Katika Marais wote waliopita Tanzania namkubali Kikwete zaidi

Katika Marais wote waliopita Tanzania namkubali Kikwete zaidi

View attachment 3217066

sijui ni kwanini Legacy yake haizumgumziwi kabisa,

shule za kata ni moja ya kitu muhimu zaidi alichoifanyia Tanzania, na hakitasahaulika...

Mwana demokrasia na mwana diplomasia ambae hakuna aliyewahi kumfikia Tanzania hii...

Hata chuo kikuu cha UDOM na miradi mingine ameitekeleza yeye mwenyewe akiwa madarakani.

lakini hakuna anaeongelea na kupongeza jitihada
zake.

ni kwasababu ya hulka yake na demokrasia yake ya kuruhusu kila kitu kusemwa hadharani ? l


Legend JK
Tupo pamoja Mkuu, Kwa masikitiko mwenda zake alifanya jitihada kubwa sana kuharibu mazuri yake, kuzuia asitajwe kwa mazuri na akalazimisha asifiwe yeye kwa mtutu na damu..!!
 
View attachment 3217066

sijui ni kwanini Legacy yake haizumgumziwi kabisa,

shule za kata ni moja ya kitu muhimu zaidi alichoifanyia Tanzania, na hakitasahaulika...

Mwana demokrasia na mwana diplomasia ambae hakuna aliyewahi kumfikia Tanzania hii...

Hata chuo kikuu cha UDOM na miradi mingine ameitekeleza yeye mwenyewe akiwa madarakani.

lakini hakuna anaeongelea na kupongeza jitihada
zake.

ni kwasababu ya hulka yake na demokrasia yake ya kuruhusu kila kitu kusemwa hadharani ? l


Legend JK
Huyo ni jambazi anayetabasami
 
Kikwete amehujumu sana nchi hii kiuchumi enzi ya utawala wake. Yeye ndio alikuwa partner wa Home shopping Centre wakati huo na sasa ili wasijulikane kabla ya Marehemu Magu kuingia madarakani wakabadili jina na kuitwa GSM!!
Hawa walikuwa wanaingiza makontena ya bidhaa kwa ma Elfu bila kulipa ushuru wa bandari miaka yote ya utawala wake. In fact what Home shopping Centre did during Kikwete’s tenure could be characterized as “ STATE CAPTURE “ by Home Shopping Centre!
Hizi story za vijiweni kutoka kwa watu wenye chuki, tumezizowea, laiti kungekuwa na ushahidi mzalendo feki mwenda zake asingekosa cha kufanya....

ILA SISI TUNAKUMBUKA WAKATI WAKE PROF. MUSSA ASSAD ALITUSANUWA YA KUWA, KULIKUWA NA UPOTEVU WA KIASI CHA 1.5T KTK ZAMA ZAKE, KILICHOMKUTA ASSAD NI KUKABIDHI OFISI KWA KISINGIZIO CHA KUPINGANA NA MUHIMILI WA BUNGE, HUKU YEYE MWENYEWE (JIWE) AKIWA KINARA WA KUINGILIA MIHIMILI MINGINE...
 
Nimeshaeleza na sirudii.

Kama shule za kata zilikuwa kwa nguvu ya wananchi, ilikuwaje shule zilizochelewa zilianzishwa 2006 mwanzoni?

Shule za kata ziliasisiwa wakati wa Mkapa, sema kwa kuwa zilikuwa zinajengwa kwa nguvu za wananchi, kata zilizosimamia kivivu ndiyo walichelewa na ndipo Lowasa alipoingia aka-push agenda fasta kwa ukali, ndipo viongozi legelege nao wakawawashia moto wananchi na wakaharakisha ujenzi.

Kama wilaya unayotoka hakuna shule ya kata iliyoanza ama mwaka 2004, 2005 au 2006 mwanzoni, jua umezaliwa wilaya ya majitu mavivu. Fullstop.
Bado RUDISHA kumbukumbu, shule za kata ni Lowasa alikuwa msimamizi na initiator, chini ya JK, ni hivyo tu, kama unaishi Tanzania!
Unless kama unaishi kwenye SAYARI Fulani hivi!!
 
