jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Duh! Mbona unataka ushahidi wa ki forensic kwenye maada nyepesi!!??Imei namba za simu anazo nani!!? Tuanzie hapo kwanza!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Mbona unataka ushahidi wa ki forensic kwenye maada nyepesi!!??Imei namba za simu anazo nani!!? Tuanzie hapo kwanza!
Wahuni tunanunua ili mida ya miti ikifika demu asisumbuwe!! By Chinga boy!!!Mpaka Leo bado kuna wanaume mnawanunulia wanawake vitu.
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
🤣🤣 siyo mimi mkuuWwe huyo na siyo Jamaa yako mbona mi nakujua fresh tuu,achaa zuga humu!!!
Sema mkuumkuu pole mimi ilinitokea miezi miwili nyuma nilimnunulia demu simu sumsung A11 nikampa ili mawasiliano yaimarike niendelee kufaidi mbususu kwa uhakika zaidi..
Sasa bhna baada ya kupokea simu kama wiki hivi nikaanza kuona mabadiliko kitu cha kwanza nilianza kuona ni siwezi kuona status zake WhatsApp nikajua hapa lazima namba imefutwa au privacy inatumika juu yangu ili nisione nini na nani anawekwa status.
Siku moja nikiwa nimetoka kazini mida ya saa kumi12 nikampigia mtoto nikamwambia nataka tuonane akanambia naomba iwe saa moja namalizia kupika nikamwambia sawa ilipo fika saa moja nikajisogeza maeneo ya kukutana nikawa nameza moto polepole muda unasonga .
Nilipo mpigia nikamwambia nakusubiri maeneo hapa uje akagutuka heee! umeshakujaa?? nikamwambia ndio akaanza sasa mbona umekuja na sijakwambia uje nikamjibu tulikubaliana ni saa moja.
Akasema mi bado nina kazi siwezi kutoka nikamwambia utamamaliza saa ngapi akajibu sijui..nikaona isiwe tabu nikakata simu nikamalizia kinywaji nikasepa lakini kichwani nawaza hizi dharau.
Nikaanza mpango wa kutaka kachukua simu yangu ili mpango uende vizuri nikasema sitakiwi kuwa na hasira niwe mpolee basii baada ya siku moja kupita nikamwambia nakuja huko nikuletee zawadi gani,? akasema amua wewe basi chap nikaingia online nikadownlod caver za simu yake za kike nzuri nikamtumia picha nikamwambia chagua caver mbili nipo dukani hapa nikununulie akasema nataka hii na hiii...
Basii nikajua hapa kila kitu kitakuwa sawa nikamwambia basi usiache simu maana zingine huwa zinapwaya hivyo vizuri tujaribishe ili kama itakuwa kuna kasoro nirudi nazo..
Mishale ya saa moja hivi tukakutana tukapiga story fresh nikamwambia nipe simu yako basi akanipa screen lock amebadilisha ila kabla sijampa ile simu mwanzo nilikuwa nimeweka finger print yangu hivyo ilikuwa rahisi kutoa lock chap nikatoa nikaangalia namba yangu kweli haijaseviwa.
Nikamuuliza mbona namba umefuta hana cha kusema nikamwambia naondoka na simu yangu akajibu sawa nikatoa ufungo mfukoni nikachomoa line zake nikamwambia shika akagoma nikaziweka chini hapo mara ghafla akanishika akasema ivi kweli ndo umeamua hivyo nikamwambia ndio nasepa..
Akaanza kilio amenikamata lakini haikusaidia baada ya vutana ya muda nikasepa zangu..Sasa bhana baada ya kufika home na kuikagua ile simu asee niliishiwa nguvu yani aseee acha nisiseme tu...[emoji1602][emoji1602][emoji1602][emoji1602][emoji1602][emoji1602]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] my ribs[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1]Unanikumbusha jamaangu alipanda juu ya bati kung'oa dish la azam .hahahaha
weye kweli maji ya gundu. laki tatu wenzako wanachambia! sembuse kumpa demu unae mgalagaza?? bila shaka una hali ngumu sana!Mwandiko huo hauwezi nunulia pusi cm ya laki 3
Ulimpa full box...? Kama box unalo nenda polisi kawaambie umepoteza simu umpe kesi ya wizi maumivu mpate wote tu.
