Bwana nakumbuka ule ushauri wa jamaa hapa jf usimuonee huruma mwanamke. Hawa ni nipe nikuoe ata alie mtoto wake anakufa wacha afe tuu ila usimuonee huruma kabisaNami muhanga mwenzako kuna kidemu Nilikikopesha laki" hakitaki kunilipa, kina niambia baba yake anaumwa.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Pole Sana,Pole sana bora yako wewe laki 3 mimi wangu bi mkubwa wake alilazwa muhimbili sewa haji private akaniambia nikiwa kama mchumba wake ambae ndio future yake uko mbele nimuazime laki5 tano aongezee kwenye kulipia bili za pale hospital lohhhhh kumbe napigwa changa la macho nikampa 650k kumbe kuna bwana ake kapata kazi za kwenda congo na malori sasa iyo sehemu aliyopata kazi kumbe HR anataka 400k kama rushwa ndio jamaa apewe nafasi jamaa akampigia demu wake ambae ndio alikuwa mchumba wangu demu akamuambia usijali ngoja niitafute iyo hela ndio nikapigwa na kitu kizito kichwani na hela yote akatumiwa jamaa yaani 400k kama rushwa 250k iliyobaki ni kama pocket money kwa muda atakao kuwa uko congo ..nikaja kugundua kuwa yule bi mkubwa wake alikuwa adaiwi ata mia na hospital ana mtoto wake mkubwa wa kiume alimkatia bima kubwa kwaiyo bima ililipia kila kitu.. nilichokuja kumfanyia sijui kama atakuja kunisahau kenge yule
Mpe ushauri😂
Nilijua utatutetea 😂Bwana nakumbuka ule ushauri wa jamaa hapa jf usimuonee huruma mwanamke. Hawa ni nipe nikuoe ata alie mtoto wake anakufa wacha afe tuu ila usimuonee huruma kabisa
Nyie[emoji23][emoji23][emoji23]Ndo mana juzi kunademu nimempa lift kesho yake nikala mzigo akijua mi ni bonge la bwana nilimsugua usiku kucha kwa fuja nika mpakia boda asubuhi na 5k mkononi ndo alipie boda hapo hapo yaan kanilaani laana zote mamaeee... Si wachekeagi kwenye hela
Hahahaha unyama unyamani, malizia mkuuPole sana bora yako wewe laki 3 mimi wangu bi mkubwa wake alilazwa muhimbili sewa haji private akaniambia nikiwa kama mchumba wake ambae ndio future yake uko mbele nimuazime laki5 tano aongezee kwenye kulipia bili za pale hospital lohhhhh kumbe napigwa changa la macho nikampa 650k kumbe kuna bwana ake kapata kazi za kwenda congo na malori sasa iyo sehemu aliyopata kazi kumbe HR anataka 400k kama rushwa ndio jamaa apewe nafasi jamaa akampigia demu wake ambae ndio alikuwa mchumba wangu demu akamuambia usijali ngoja niitafute iyo hela ndio nikapigwa na kitu kizito kichwani na hela yote akatumiwa jamaa yaani 400k kama rushwa 250k iliyobaki ni kama pocket money kwa muda atakao kuwa uko congo ..nikaja kugundua kuwa yule bi mkubwa wake alikuwa adaiwi ata mia na hospital ana mtoto wake mkubwa wa kiume alimkatia bima kubwa kwaiyo bima ililipia kila kitu.. nilichokuja kumfanyia sijui kama atakuja kunisahau kenge yule
Balaa duh wanawake hawana huruma aisee. Pole sanaPole sana bora yako wewe laki 3 mimi wangu bi mkubwa wake alilazwa muhimbili sewa haji private akaniambia nikiwa kama mchumba wake ambae ndio future yake uko mbele nimuazime laki5 tano aongezee kwenye kulipia bili za pale hospital lohhhhh kumbe napigwa changa la macho nikampa 650k kumbe kuna bwana ake kapata kazi za kwenda congo na malori sasa iyo sehemu aliyopata kazi kumbe HR anataka 400k kama rushwa ndio jamaa apewe nafasi jamaa akampigia demu wake ambae ndio alikuwa mchumba wangu demu akamuambia usijali ngoja niitafute iyo hela ndio nikapigwa na kitu kizito kichwani na hela yote akatumiwa jamaa yaani 400k kama rushwa 250k iliyobaki ni kama pocket money kwa muda atakao kuwa uko congo ..nikaja kugundua kuwa yule bi mkubwa wake alikuwa adaiwi ata mia na hospital ana mtoto wake mkubwa wa kiume alimkatia bima kubwa kwaiyo bima ililipia kila kitu.. nilichokuja kumfanyia sijui kama atakuja kunisahau kenge yule
Kwa lipi jema mliokuwa nalo nyie viumbe? Ata mbususu utamu twapata wote lakini bado mwatumimyaNilijua utatutetea 😂
Akienda bila simu jeMuite gheto kwako mwambie aje achukue zawadi,
Sio lazima aje gheto hata hapo kwao unaweza mchomolea laini zake,
Akifika mwambie akupe simu, toa laini mkabidhi baki na simu yako, mwambie asepe maana hakuna anachokudai.
Usimfanye chochote, anaweza kukubambikia mimba bure.
DuhMkuu hebu malizia story kwa heshima yangu kwako
Kweli ni kuweka sura ngumu tuuNdo mana juzi kunademu nimempa lift kesho yake nikala mzigo akijua mi ni bonge la bwana nilimsugua usiku kucha kwa fuja nika mpakia boda asubuhi na 5k mkononi ndo alipie boda hapo hapo yaan kanilaani laana zote mamaeee... Si wachekeagi kwenye hela
😂😂Ndo uanaume mateso😂😂😂nyie wasasahiv mnatak mambo soft soft🤣Kwa lipi jema mliokuwa nalo nyie viumbe? Ata mbususu utamu twapata wote lakini bado mwatumimya
Hawana huruma ya nini?Balaa duh wanawake hawana huruma aisee. Pole sana
Asisahau kutoa lock kabla hajachukuaMuite gheto kwako mwambie aje achukue zawadi,
Sio lazima aje gheto hata hapo kwao unaweza mchomolea laini zake,
Akifika mwambie akupe simu, toa laini mkabidhi baki na simu yako, mwambie asepe maana hakuna anachokudai.
Usimfanye chochote, anaweza kukubambikia mimba bure.
Simu lazima aende nayo,lkn itakuwa imepigwa Pin kila konaAkienda bila simu je
KweliAsisahau kutoa lock kabla hajachukua
Tuliokuelewa tuna cheka kwa sauti ya chiniImei namba za simu anazo nani!!? Tuanzie hapo kwanza!
Diamond alimnunulia zari hadi jumba la kifahari huko south Africa, mwisho pacha wa p-square akala tunda[emoji38]Wahuni sio watu, unamnunulia mpenzi wako simu halafu simu hio hio anaitumia kumpigia mpenzi wake. Maisha hayajawahi kuwa faire.
Halafu kuna kenge itasema mwanamke mpe
pesa au vitu anatulia vizuri.