majebelenzoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2024
- 288
- 465
Hajashitakiwa yanga ni kamwe, sasa uningizaje mambo ya yangaWanajisumbua hamna chochote, vp leo na Yanga wakiamua kutafuta matusi ya Ahmed Ally?Mpira wa bongo wasemaji ni mabingwa wa vijembe na kuponda. Utani wa mpira na pilato wapi na wapi au may be mauzo sio mazuri.