Kwa hiyo wee unatotoa naturally kabisaNani kasema Hao washamba tu 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wee unatotoa naturally kabisaNani kasema Hao washamba tu 😂
Kila kitu kina wakati wakeNa pesa zetu na nyege zetu
Wakati gani mbona nyie hamkubali wakati wetuKila kitu kina wakati wake
Wakati wa raha na wakati wa kumuonea huruma mtoto wa mtuWakati gani mbona nyie hamkubali wakati wetu
Tatizo nyie tukiwaonea huruma mnatuona maboya....Wakati wa raha na wakati wa kumuonea huruma mtoto wa mtu
Hizo zenu mnaziita huruma??Tatizo nyie tukiwaonea huruma mnatuona maboya....
Ni kweli asome hicho kitabu.Siwezi kukupa pole ila utapunguza maumivu endapo utarudisha hiyo simu mikononi mwako tena.
By the way soma kitabu cha Dominic Mann kitakusaidia.
Mi sina ushauri nachojua hayashauriki ataamua kutokana na vile alivyo.Mpe ushauri😂
Yah mengine yawe bahat mbaya tuKwa hiyo wee unatotoa naturally kabisa
Wee tall dark and handsome ulishawahi kumpa nini labda tuanzie hapo...and mbususu doesnt count for that matterWatu wanaopokonya wapenzi wao vitu baada ya kuzinguana naona ni ushamba tu.
Soma vizuri hio ni simulizi ya miaka takriban 17 nyumaBado unatongoza watoto?
Sijampa chochote zaidi ya utamu.Wee tall dark and handsome ulishawahi kumpa nini labda tuanzie hapo...and mbususu doesnt count for that matter
Ndugu zangu mimi mwenzenu kwa mara hii nahisi nimepigwa na radi kabisa sio tena kitu kizito. Kuna demu nilimtongoza kwa bahati nzuri demu huyo alinikubalia.
Sasa ikawa ngumu kwetu kuongea kwa maana alikuwa hana simu mimi na mapenzi yangu ya kijinga nikajifanya kiherehere cha kumnunulia simu kubwa ya laki 3 nikampa demu. Cha ajabu simu niliyo nunua sasa hivi ndo inanitesa.
Huyo demu sasa hivi hapokehi simu zangu wala kujibu sms zangu na kila nikienda kwao namkuta anaongea na wanaume wengine pale kwao. Tena kwenye simu niliyonunua. Yaani kwa kifupi demu hana mpango na mimi tena.
Je, ni halali mimi kuchukua simu yangu kwake au ni mpotezee?
But i said utamu doesnt count maana ata yeye kakupa utamu.Sijampa chochote zaidi ya utamu.