Bado RUDISHA kumbukumbu, shule za kata ni Lowasa alikuwa msimamizi na initiator, chini ya JK, ni hivyo tu, kama unaishi Tanzania!
Unless kama unaishi kwenye SAYARI Fulani hivi!!
Tufanye initiator wa shule za kata ni Lowasa.

Kama unaweza kupata hansard za bunge za miaka ya 2000-2005, zifuatilie hasa hotuba za kufunga bunge zilizokuwa zikitolewa na waziri mkuu enzi hizo.

Sijaanza kufatilia mambo ya viongozi leo hii.

Uzuri nimekupa mpaka rejea, tafuta hizo hansard za bunge, kukiwa hakuna mijadala ya shule za sekondari za kata miaka hiyo, najitoa JF.

Kama ni wakuelewa umeelewa, tofauti na hapo basi unaleta mambo ya ushabiki wa utimu mlionao vijana wa enzi hizi ili mpate vyeo kwa kujipendekeza kwa mnaodhani watawarahisishia kuoata vyeo.
 
Hizi story za vijiweni kutoka kwa watu wenye chuki, tumezizowea, laiti kungekuwa na ushahidi mzalendo feki mwenda zake asingekosa cha kufanya....

ILA SISI TUNAKUMBUKA WAKATI WAKE PROF. MUSSA ASSAD ALITUSANUWA YA KUWA, KULIKUWA NA UPOTEVU WA KIASI CHA 1.5T KTK ZAMA ZAKE, KILICHOMKUTA ASSAD NI KUKABIDHI OFISI KWA KISINGIZIO CHA KUPINGANA NA MUHIMILI WA BUNGE, HUKU YEYE MWENYEWE (JIWE) AKIWA KINARA WA KUINGILIA MIHIMILI MINGINE...
 
Hizi story za vijiweni kutoka kwa watu wenye chuki, tumezizowea, laiti kungekuwa na ushahidi mzalendo feki mwenda zake asingekosa cha kufanya....

ILA SISI TUNAKUMBUKA WAKATI WAKE PROF. MUSSA ASSAD ALITUSANUWA YA KUWA, KULIKUWA NA UPOTEVU WA KIASI CHA 1.5T KTK ZAMA ZAKE, KILICHOMKUTA ASSAD NI KUKABIDHI OFISI KWA KISINGIZIO CHA KUPINGANA NA MUHIMILI WA BUNGE, HUKU YEYE MWENYEWE (JIWE) AKIWA KINARA WA KUINGILIA MIHIMILI MINGINE...
Unaposema “ Sisi” nyie wakina nani? Kama ni chawa wa Kikwete basi Sawa kwani mmefumba macho kwa mambo yaliyo kuwa wazi kwani kila
mwenye akili aliyaona!
Kwanini “ Home Shopping Centre” walibadili jina mara tu Magu alipoingia madarakani? Ufisadi mtupu uliokithiri! Nyie chawa mnaita ukweli huu mambo ya kijiweni!!
 
Tufanye initiator wa shule za kata ni Lowasa.

Kama unaweza kupata hansard za bunge za miaka ya 2000-2005, zifuatilie hasa hotuba za kufunga bunge zilizokuwa zikitolewa na waziri mkuu enzi hizo.

Sijaanza kufatilia mambo ya viongozi leo hii.

Uzuri nimekupa mpaka rejea, tafuta hizo hansard za bunge, kukiwa hakuna mijadala ya shule za sekondari za kata miaka hiyo, najitoa JF.

Kama ni wakuelewa umeelewa, tofauti na hapo basi unaleta mambo ya ushabiki wa utimu mlionao vijana wa enzi hizi ili mpate vyeo kwa kujipendekeza kwa mnaodhani watawarahisishia kuoata vyeo.
Ukitaka origin ya shule za kata Tanzania mwanzilishi kabisa ni Sr Wilbroad Slaa ambaye kwa kuhamasisha wananchi ili Jimbo la karatu liwe na shule kila kata!

