Katika maisha yangu haya ya ujana, sijakutana na mwanamke bikira kimwili

Katika maisha yangu haya ya ujana, sijakutana na mwanamke bikira kimwili

Nina bahati nao sana hao watu, hadi sasa nshapata watano, na mwingine namweka sawa kubutua in the near future.

by the way, Mbona hiyo avatar yako haisadifu mambo unayoyaandika humu?

Ndugu wadau wa JF,

mAISHA yangu ya sasa ya ujana, bado sijafanikiwa kukutana na mwanamke bikira kimwili. Japo nahisi ni jambo gumu mno katika maisha yetu ya mahusiano ya kimapenzi kwa sasa ya kukutana kimwili na mwanamke ambaye ni bikira.

Sijisikii vibaya sana kwa hali hii, kwa sababu hata mwanamke ambaye siyo bikira ni mzuri pia, ili mradi awe anajitambua na kujiheshimu na kujibidiisha katika maendeleo ya kimaisha pia.

Ila nilishamezeshwa sumu na marafiki kwamba wao wameshawahi kulala na wanawake ambao ni mabikira, na wamekuwa wakinicheka mimi ambaye niliwahi kuwaambia sijawahi kulala na mwanamke ambaye ni bikira.

Wakati mwingine huwa ninaumia kiasi flani ninavyochekwa na marafiki zangu linapoongelewa swala la mapenzi hasa upande wa ngono, najikaza kiume lakini ninaumizwa kwa kuchekwa kwa jambo kama hilo.
 
nimekutana na bikra kama tatu tena kwa wanafunzi wa vyuo.....mkuu hakuna jipya kwanza ni taabu tupu, hadi upake mate uume wako au sabuni muu sasa shida ya nini, gonga hiyo hiyo mikubwa mienzio.....inajoto hiyo hadi basi.... mi sitaki tena hizo bikra....!

Wote hao ume waharibu na kuwaacha!!
Halafu wenzako wanakuja kukuta hamna kitu mnaanza kusema kizazi hiki hakina maadili
Kazi ipo.
Waoneeno huruma wadogo zetu
 
hicho unachokitafuta utakipata tu ila jua kuna jela
Acha uzinifu ww ivi ww dini gani au huna dini kama huna dini huogopi hata ukimwi unazungumza zinaa kama nijambo la kawaida sana ktk mila na desturi zetu za kibantu zinaa ni janbo baya sana na ikibidi kulizungumza tunazungumza kwa faragha sio hivi unavyo lisema ww .pumbafu ww
 
Acha uzinifu ww ivi ww dini gani au huna dini kama huna dini huogopi hata ukimwi unazungumza zinaa kama nijambo la kawaida sana ktk mila na desturi zetu za kibantu zinaa ni janbo baya sana na ikibidi kulizungumza tunazungumza kwa faragha sio hivi unavyo lisema ww .pumbafu ww

Leta bakora tumtandike mboko
 
Duh pole sana mkuu mimi natunziwa yangu mpaka ndoz
 
yaani nikiona jina lako tu nasisimka na hizi bandiko zako moyo wangu walipuka kwa kelele za shangwe nionee huruma mwenzio nateseka kwa ajili yako nipe nafasi naahid sitaichezea katu i love you my number one CC: Madame B
Hata avatar yako inaonesha jinsi ulivyomkimbizaji hodari, lakini jitahidi kwa huyo huyo wa kwenye avatar akichoka utafanikiwa.
 
Wote hao ume waharibu na kuwaacha!!
Halafu wenzako wanakuja kukuta hamna kitu mnaanza kusema kizazi hiki hakina maadili
Kazi ipo.
Waoneeno huruma wadogo zetu
Mkuu ubinafsi unasumbua wengi akiwemo huyu.
 
waharibifu ni wengi ,mla kuku wa mwinziwe miguu humuelekea,ngoja na mwanao afanyiwe kama unavyotaka kuwafanyia wa wenzio
 
Sitaki kutembea na mwanafunzi aliye chini ya umri wa miaka 18, wala sitaki kulawiti vitoto vidogo. Ila ninaumia moyoni kwa kuchekwa na marafiki lol!

Sio kila unachokitafuta lazima ukipate bro, ndo maana sasa hivi vitendo wa baba kubaka watoto wao vinaongezeka katika jamii. Jaribu kulizika na kile unachokipata kwanza wewe unachotaka ni bikira tu au uwe na mpenzi anaekuheshimu na anaejua mapenzi nini? Sielewi intention yako ni nini hasa.
 
Sio kila unachokitafuta lazima ukipate bro, ndo maana sasa hivi vitendo wa baba kubaka watoto wao vinaongezeka katika jamii. Jaribu kulizika na kile unachokipata kwanza wewe unachotaka ni bikira tu au uwe na mpenzi anaekuheshimu na anaejua mapenzi nini? Sielewi intention yako ni nini hasa.

Kuna siku atabaka bikra
 
ofcoz ni kitu historic though sio muhimu......na ni nadra sana nowadays based na maisha tunayoishi...ila cha kujua ni kwamba ukikutana nayo,zoezi ni hectic na lisilohitaji huruma,vinginevyo..hutaweza,if its after all a real one......
 
bikra utampata wapi, wakati wenzako ndo kazi yao kutoa bikra na kuwaacha? sasa sijui nani alaumiwe, mwenye kutoa bikra au aliyetolewa bikra!!??
 
Back
Top Bottom