NonsenseView attachment 3217066
sijui ni kwanini Legacy yake haizumgumziwi kabisa,
shule za kata ni moja ya kitu muhimu zaidi alichoifanyia Tanzania, na hakitasahaulika...
Mwana demokrasia na mwana diplomasia ambae hakuna aliyewahi kumfikia Tanzania hii...
Hata chuo kikuu cha UDOM na miradi mingine ameitekeleza yeye mwenyewe akiwa madarakani.
lakini hakuna anaeongelea na kupongeza jitihada
zake.
ni kwasababu ya hulka yake na demokrasia yake ya kuruhusu kila kitu kusemwa hadharani ? l
Legend JK
JkView attachment 3217066
sijui ni kwanini Legacy yake haizumgumziwi kabisa,
shule za kata ni moja ya kitu muhimu zaidi alichoifanyia Tanzania, na hakitasahaulika...
Mwana demokrasia na mwana diplomasia ambae hakuna aliyewahi kumfikia Tanzania hii...
Hata chuo kikuu cha UDOM na miradi mingine ameitekeleza yeye mwenyewe akiwa madarakani.
lakini hakuna anaeongelea na kupongeza jitihada
zake.
ni kwasababu ya hulka yake na demokrasia yake ya kuruhusu kila kitu kusemwa hadharani ? l
Legend JK
Jk alikuw best presidentView attachment 3217066
sijui ni kwanini Legacy yake haizumgumziwi kabisa,
shule za kata ni moja ya kitu muhimu zaidi alichoifanyia Tanzania, na hakitasahaulika...
Mwana demokrasia na mwana diplomasia ambae hakuna aliyewahi kumfikia Tanzania hii...
Hata chuo kikuu cha UDOM na miradi mingine ameitekeleza yeye mwenyewe akiwa madarakani.
lakini hakuna anaeongelea na kupongeza jitihada
zake.
ni kwasababu ya hulka yake na demokrasia yake ya kuruhusu kila kitu kusemwa hadharani ? l
Legend JK
Polojo hiziKikwete amehujumu sana nchi hii kiuchumi enzi ya utawala wake. Yeye ndio alikuwa partner wa Home shopping Centre wakati huo na sasa ili wasijulikane kabla ya Marehemu Magu kuingia madarakani wakabadili jina na kuitwa GSM!!
Hawa walikuwa wanaingiza makontena ya bidhaa kwa ma Elfu bila kulipa ushuru wa bandari miaka yote ya utawala wake. In fact what Home shopping Centre did during Kikweteβs tenure could be characterized as β STATE CAPTURE β by Home Shopping Centre!
Hivi ni nani alitoa amri ya kumuua Sheikh Ponda kule Morogoro?View attachment 3217066
sijui ni kwanini Legacy yake haizumgumziwi kabisa,
shule za kata ni moja ya kitu muhimu zaidi alichoifanyia Tanzania, na hakitasahaulika...
Mwana demokrasia na mwana diplomasia ambae hakuna aliyewahi kumfikia Tanzania hii...
Hata chuo kikuu cha UDOM na miradi mingine ameitekeleza yeye mwenyewe akiwa madarakani.
lakini hakuna anaeongelea na kupongeza jitihada
zake.
ni kwasababu ya hulka yake na demokrasia yake ya kuruhusu kila kitu kusemwa hadharani ? l
Legend JK
Hoja hafifuALIONGEZA MISHAHARA YA WATUMISHI WA UMMA.
Subiri kupigwa pingu, Trump hawataki, Waingereza hawawataki, yaani hakuna mzungu anayekuhitaji huko na labda unarudi na singlendiππππππHii nchi ina wapumbavuh wengi mpaka naona aibu hata kurudi Kuja Ishi Tanzania. Ngoja niendelee kubaki ishi huku ughaibuni. Wewe utakuwa ni Division 5 kilaza wa vyeti fake.
Uchawa tu unaendelea!!!kwanini "Bila hujuma ya Kikwete"
na si wengine wakati yeye ni rais wa nne tu,
kipi kimefanya um highlight yeye na kuwaacha wengine ?
NamkubaliView attachment 3217066
sijui ni kwanini Legacy yake haizumgumziwi kabisa,
shule za kata ni moja ya kitu muhimu zaidi alichoifanyia Tanzania, na hakitasahaulika...
Mwana demokrasia na mwana diplomasia ambae hakuna aliyewahi kumfikia Tanzania hii...
Hata chuo kikuu cha UDOM na miradi mingine ameitekeleza yeye mwenyewe akiwa madarakani.
lakini hakuna anaeongelea na kupongeza jitihada
zake.
ni kwasababu ya hulka yake na demokrasia yake ya kuruhusu kila kitu kusemwa hadharani ? l
Legend JK
ni mojawapo ya mazuri yeke ali ajiri kwa wakati (AJIRA ZA WATUMISHI WA UMMA) na kuongeza mishahara ya watumishi wa umma NA KUPANDISHA MADARAJA KILA BAADA YA MIAKA 3 MPAKA 2 KWA WAKATI.ni moja ya mazuri yake hata kama ni hafifu.Hoja hafifu
Gesi Tumepigwa alisemaga Mwamba ??!Legacy ya huyu Vasco Dagama ni ufujaji wa pesa za wananchi kwenda kubembea marekani na chawa wake na pili kubwa zaidi kuhujumu upatikanaji wa Katiba ya wananchi iliyopendekezwa na Warioba! Bila hujuma ya Kikwete saa hizi nchi ingekuwa imesonga mbele sana kisiasa na kiuchumi
View attachment 3217066
sijui ni kwanini Legacy yake haizumgumziwi kabisa,
shule za kata ni moja ya kitu muhimu zaidi alichoifanyia Tanzania, na hakitasahaulika...
Mwana demokrasia na mwana diplomasia ambae hakuna aliyewahi kumfikia Tanzania hii...
Hata chuo kikuu cha UDOM na miradi mingine ameitekeleza yeye mwenyewe akiwa madarakani.
lakini hakuna anaeongelea na kupongeza jitihada
zake.
ni kwasababu ya hulka yake na demokrasia yake ya kuruhusu kila kitu kusemwa hadharani ? l
Legend JK
Na aliyetuma watu kudhalilisha Wazee wakosoaji ?π³π!Huyu huyu Aliyegeuza Ikulu Danguro?
Be serious bana
π€
Walikufa?ni mojawapo ya mazuri yeke ali ajiri kwa wakati (AJIRA ZA WATUMISHI WA UMMA) na kuongeza mishahara ya watumishi wa umma NA KUPANDISHA MADARAJA KILA BAADA YA MIAKA 3 MPAKA 2 KWA WAKATI.ni moja ya mazuri yake hata kama ni hafifu.
Mana kuna mwingine hakuajiri wala kuongeza mishahara ya watumishi kwa miaka 5.?