Kutoka pale serikali ika copy na kupaste, na Lowasa akaanza ku populize wakambeza anajenga majengo walimu hakuna,...na vifaa vya maabara na maabara hakuna
 
Ukitaka origin ya shule za kata Tanzania mwanzilishi kabisa ni Sr Wilbroad Slaa ambaye kwa kuhamasisha wananchi ili Jimbo la karatu liwe na shule kila kata!

Kutoka pale serikali ika copy na kupaste, na Lowasa akaanza ku populize wakambeza anajenga majengo walimu hakuna,...na vifaa vya maabara na maabara hakuna
Yaelekea wewe ulizaliwa familia ya mboga saba, hivyo hukuona hekaheka za wanakijiji kujificha wanaposikia siku ya kusakwa watu ambao hawajalipia michango ya ujenzi wa sekondari miaka ya 2000 hadi 2007.

Pia hukushuhudia namna mtu aliyekimbia mji wake na katika mji akakutwa kuku au mbuzi au ng'ombe na akachukuliwa kwa imani mwenye mfugo lazima atakwenda kufuatilka mfugo wake ofisini ndiyo maana unashabikia kichawachawa.

Sikusimuliwa, niliona kwa macho yangu.
 
Yaelekea wewe ulizaliwa familia ya mboga saba, hivyo hukuona hekaheka za wanakijiji kujificha wanaposikia siku ya kusakwa watu ambao hawajalipia michango ya ujenzi wa sekondari miaka ya 2000 hadi 2007.

Pia hukushuhudia namna mtu aliyekimbia mji wake na katika mji akakutwa kuku au mbuzi au ng'ombe na akachukuliwa kwa imani mwenye mfugo lazima atakwenda kufuatilka mfugo wake ofisini ndiyo maana unashabikia kichawachawa.

Sikusimuliwa, niliona kwa macho yangu.
Sioni Cha maana hapa ulichoandika, ni nonsense to me!!

I won't respond anymore!!
 
View attachment 3217066

sijui ni kwanini Legacy yake haizumgumziwi kabisa,

shule za kata ni moja ya kitu muhimu zaidi alichoifanyia Tanzania, na hakitasahaulika...

Mwana demokrasia na mwana diplomasia ambae hakuna aliyewahi kumfikia Tanzania hii...

Hata chuo kikuu cha UDOM na miradi mingine ameitekeleza yeye mwenyewe akiwa madarakani.

lakini hakuna anaeongelea na kupongeza jitihada
zake.

ni kwasababu ya hulka yake na demokrasia yake ya kuruhusu kila kitu kusemwa hadharani ? l


Legend JK
HAYO NI MAHABA YAKO BINAFSI KAA NAYO KWA KUTULIA..
 
Division 5. Singlendi ni nini? Mimi nipo sana USA. sina mpango wa kurudi huko mnakoongozwa na vilaza....nanyi mnashabikia hao vilaza mkiwa mmebemendwa kiakili. Nmeoa na nina mtoto wa mwanamke wa kizungu. Kifupi siyo illegal.
You need to learn a little bit young lady. Keep on vomitting....🤣 Toa povu loooote....i hope now umechuchumaa... Go on....

Povu linakutoka na khanga moja. Nataka utokwe povu lote leo.
 
PAMOJA NA UWEPO WA WATUMISHI HEWA LAKINI BADO ALIFANIKIWA
1)kuajiri watumishi kila mwaka
2)alipandisha madaraja watumishi kwa wakati kila baada ya miaka 3
3)Aliongeza mishahara ya watumishi wa umma.
4)HUDUMA ZA AFYA MATIBABU YA KIBINGWA kama hospitali ya JKCI huduma za afya hii ilipunguza watu kwenda kutibiwa INDIA magonjwa ya moyo...KWA WATUMISHI WA UMMA WATAMKUMBUKA KWA HILO LA KUAJIRI KILA MWAKA,KUPANDISHA MADARAJA,ANNUAL INCREMENT,NA KUWAONGEZEA MSHAHARA KWA KIWANGO KIKUBWA AMBACHO HAKIKUWAHI KUTOKEA KABLA.
Blah blah blah na porojo jingi tu.

