Katika maisha, nimejifunza kuwa mwanamke sio mtu wa kumuamini kabisa

Katika maisha, nimejifunza kuwa mwanamke sio mtu wa kumuamini kabisa

Jamaa yupo dunia gani sijui mademu kwa asilimia 90 kwa siku hizi si wa kutongoza au kubembeleza ukimbembeleza anakuona mshamba fulani, siku hizi ni vipi mambo uko poa, njoo basi somewhere, unampa luxury uchwara na vibia unapiga mzigo unampa 30 unasepa! Kizazi hiki hakipendi majamaa yanayorembaremba ndio saikolojia yao ilivyo! No matter yupo decent kwa namna gani?
Nakubali[emoji1787]
 
But i said utamu doesnt count maana ata yeye kakupa utamu.
Therefore usiseme kuwa wanaume washamba kutaka vitu vyao baada ya breakup maana mpaka pale utakapo mpa handsome boy kitu kikubwa alafu akakubwaga ndio utaelewa uchungu tunaoupata
Usitoe kitu ikiwa huezi afford kukipoteza kama ndio hivyo. Kumpa mtu zawadi na mambo mengine kama hayo haikupi uhakika wa kupendwa milele. Ukiachwa achika chapa lapa kimya kimya.
 
Siku nyingine nunua kwa jina lako na risiti baki nayo wewe, akikuzingua karipoti polisi simu yako imeibwa na aliyeiba anaitumia. Anakamatwa kilaini na mali yako inarudi.
 
Ndugu zangu mimi mwenzenu kwa mara hii nahisi nimepigwa na radi kabisa sio tena kitu kizito. Kuna demu nilimtongoza kwa bahati nzuri demu huyo alinikubalia.

Sasa ikawa ngumu kwetu kuongea kwa maana alikuwa hana simu mimi na mapenzi yangu ya kijinga nikajifanya kiherehere cha kumnunulia simu kubwa ya laki 3 nikampa demu. Cha ajabu simu niliyo nunua sasa hivi ndo inanitesa.

Huyo demu sasa hivi hapokehi simu zangu wala kujibu sms zangu na kila nikienda kwao namkuta anaongea na wanaume wengine pale kwao. Tena kwenye simu niliyonunua. Yaani kwa kifupi demu hana mpango na mimi tena.

Je, ni halali mimi kuchukua simu yangu kwake au ni mpotezee?
Ila ulipiga hata kamoja?
Kuliko kununua simu bora hiyo hela ungempelekea mamako kijijini akarabati kibanda anachoishi ungebarikiwa
 
Ndugu zangu mimi mwenzenu kwa mara hii nahisi nimepigwa na radi kabisa sio tena kitu kizito. Kuna demu nilimtongoza kwa bahati nzuri demu huyo alinikubalia.

Sasa ikawa ngumu kwetu kuongea kwa maana alikuwa hana simu mimi na mapenzi yangu ya kijinga nikajifanya kiherehere cha kumnunulia simu kubwa ya laki 3 nikampa demu. Cha ajabu simu niliyo nunua sasa hivi ndo inanitesa.

Huyo demu sasa hivi hapokehi simu zangu wala kujibu sms zangu na kila nikienda kwao namkuta anaongea na wanaume wengine pale kwao. Tena kwenye simu niliyonunua. Yaani kwa kifupi demu hana mpango na mimi tena.

Je, ni halali mimi kuchukua simu yangu kwake au ni mpotezee?
Ili kumfanya aumie vizuri stop mahusiano mwachie sim maana utatafuta nyingine anza maisha mapya alafu piga kimya yani atakufa kwa presha. Imeisha hiyo...
 
Bora ata angekuwa anasema naishia kuona status tuu anajirusha sehemu za starehe mara anakula pizza mara yupo anaogelea sasa sijui nikodi watu wakamfumue marinda🤔🤔🤔🤔
akifumuliwa marinda utanufaika nini ndugu yangu. Au nipe namba yake tuu! Ipo namna flani hiv ya vijiti saba hapa atarudi tu
 
Back
Top Bottom