Unanikumbusha jamaangu alipanda juu ya bati kung'oa dish la azam .hahahaha
Nami ilishwahi nikuta hiyo demu alikuwa mzuri sana (cheupe ndio ugonjwa wangu) nilimuelewa sana nikasema huyu naoa kabisa.
Nami nikamnuliaga simu ya kama 180k hivi sasa alafu nilivyokuwa zoba kwasababu ya kupenda nilimnunulia cm kabla ya kupiga miti, mi sikujua kama demu kichwan kama ana low IQ kiasi kile hivyo hivyo akaanza gafla kulingalinga mpaka tukaachana, kilichoniuma zaidi ni nimemnunulia cm alafu sijapga miti, nikapotea tu simu hata sikumpokonya nikapotezea tu.
Kama miez 8/10 hivi ikapita nashangaa cm inaita namba ngeni,,kupokea ananambia mimi ni fulani,,,nikamwambia poa,,tukachati chati akaniuliza,,vipi ulishaoa nikamwambia bado,,,akawaanajisogeza sogeza nibebe tena mzigo na akasema simu yake aliibiwa kwenye daladala (niliyomnunulia) maana alikuwa na kiswaswadu na katika maongez baadae akiuliza kiutani 'vipi nikikuambia uninunulie tena cm utakubali' nikamwambia haaa usijar mimi kwa wew tena,,ngoja KIDOGO mambo YAKAE SAWA
Nikasema huyu ntamuonyesha shoo mpaka afurahi,,nami bila hiyana 'tukarudiana' safari hii sikumchelewesha nikamuombaga gemu fasta,,hakuzingua ,, nikamwambia aje getho night ,,demu akaja 'nikapiga show ya maana' (ingawa demu mzuri lakini shoo yake F ) asubuhi akasepa
Mara akashangaa hata meseji ya
kumuhuliza vipi umefika salama sijamtumia,,
akaniuliza vipi mbona haujaniuliza kama nimefika,
,kidume nikamute kimya,,,,
Baada ya kama masaa matatu akatuma sms 'naona umefanikisha ulichotaka '
Nikamtext tu 'hahahahha'
Alafu akala block namba zake zote
Na nikafufutilia mbali namba yake,,,nikasema huyu demu aliniona mi boya sana,,,nikafurahi tu nae kaumia nikasema saa hz tume 'balance equation' kiroho safi
Vijana wana tabu saana, sasa yeye alidhani simu ya laki 3 ndio atamkamata, watu wanahonga mpaka range bado wanatafuniwa,
Ukiwa mwanaume inabidi ujue wapi nawekeza wapi natupa, yupi anastahili zawadi yako, yupi unampa tu kama kumsaidia.
Sisi hatuwezi kuwakamata wanawake kwa visenti vyetu, ukiona mwanamke umemnunulia simu ya laki 2 na katulia nawe hata mapepe hana ujue kakupenda(ANAKUSTIRI[emoji23]) na si hicho kisimu chako............................. Maelezo mengi mzee mwenzangu utanichosha bure, ndio maana nikaishia kucheka tu, halafu anaonekana mgeni kwenye haya mambo, alipaswa awe level hata ya professional, huyu ni beginner kaabisa.
Hawa warembo ni kuwa treat kama malaya tuu...ukisema ulete upendo kwao utaishia kulia kwa choo
Ebu nipe mbinu ya kurudisha laki tatu nilizomkopesha mrembo mmoja niliekuwa nawinda kumhegegda lakini kanizidi akili mpaka sasa
Mzeya kuna wakati napo unazidiwa maujanja ndio hivyo sasa nafanyaje kupata hela yanguWe nawe ulishafeli mkuu dah[emoji23]mi demu nikifukuzia akintajia hela tu ndo bye bye hiyo!!