Panzi Mbishi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2021
- 2,231
- 2,904
Nakubali[emoji1787]Jamaa yupo dunia gani sijui mademu kwa asilimia 90 kwa siku hizi si wa kutongoza au kubembeleza ukimbembeleza anakuona mshamba fulani, siku hizi ni vipi mambo uko poa, njoo basi somewhere, unampa luxury uchwara na vibia unapiga mzigo unampa 30 unasepa! Kizazi hiki hakipendi majamaa yanayorembaremba ndio saikolojia yao ilivyo! No matter yupo decent kwa namna gani?
Usitoe kitu ikiwa huezi afford kukipoteza kama ndio hivyo. Kumpa mtu zawadi na mambo mengine kama hayo haikupi uhakika wa kupendwa milele. Ukiachwa achika chapa lapa kimya kimya.But i said utamu doesnt count maana ata yeye kakupa utamu.
Therefore usiseme kuwa wanaume washamba kutaka vitu vyao baada ya breakup maana mpaka pale utakapo mpa handsome boy kitu kikubwa alafu akakubwaga ndio utaelewa uchungu tunaoupata
Ila ulipiga hata kamoja?Ndugu zangu mimi mwenzenu kwa mara hii nahisi nimepigwa na radi kabisa sio tena kitu kizito. Kuna demu nilimtongoza kwa bahati nzuri demu huyo alinikubalia.
Sasa ikawa ngumu kwetu kuongea kwa maana alikuwa hana simu mimi na mapenzi yangu ya kijinga nikajifanya kiherehere cha kumnunulia simu kubwa ya laki 3 nikampa demu. Cha ajabu simu niliyo nunua sasa hivi ndo inanitesa.
Huyo demu sasa hivi hapokehi simu zangu wala kujibu sms zangu na kila nikienda kwao namkuta anaongea na wanaume wengine pale kwao. Tena kwenye simu niliyonunua. Yaani kwa kifupi demu hana mpango na mimi tena.
Je, ni halali mimi kuchukua simu yangu kwake au ni mpotezee?
Baki nayoSoma vizuri hio ni simulizi ya miaka takriban 17 nyuma
I miss you tooBaki nayo
Ili kumfanya aumie vizuri stop mahusiano mwachie sim maana utatafuta nyingine anza maisha mapya alafu piga kimya yani atakufa kwa presha. Imeisha hiyo...Ndugu zangu mimi mwenzenu kwa mara hii nahisi nimepigwa na radi kabisa sio tena kitu kizito. Kuna demu nilimtongoza kwa bahati nzuri demu huyo alinikubalia.
Sasa ikawa ngumu kwetu kuongea kwa maana alikuwa hana simu mimi na mapenzi yangu ya kijinga nikajifanya kiherehere cha kumnunulia simu kubwa ya laki 3 nikampa demu. Cha ajabu simu niliyo nunua sasa hivi ndo inanitesa.
Huyo demu sasa hivi hapokehi simu zangu wala kujibu sms zangu na kila nikienda kwao namkuta anaongea na wanaume wengine pale kwao. Tena kwenye simu niliyonunua. Yaani kwa kifupi demu hana mpango na mimi tena.
Je, ni halali mimi kuchukua simu yangu kwake au ni mpotezee?
Nipo,wewe tu adimu.I miss you too
Nipoo nyts bintiNipo,wewe tu adimu.
Sikuonagi humuNipoo nyts binti
Ilikuwaje....hawezi kutuzd akili uyooDah yaani huyu mrembo akiingia kwenye 18 zangu naona nitamfumua marinda maana kanifanya boya sana
Kakopa laki tatu zangu hakataki kirudishaIlikuwaje....hawezi kutuzd akili uyoo
Anasemaje?Kakopa laki tatu zangu hakataki kirudisha
Bora ata angekuwa anasema naishia kuona status tuu anajirusha sehemu za starehe mara anakula pizza mara yupo anaogelea sasa sijui nikodi watu wakamfumue marinda🤔🤔🤔🤔Anasemaje?
🤣Nimekumbuka ile nyimbo
'Kanunua simu kampa demu walivyoachaaaa kampokonya' 😂
akifumuliwa marinda utanufaika nini ndugu yangu. Au nipe namba yake tuu! Ipo namna flani hiv ya vijiti saba hapa atarudi tuBora ata angekuwa anasema naishia kuona status tuu anajirusha sehemu za starehe mara anakula pizza mara yupo anaogelea sasa sijui nikodi watu wakamfumue marinda🤔🤔🤔🤔
Ah hapo ndio kisasi kinakuwa kimenoga mzeya....akifumuliwa marinda utanufaika nini ndugu yangu. Au nipe namba yake tuu! Ipo namna flani hiv ya vijiti saba hapa atarudi tu