Katika maisha, nimejifunza kuwa mwanamke sio mtu wa kumuamini kabisa

Katika maisha, nimejifunza kuwa mwanamke sio mtu wa kumuamini kabisa

Watu wanaopokonya wapenzi wao vitu baada ya kuzinguana naona ni ushamba tu.
 
Sasa kinachokufanya usiamini wanawake ni nini?
Kwani mlikubaliana wewe ndio.mwanaume wake.pekee?
Au mlikubaliana kuwa ukimnunulia simu wanaume.wengine hawawezi kumpigia?

Hiyo ni changamoto ndogo sana ya mapenzi, fanya ni hasara kama hasara nyingine
 
Watu wanaopokonya wapenzi wao vitu baada ya kuzinguana naona ni ushamba tu.
Wee tall dark and handsome ulishawahi kumpa nini labda tuanzie hapo...and mbususu doesnt count for that matter
 
Jamaa yupo dunia gani sijui mademu kwa asilimia 90 kwa siku hizi si wa kutongoza au kubembeleza ukimbembeleza anakuona mshamba fulani, siku hizi ni vipi mambo uko poa, njoo basi somewhere, unampa luxury uchwara na vibia unapiga mzigo unampa 30 unasepa! Kizazi hiki hakipendi majamaa yanayorembaremba ndio saikolojia yao ilivyo! No matter yupo decent kwa namna gani?
 
Kwa ulivyoshauriwa,mdanganye aje kuchukua zawadi bora kabisa then mle timing pokonya simu halafu sepa, is petty lakini dawa ya muhuni ni uhuni tuu ustaarabu hawajui
 
Ndugu zangu mimi mwenzenu kwa mara hii nahisi nimepigwa na radi kabisa sio tena kitu kizito. Kuna demu nilimtongoza kwa bahati nzuri demu huyo alinikubalia.

Sasa ikawa ngumu kwetu kuongea kwa maana alikuwa hana simu mimi na mapenzi yangu ya kijinga nikajifanya kiherehere cha kumnunulia simu kubwa ya laki 3 nikampa demu. Cha ajabu simu niliyo nunua sasa hivi ndo inanitesa.

Huyo demu sasa hivi hapokehi simu zangu wala kujibu sms zangu na kila nikienda kwao namkuta anaongea na wanaume wengine pale kwao. Tena kwenye simu niliyonunua. Yaani kwa kifupi demu hana mpango na mimi tena.

Je, ni halali mimi kuchukua simu yangu kwake au ni mpotezee?

Chukua simu yako mzee
 
Sijampa chochote zaidi ya utamu.
But i said utamu doesnt count maana ata yeye kakupa utamu.
Therefore usiseme kuwa wanaume washamba kutaka vitu vyao baada ya breakup maana mpaka pale utakapo mpa handsome boy kitu kikubwa alafu akakubwaga ndio utaelewa uchungu tunaoupata
 
Back
Top Bottom