Katika Marais wote waliopita Tanzania namkubali Kikwete zaidi

Usisahau ufisadi wa kiwango cha juu, madawa ya kulevya, magenge ya uhalifu kama kibiti, kuuza gesi yote ya mtwara kwa wachina, IPTL, nk! Please be serious
Acha kuongopa magenge ya kibiti sio wakati wa Kikwete
 
Mimi namkubali
JK
Samia
Mkapa

Ila naheshimu mchango wa baba wa Taifa.
 
Na ndo aliye asisi mpango wa kusambaza umeme vijijini REA ambao mpaka sasa umesaidia watanzania wengi kupata nishati ya umeme.
 
Walikufa?
Unawaongezea mshahara wezi majambazi tena wenye vyeti feki?

Ww umesikia wapi watu wanaongezewa mshahara kama peremende.?

Kuna nchi yeyote ile unayoijua inawaongezea mishahara watu wake kiholelaholela?
PAMOJA NA UWEPO WA WATUMISHI HEWA LAKINI BADO ALIFANIKIWA
1)kuajiri watumishi kila mwaka
2)alipandisha madaraja watumishi kwa wakati kila baada ya miaka 3
3)Aliongeza mishahara ya watumishi wa umma.
4)HUDUMA ZA AFYA MATIBABU YA KIBINGWA kama hospitali ya JKCI huduma za afya hii ilipunguza watu kwenda kutibiwa INDIA magonjwa ya moyo...KWA WATUMISHI WA UMMA WATAMKUMBUKA KWA HILO LA KUAJIRI KILA MWAKA,KUPANDISHA MADARAJA,ANNUAL INCREMENT,NA KUWAONGEZEA MSHAHARA KWA KIWANGO KIKUBWA AMBACHO HAKIKUWAHI KUTOKEA KABLA.
 
Hii nchi ina wapumbavuh wengi mpaka naona aibu hata kurudi Kuja Ishi Tanzania. Ngoja niendelee kubaki ishi huku ughaibuni. Wewe utakuwa ni Division 5 kilaza wa vyeti fake.
hahhhah nyie ndo mnapenda drama watu kutumbuliwa jukwaani na propagana ya kuitwa wanyonge
 
Michepuko mkipenda huwa akili hamtumii kabisa. Mnasifia hata takataka. Ngoja mkewe akusome.
 
Subiri kupigwa pingu, Trump hawataki, Waingereza hawawataki, yaani hakuna mzungu anayekuhitaji huko na labda unarudi na singlendiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜œ
Division 5. Singlendi ni nini? Mimi nipo sana USA. sina mpango wa kurudi huko mnakoongozwa na vilaza....nanyi mnashabikia hao vilaza mkiwa mmebemendwa kiakili. Nmeoa na nina mtoto wa mwanamke wa kizungu. Kifupi siyo illegal.
 
Aisifuye mvua imemnyeshea !
Watu wengi ni maSelfish kwa Asili yao !
Ilimradi kama yeye alinufaika katika kipindi fulani au ananufaika kwa sasa utawajua tu wanavyofagilia !

Ni wachache sana humu wanaosema kweli, kweli tupu !

Wengi humu ni wale akina Muamba Ngoma huvutia upande wake !
Kazi kweli kweli !
 
Ukitumia kigezo cha aliyefanya Makubwa ni Mkapa,
Ukisema Rais bora ni Nyerere,ni basi tu kidunia nguvu za ubepari zilizidi zile za kijama,kunafanya umuhimu wake odhoofike-ila ukweli ni kuwa Nyerere is the best na sidhani kama tutakuja kumpata Nyerere mwingine.

Laiti kama kusingekuwa na propaganda za kuangusha Serikali za kijamaa zilizofanywa na western countries,vile viwanda alivyoanzisha Nyerere karibu kila Mkoa sa hivi tungekuwa mbali sana kiuchumi.
 
Mkapa Mr Ubinafsishaji akaandika kwenye kitabu chake kwamba amejuta sana kuvibinafsisha vile viwanda !

Kujuta peke yake ilikuwa haitoshi !
Ingekuwa ni China πŸ‡¨πŸ‡³ ingekuwa habari nyingine 😳😳😱 !
 
Viongozi wengi walitakiwa wapate Darasa la huyu Mwamba!! Aanzishe hata chuo Cha kufundisha siasa Africa
 
Shule za kata ni wakati wa JK na Lowasa akiwa waziri mkuu, so sifa ya shule za kata inamuhusu Kikwete kupitia kwa Waziri Mkuu Lowasa ambaye alihamasisha sana na sio vinginevyo!!
 
Mkapa,kikwete,na Samia, ni viongozi wa mfano kabisa,yule dikteta sijui alitokea wapi!?
 
Shule za kata ni wakati wa JK na Lowasa akiwa waziri mkuu, so sifa ya shule za kata inamuhusu Kikwete kupitia kwa Waziri Mkuu Lowasa ambaye alihamasisha sana na sio vinginevyo!
Nimeshaeleza na sirudii.

Kama shule za kata zilikuwa kwa nguvu ya wananchi, ilikuwaje shule zilizochelewa zilianzishwa 2006 mwanzoni?

Shule za kata ziliasisiwa wakati wa Mkapa, sema kwa kuwa zilikuwa zinajengwa kwa nguvu za wananchi, kata zilizosimamia kivivu ndiyo walichelewa na ndipo Lowasa alipoingia aka-push agenda fasta kwa ukali, ndipo viongozi legelege nao wakawawashia moto wananchi na wakaharakisha ujenzi.

Kama wilaya unayotoka hakuna shule ya kata iliyoanza ama mwaka 2004, 2005 au 2006 mwanzoni, jua umezaliwa wilaya ya majitu mavivu. Fullstop.
 
M23 wako wapi sasa?
Retreating and reorganize ni moja ya mbinu za kivita, inawezekana ilikuwa ni strategic retreat sisi tukaona wameshindwa maana bado wapo wanasumbua na wameweza kuiteka mpaka Goma.
Inasikitisha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…