Katika mazingira yasiyo ya kawaida Manara amuombea msamaha Ally Kamwe sakata la Sandaland

Katika mazingira yasiyo ya kawaida Manara amuombea msamaha Ally Kamwe sakata la Sandaland

Huyu Manara hapa anafanya mambo Matatu...!

1. Anajaribu Kumwombea msamaha
2. Anampa Lawama kwa kauli 'We ni shekh unashindwa nini kusamehe?
3. Tuhuma ya dhurumati kwa Kauli ' Hakuna mtu aliyetajirika kwa fedha ya fidia'

Ukisikia Uchonganishi ndo kama hivi...!tena anafanya hivi kwenye hadhira.
Hakuna ombi hapo..
Wengi hawajawaza nje ya boksi kama ulivyofanya.

Naunga mkono hoja. Manaraanatia pilipili kwenye macho ya Kamwe
 
Utu uzima dawa Manara ametumia utu uzima na busara zake kumuombea msamaha Ally Kamwe .

Adai masuala ya michezo ni tofauti sana ni mambo mengine kama uinjinia , udaktari ..nk

View: https://youtu.be/cUoVBt40irw?si=8ujhQqXeDnsOBJ7U
View attachment 3165251

Mimi siyo Mwanasheria. Ila kupitia maelezo yako hapa juu, sioni kama kuna kesi kwa Ali Kamwe. kwa mfano Who is Bwana Sanda? Viongozi wa nini, na akina nani waliomshambulia huyo Bwana Sanda?

Kimsingi hakuna sehemu yoyote ile walipotajwa viongozi wa timu fulani kumshambulia huyo mwekezaji, na sidhani kama huyo mwekezaji jina lake ni Bwana Sanda!!

Kwa hiyo huyo Haji Manara pamoja na hao wanasheria wa Bwana Sanda; wote ni hamnazo.
 
Utu uzima dawa Manara ametumia utu uzima na busara zake kumuombea msamaha Ally Kamwe .

Adai masuala ya michezo ni tofauti sana ni mambo mengine kama uinjinia , udaktari ..nk

View: https://youtu.be/cUoVBt40irw?si=8ujhQqXeDnsOBJ7U
View attachment 3165251

Hamjamuelewa Manara,
Ally Kamwe kaongea,
Sandaland kasema maneno yale ni makosa,
Manara kaja kuomba msamaha kwa yale maneno (makosa),

Hapa ni kua Manara kaja kuthibitisha au kuunga mkono kua kweli Ally Kamwe kakosea. Yaani Manara kabla hata hajakaa na Ally Kamwe yeye katoka hadharani kuthibitisha kua Ally Kamwe alikosea.

Anachofanya hapa ni kum expose dogo tu, na sio kumsaidia. Na kafanya hivyo makusudi tu sababu dogo ndie aliekalia kibarua Cha Manara pale Yanga. Yeye Manara ana uhakika gani kama Ally Kamwe moyoni anajua amekosea??
 
Hamjamuelewa Manara,
Ally Kamwe kaongea,
Sandaland kasema maneno yale ni makosa,
Manara kaja kuomba msamaha kwa yale maneno (makosa),

Hapa ni kua Manara kaja kuthibitisha au kuunga mkono kua kweli Ally Kamwe kakosea. Yaani Manara kabla hata hajakaa na Ally Kamwe yeye katoka hadharani kuthibitisha kua Ally Kamwe alikosea.

Anachofanya hapa ni kum expose dogo tu, na sio kumsaidia. Na kafanya hivyo makusudi tu sababu dogo ndie aliekalia kibarua Cha Manara pale Yanga. Yeye Manara ana uhakika gani kama Ally Kamwe moyoni anajua amekosea??
ndio maana umeambiwa katika hali isiyo ya kawaida
 
Labda kama katumwa na Ali Kamwe
Kuomba msamaha maana yake ni kukiri kosa.
 
Tatizo hawa wasemaji badala kusemea timu zao wao kila kukicha wazungumzia timu zingine.
 
Hamjamuelewa Manara,
Ally Kamwe kaongea,
Sandaland kasema maneno yale ni makosa,
Manara kaja kuomba msamaha kwa yale maneno (makosa),

Hapa ni kua Manara kaja kuthibitisha au kuunga mkono kua kweli Ally Kamwe kakosea. Yaani Manara kabla hata hajakaa na Ally Kamwe yeye katoka hadharani kuthibitisha kua Ally Kamwe alikosea.

Anachofanya hapa ni kum expose dogo tu, na sio kumsaidia. Na kafanya hivyo makusudi tu sababu dogo ndie aliekalia kibarua Cha Manara pale Yanga. Yeye Manara ana uhakika gani kama Ally Kamwe moyoni anajua amekosea??
Ni sahihi. Jamaa kaongeza petrol kwenye moto unaofuka.
 
Back
Top Bottom