Bwana nakumbuka ule ushauri wa jamaa hapa jf usimuonee huruma mwanamke. Hawa ni nipe nikuoe ata alie mtoto wake anakufa wacha afe tuu ila usimuonee huruma kabisaNami muhanga mwenzako kuna kidemu Nilikikopesha laki" hakitaki kunilipa, kina niambia baba yake anaumwa.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app