Katika Marais wote waliopita Tanzania namkubali Kikwete zaidi

Katika Marais wote waliopita Tanzania namkubali Kikwete zaidi

View attachment 3217066

sijui ni kwanini Legacy yake haizumgumziwi kabisa,

shule za kata ni moja ya kitu muhimu zaidi alichoifanyia Tanzania, na hakitasahaulika...

Mwana demokrasia na mwana diplomasia ambae hakuna aliyewahi kumfikia Tanzania hii...

Hata chuo kikuu cha UDOM na miradi mingine ameitekeleza yeye mwenyewe akiwa madarakani.

lakini hakuna anaeongelea na kupongeza jitihada
zake.

ni kwasababu ya hulka yake na demokrasia yake ya kuruhusu kila kitu kusemwa hadharani ? l


Legend JK
Nonsense
 
View attachment 3217066

sijui ni kwanini Legacy yake haizumgumziwi kabisa,

shule za kata ni moja ya kitu muhimu zaidi alichoifanyia Tanzania, na hakitasahaulika...

Mwana demokrasia na mwana diplomasia ambae hakuna aliyewahi kumfikia Tanzania hii...

Hata chuo kikuu cha UDOM na miradi mingine ameitekeleza yeye mwenyewe akiwa madarakani.

lakini hakuna anaeongelea na kupongeza jitihada
zake.

ni kwasababu ya hulka yake na demokrasia yake ya kuruhusu kila kitu kusemwa hadharani ? l


Legend JK
Jk
View attachment 3217066

sijui ni kwanini Legacy yake haizumgumziwi kabisa,

shule za kata ni moja ya kitu muhimu zaidi alichoifanyia Tanzania, na hakitasahaulika...

Mwana demokrasia na mwana diplomasia ambae hakuna aliyewahi kumfikia Tanzania hii...

Hata chuo kikuu cha UDOM na miradi mingine ameitekeleza yeye mwenyewe akiwa madarakani.

lakini hakuna anaeongelea na kupongeza jitihada
zake.

ni kwasababu ya hulka yake na demokrasia yake ya kuruhusu kila kitu kusemwa hadharani ? l


Legend JK
Jk alikuw best president
 
Kikwete amehujumu sana nchi hii kiuchumi enzi ya utawala wake. Yeye ndio alikuwa partner wa Home shopping Centre wakati huo na sasa ili wasijulikane kabla ya Marehemu Magu kuingia madarakani wakabadili jina na kuitwa GSM!!
Hawa walikuwa wanaingiza makontena ya bidhaa kwa ma Elfu bila kulipa ushuru wa bandari miaka yote ya utawala wake. In fact what Home shopping Centre did during Kikwete’s tenure could be characterized as “ STATE CAPTURE “ by Home Shopping Centre!
Polojo hizi
 
View attachment 3217066

sijui ni kwanini Legacy yake haizumgumziwi kabisa,

shule za kata ni moja ya kitu muhimu zaidi alichoifanyia Tanzania, na hakitasahaulika...

Mwana demokrasia na mwana diplomasia ambae hakuna aliyewahi kumfikia Tanzania hii...

Hata chuo kikuu cha UDOM na miradi mingine ameitekeleza yeye mwenyewe akiwa madarakani.

lakini hakuna anaeongelea na kupongeza jitihada
zake.

ni kwasababu ya hulka yake na demokrasia yake ya kuruhusu kila kitu kusemwa hadharani ? l


Legend JK
Hivi ni nani alitoa amri ya kumuua Sheikh Ponda kule Morogoro?

God is great, Ponda alijeruhiwa bega tu.
 
Hii nchi ina wapumbavuh wengi mpaka naona aibu hata kurudi Kuja Ishi Tanzania. Ngoja niendelee kubaki ishi huku ughaibuni. Wewe utakuwa ni Division 5 kilaza wa vyeti fake.
Subiri kupigwa pingu, Trump hawataki, Waingereza hawawataki, yaani hakuna mzungu anayekuhitaji huko na labda unarudi na singlendi😂😂😂😂😂😜
 
Eti wewe naniii wewe NadeOj huyo jamaa si ndo alitaka kutuibia gas yetu na kuipeleka kwao Bagamoyo. katuachia legacy kubwa sana yeye na mwenzake Mizengo + Pinda
 
Nilikuwa nawaandikia mara kwa mara kuwaTanzania haitapata rais kama Kikwete kwa muda mrefu sana. Haijawahi kupata kabla yake na itatuchukuwa muda sana kupata mbadala wake.

Sifa kuu ya Kikwete ni, anajuwa kula na vipofu.
 