Tutajie nchi inayoongeza mishahara kiholelaholea kama JK

kama huna jibu kaombe yesu wako akupe.
 
View attachment 3217066

sijui ni kwanini Legacy yake haizumgumziwi kabisa,

shule za kata ni moja ya kitu muhimu zaidi alichoifanyia Tanzania, na hakitasahaulika...

Mwana demokrasia na mwana diplomasia ambae hakuna aliyewahi kumfikia Tanzania hii...

Hata chuo kikuu cha UDOM na miradi mingine ameitekeleza yeye mwenyewe akiwa madarakani.

lakini hakuna anaeongelea na kupongeza jitihada
zake.

ni kwasababu ya hulka yake na demokrasia yake ya kuruhusu kila kitu kusemwa hadharani ? l


Legend JK
Mwamba alizingua alipotumia muda mrefu kuwapotosha wenzake kuwa mkutano mkuu wa ccm unaweza kufanya maamuzi yoyote hata kwenda kinyume na katiba
 
Blah blah blah na porojo jingi tu.

Tutajie nchi inayoongeza mishahara kiholelaholea kama JK

kama huna jibu kaombe yesu wako akupe.
Kupanda madara na nyongeza ya mshahara ipo kwa mujibu wa sheria ya kanuni ya utumishi wa umma(KISHERIA ) za nchi yetu ,NI STAHIKI HAKI ZA WATUMISHI SIO HISANI
Wizara ya Katiba na Sheria
PDF
Kanuni za Utumishi wa Umma 2014

2.Mfano wa raisi wa nchi nyingine anayeongeza mishahara/mfano wa nchi jirani hapo Kenya tu.
 

Attachments

  • Screenshot_20250129-203917.jpg
    Screenshot_20250129-203917.jpg
    302 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250129-203709.jpg
    Screenshot_20250129-203709.jpg
    238.9 KB · Views: 2
Kupanda madara na nyongeza ya mshahara ipo kwa mujibu wa sheria ya kanuni ya utumishi wa umma(KISHERIA ) za nchi yetu ,NI STAHIKI HAKI ZA WATUMISHI SIO HISANI
Wizara ya Katiba na Sheria
PDF
Kanuni za Utumishi wa Umma 2014
Narudia tena. Usiniwekee porojo.

Hayo yote nayajua, haya kwenye hilo PDF lako linasema ni Lazima Rais aongeze Mshahara? 👈Usijibu hili


Tutajie batanzani, nchi gani inayoongeza mishahara kiholelaholea kama alivyofanya JK?
 
Narudia tena. Usiniwekee porojo.

Hayo yote nayajua, haya kwenye hilo PDF lako linasema ni Lazima Rais aongeze Mshahara? 👈Usijibu hili


Tutajie batanzani, nchi gani inayoongeza mishahara kiholelaholea kama alivyofanya JK?
zipo nyingi sana acha tuanze na nji jirani hapo KENYA TU.
 

Attachments

  • Screenshot_20250129-203917.jpg
    Screenshot_20250129-203917.jpg
    302 KB · Views: 1
zi
Narudia tena. Usiniwekee porojo.

Hayo yote nayajua, haya kwenye hilo PDF lako linasema ni Lazima Rais aongeze Mshahara? 👈Usijibu hili


Tutajie batanzani, nchi gani inayoongeza mishahara kiholelaholea kama alivyofanya JK?
zipo nyingi sana acha tuanzie east africa hapo jirani kenya tu
 

Attachments

  • Screenshot_20250129-203709.jpg
    Screenshot_20250129-203709.jpg
    238.9 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250129-203917.jpg
    Screenshot_20250129-203917.jpg
    302 KB · Views: 0
  • Screenshot_20250129-203709.jpg
    Screenshot_20250129-203709.jpg
    238.9 KB · Views: 2
Back
Top Bottom