Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Hahahahhahaa nyie endeleeni kujitoa ufahamuNdio Scars Na nduguye OKW BOBAN SUNZU mwasibu wa JF bila kumsahau dada yao Kalpana Hayo ndio mabwana sanda yenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahhahaa nyie endeleeni kujitoa ufahamuNdio Scars Na nduguye OKW BOBAN SUNZU mwasibu wa JF bila kumsahau dada yao Kalpana Hayo ndio mabwana sanda yenyewe.
Ahmed hajatumia mtengezaji wa jezi kutokana yangaWanajisumbua hamna chochote, vp leo na Yanga wakiamua kutafuta matusi ya Ahmed Ally?Mpira wa bongo wasemaji ni mabingwa wa vijembe na kuponda. Utani wa mpira na pilato wapi na wapi au may be mauzo sio mazuri.
Wapare wakiacha ubahili mbona wanapata...wanaunganisha koo 10... Wanauza asset zoteHatakutwa na chochote kama ataomba radhi.Kamwe kwa kujua kuwa ameharibu ataomba radhi ndani ya siku 7.Tunza risiti hii,Kamwe hana njia nyingine zaidi ya kuomba radhi maana baba yake amesema hata wakichanga ukoo mzima hawawezi kuipata hiyo bilioni 3
Hapo mnasemaje na nilikiongea hiki kitu.Ahmed hajatumia mtengezaji wa jezi kutokana yanga
Haya mnasemaje nilikuambia na ndicho kinacho tokea.Wewe unazungumza kishabiki,Sandaland anaongea kisheria maana mwaka jana Ally Kamwe alitoa boko kama hili,Sandaland akamshitaki kwa viongozi wake ambao walilimaliza kwa Ally kuonywa na kukiri hatarudia
Haya sasa sijui mimi na nyie nani mbishi na nilikiongea hiki kitu.We jamaa mbishi sana..Kamwe kasema "bwana SANDA" neno SANDA limesajiliwa ndio maana bwana sandaland baada ya watu kuliponda neno SANDA kwenye jezi za Simba aligoma kulitoa akasema ni jina lake kibiashara na amelisajili..
Hapo unasemaje ?Defamation Haina uzito kwa tz tu kwakua watu wanachukulia poa, lakini kwa nchi za wengine ni bonge la case.
sio kosa kuponda jezi za Simba, kosa ni kutaja jina la mtengenezaji na msambazaji. Nimeskia watu wakisema kataja neno sanda na kama kataja wazi ni dhahiri kaharibu brand ya watu. Sanda ni brand ndomana jina la sanda linasoma kwenye jezi za Simba. Kwahy kumtaja sanda Moja kwa moja ni kosa.
Ahmed Ally utamskia akiponda jezi za Yanga lakini huwezi kumskia akisema GSM katoa jezi mbaya, GSM ndo msambazaji wa jezi za yanga, GSM ni brand na yeye kama msemaji wa club kubwa anamamilioni ya watu wanaomfatilia , neno lake linasafiri masafa marefu. Kumshambulia hadharani ni kuharibu biashara yake.
Hata kama watayamaliza kimya kimya lakini atapata funzo kuto kumshambulia mtu au brand yake Moja kwa moja. Nafikiri hata sanda Hana shida na hizo pesa Bali anataka ampe funzo kijana.
Hapo mnasemaje?Sandaland sio Simba, labda ungesema GSM ndio watafute maneno ya Ahmed Ally.
Haya sasa mwenye akili yamemkuta na nilikiongea.Ahmed Ally huwa ana akili sana. Huwezi msikia akitutaja kwa jina letu. Fuatilia. Tafuta clip ya kumshtakia kama utapata.haka kadogo ka njiti ndo kanaiga ujinga.
Haya sasa wanasheria.Kama huoni kosa basi tulia uoneshwe kosa kisheria, mazoea hujenga tabia na tabia ina matokeo yake
Sawa na GSM nae hataki utani kwenye biashara yake.Utani upo kwa Simba na Yanga,usilete utani katika biashara za watu,Simba hawajamshitaki Ally Kamwe,Simba walishamalizana na Sandaland,anachofanya Ally ni kuchafua biashara ya Sandaland
Ngojea tuwaone wanasheria wenu.Atashinda kwa mwanasheria gani wa Yanga?Ally Kamwe asijidanganye akawaachia Yanga wamtumie mwanasheria wao
Broo unakumbuka nilicho kiongea juzi nazani unaona.Hapo issues sio kati ya aly kamwe na simba, hapo issue ni kati ya wafanya biashara sandaland na aly kamwe kama msemaji wa yanga.
Vp unavyoona Kamwe ataomba msamaha?Kwani yanga ina utani na simba au biashara ya sandaland?
Vp hapo.Kwani yanga ina utani na simba au biashara ya sandaland?
Nimesoma hilo neno bwana sanda lakini hao sandaland hawajasema popote kama hilo wana haki miliki.Mbona kwenye hayo maneno dogo alisema bwana Sanda, huyo sandaland anathibitisha vipi yeye ndio bwana Sanda? Je kama bwana Sanda ni Shaffih Dauda maana na yeye ana duka la vifaa vya michezo.
Sema Manara anapenda sana attention 😁