabla ya kwich kwich? Wenzio wanatuma nauli tu....tena nusu 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom