Katika maisha, nimejifunza kuwa mwanamke sio mtu wa kumuamini kabisa

Ebu nipe mbinu ya kurudisha laki tatu nilizomkopesha mrembo mmoja niliekuwa nawinda kumhegegda lakini kanizidi akili mpaka sasa
 
Ebu nipe mbinu ya kurudisha laki tatu nilizomkopesha mrembo mmoja niliekuwa nawinda kumhegegda lakini kanizidi akili mpaka sasa
duuh kwa cash inakuwaga ngumu ila fanya kukazia uzi umgegede usepe zako
 
Ebu nipe mbinu ya kurudisha laki tatu nilizomkopesha mrembo mmoja niliekuwa nawinda kumhegegda lakini kanizidi akili mpaka sasa
Kwaiyo ukimdai yeye anakupa majibu gani?
 
Dah yaani huyu mrembo akiingia kwenye 18 zangu naona nitamfumua marinda maana kanifanya boya sana
unabomoa kotekote unatwanga na kusaga aseee jiwe tatu inauma ila ndo ukubwa kuvumilia
 
𝐖𝐚𝐥𝐞 𝐰𝐚𝐡𝐮𝐧𝐢 𝐰𝐚𝐥𝐨𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐰𝐚𝐤𝐢𝐩𝐢𝐠𝐚 𝐤𝐞𝐥𝐞𝐥𝐞 𝐳𝐚 𝐭𝐚𝐟𝐭𝐚 𝐩𝐞𝐬𝐚 𝐦𝐰𝐚𝐧𝐚𝐦𝐤𝐞 𝐚𝐭𝐚𝐭𝐮𝐥𝐢𝐚 𝐦𝐛𝐨𝐧𝐚 𝐬𝐢𝐰𝐚𝐨𝐧𝐢 𝐰𝐚𝐥𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚𝐬𝐢𝐤𝐢𝐚, 𝐈𝐥𝐚 𝐡𝐢𝐢 𝐝𝐮𝐧𝐢𝐚 𝐢𝐦𝐞𝐣𝐚𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐦𝐛𝐨 𝐦𝐞𝐧𝐠𝐢,
𝗙𝗮𝗻𝘆𝗮 𝗸𝘂𝘀𝗮𝗺𝗲𝗵𝗲 𝗸𝗮𝗺𝗮 𝘃𝗶𝗹𝗲 𝘂𝗻𝗮𝘃𝘆𝗼𝗱𝗵𝘂𝗿𝘂𝗺𝗶𝘄𝗮 𝗽𝗲𝘀𝗮 𝗻𝗮 𝗺𝗱𝗲𝗻𝗶 𝘄𝗮𝗸𝗼 𝗺𝗻𝗮𝗽𝗶𝘀𝗵𝗮𝗻𝗮 𝗸𝗶𝗹𝗮 𝘀𝗶𝗸𝘂 𝗺𝘄𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘄𝗮 𝘀𝗶𝗸𝘂 𝘂𝗻𝗮𝗺𝗽𝗼𝘁𝗲𝘇𝗲𝗮, 𝗮𝗻𝗮𝘆𝗲𝗸𝘂𝗹𝗮 𝗮𝘀𝗶𝗰𝗵𝗼𝗸𝗶𝘁𝗼𝗹𝗲𝗮 𝗷𝗮𝘀𝗵𝗼 𝗯𝗮𝘀𝗶 𝘂𝗷𝘂𝗲 𝗮𝗺𝗲𝗸𝘂𝗹𝗮 𝗺𝘄𝗶𝗯𝗮
 
Mkuu, kwanza pole sana. Fanya kama umepoteza hela au umetoa sadaka. Lakini kama unaweza kumtega akaja ukaonana nae mazingira ambayo mko wawili mpokonye, andaa mtego ikiwezekana muahidi zawadi kubwa usioneshe kukasirika ili aje.
Mbinu ya kimedania🤣🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hapo chukua chako pita hv. Kiufupi yaan
 
Haki ya nani, siwezi kukupa pole. [emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…