View attachment 3217066

sijui ni kwanini Legacy yake haizumgumziwi kabisa,

shule za kata ni moja ya kitu muhimu zaidi alichoifanyia Tanzania, na hakitasahaulika...

Mwana demokrasia na mwana diplomasia ambae hakuna aliyewahi kumfikia Tanzania hii...

Hata chuo kikuu cha UDOM na miradi mingine ameitekeleza yeye mwenyewe akiwa madarakani.

lakini hakuna anaeongelea na kupongeza jitihada
zake.

ni kwasababu ya hulka yake na demokrasia yake ya kuruhusu kila kitu kusemwa hadharani ? l


Legend JK
Namkubali

1. J. K. Nyerere 20/100
2. A. H. Mwinyi 20/100
3. B. W. Mkapa 30/100
4. J. M. Kikwete 20/100
5. J. P. J. Magufuli 70/100
6. S. S. Hassan 15/100
 
Hoja hafifu
ni mojawapo ya mazuri yeke ali ajiri kwa wakati (AJIRA ZA WATUMISHI WA UMMA) na kuongeza mishahara ya watumishi wa umma NA KUPANDISHA MADARAJA KILA BAADA YA MIAKA 3 MPAKA 2 KWA WAKATI.ni moja ya mazuri yake hata kama ni hafifu.

Mana kuna mwingine hakuajiri wala kuongeza mishahara ya watumishi kwa miaka 5.?
 
Legacy ya huyu Vasco Dagama ni ufujaji wa pesa za wananchi kwenda kubembea marekani na chawa wake na pili kubwa zaidi kuhujumu upatikanaji wa Katiba ya wananchi iliyopendekezwa na Warioba! Bila hujuma ya Kikwete saa hizi nchi ingekuwa imesonga mbele sana kisiasa na kiuchumi
Gesi Tumepigwa alisemaga Mwamba ??!
😳!
 
View attachment 3217066

sijui ni kwanini Legacy yake haizumgumziwi kabisa,

shule za kata ni moja ya kitu muhimu zaidi alichoifanyia Tanzania, na hakitasahaulika...

Mwana demokrasia na mwana diplomasia ambae hakuna aliyewahi kumfikia Tanzania hii...

Hata chuo kikuu cha UDOM na miradi mingine ameitekeleza yeye mwenyewe akiwa madarakani.

lakini hakuna anaeongelea na kupongeza jitihada
zake.

ni kwasababu ya hulka yake na demokrasia yake ya kuruhusu kila kitu kusemwa hadharani ? l


Legend JK

NYERERE was a LEGEND....huwezi kumlinganisha na Rais yoyote Mwingine...labda aje huko baadae
Ogopa sana mtu aliyechukua Nchi wakati 90% ya nchi ni nyumba za nyasi. Hakuna Hospitali, hakuna umeme, hakuna barabara, hakuna kiwanda, hakuna wataalam wa aina yeyote, watu wavivu wanategemea serikali iwalishe......tumetoka mbali!

Yaani yeye ndiye alianza Nchi from the scratch.....Nyerere alikuwa super GENIUS!
Hawa wengine wanakuja wakati mambo yakiwa mazuri
Kila Rais kwa kipindi chake alifanya ya kwake mazuri;
Mfano: Mzee Ruhsa aliwezesha bidhaa muhimu zipatikane ndani ya Nchi; Mkapa akaweka utaratibu wa kukusanya kodi baada ya bidhaa kuwepo ndani ya Nchi...Mzee kikwete alivyoingia akawa na fursa ya kufanya mengi kwa sababu Kodi ilikusanywa kwa wingi nk nk nk
Kimsingi Kila mmoja alifanya nafasi yake ILA aliyefanya kazi kubwa na ya kipekee kabisa ni Mwalimu Nyerere
 
Alivoondoka huyu mzee hatujawahi kupata rais tena ebu ngoja tuone 2030 labda tutapata rais
 
ni mojawapo ya mazuri yeke ali ajiri kwa wakati (AJIRA ZA WATUMISHI WA UMMA) na kuongeza mishahara ya watumishi wa umma NA KUPANDISHA MADARAJA KILA BAADA YA MIAKA 3 MPAKA 2 KWA WAKATI.ni moja ya mazuri yake hata kama ni hafifu.

Mana kuna mwingine hakuajiri wala kuongeza mishahara ya watumishi kwa miaka 5.?
Walikufa?
Unawaongezea mshahara wezi majambazi tena wenye vyeti feki?

Ww umesikia wapi watu wanaongezewa mshahara kama peremende.?

Kuna nchi yeyote ile unayoijua inawaongezea mishahara watu wake kiholelaholela?
 
Back
Top Bottom