NonsenseView attachment 3217066
sijui ni kwanini Legacy yake haizumgumziwi kabisa,
shule za kata ni moja ya kitu muhimu zaidi alichoifanyia Tanzania, na hakitasahaulika...
Mwana demokrasia na mwana diplomasia ambae hakuna aliyewahi kumfikia Tanzania hii...
Hata chuo kikuu cha UDOM na miradi mingine ameitekeleza yeye mwenyewe akiwa madarakani.
lakini hakuna anaeongelea na kupongeza jitihada
zake.
ni kwasababu ya hulka yake na demokrasia yake ya kuruhusu kila kitu kusemwa hadharani ? l
Legend JK