majebelenzoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2024
- 288
- 465
Hajashitakiwa yanga ni kamwe, sasa uningizaje mambo ya yangaWanajisumbua hamna chochote, vp leo na Yanga wakiamua kutafuta matusi ya Ahmed Ally?Mpira wa bongo wasemaji ni mabingwa wa vijembe na kuponda. Utani wa mpira na pilato wapi na wapi au may be mauzo sio mazuri.
Hapo ni kamwe na sandaland , sio simba wala yanga , ila kumbuka kamwe ni msemaji wa yangaHajashitakiwa yanga ni kamwe, sasa uningizaje mambo ya yanga
Hii ndio comment yangu ya mwisho, uzuri JF nitakukumbusha.Utani bwa mpira kati ya nan na nani?
Ninyi ndio mnawapa kiburi hawa kujiona wanaweza kusema/kufanya chochote kwa sababu nimpiraWanajisumbua hamna chochote, vp leo na Yanga wakiamua kutafuta matusi ya Ahmed Ally?Mpira wa bongo wasemaji ni mabingwa wa vijembe na kuponda. Utani wa mpira na pilato wapi na wapi au may be mauzo sio mazuri.
Sasa kama ni Kamwe? Kwenye utani wa mpira huwaga hawachagui eneo,jezi matokeo, vituko nk.Hajashitakiwa yanga ni kamwe, sasa uningizaje mambo ya yanga
Sioni kosa kuiponda jezi hata Ahmed Ally mbona anafanya sana.Ndio mpira. Utani hauchagui eneo cha msingi husitukane kama afanyavyo Manara.Ninyi ndio mnawapa kiburi hawa kujiona wanaweza kusema/kufanya chochote kwa sababu nimpira
Kama huoni kosa basi tulia uoneshwe kosa kisheria, mazoea hujenga tabia na tabia ina matokeo yakeSioni kosa kuiponda jezi hata Ahmed Ally mbona anafanya sana.Ndio mpira. Utani hauchagui eneo cha msingi husitukane kama afanyavyo Manara.
Tupo hapa tutakumbushana kwenye uzi huu,ila mimi sioni kosa lake.Kama huoni kosa basi tulia uoneshwe kosa kisheria, mazoea hujenga tabia na tabia ina matokeo yake
ππππDuh!maneno alosema Manyara alipaswa akamwambie ALLY KOMWE, Manyara kafanya vice versa
Utani upo kwa Simba na Yanga,usilete utani katika biashara za watu,Simba hawajamshitaki Ally Kamwe,Simba walishamalizana na Sandaland,anachofanya Ally ni kuchafua biashara ya SandalandWanajisumbua hamna chochote, vp leo na Yanga wakiamua kutafuta matusi ya Ahmed Ally?Mpira wa bongo wasemaji ni mabingwa wa vijembe na kuponda. Utani wa mpira na pilato wapi na wapi au may be mauzo sio mazuri.
Atashinda kwa mwanasheria gani wa Yanga?Ally Kamwe asijidanganye akawaachia Yanga wamtumie mwanasheria waoKuna uwezekano yanga wakamtelekeza kamwe msala ila kiukweli wakiamua kumsaidia, anashinda au yanaishia nje ya mahakama, hizi ni challenge za wanasheria tu.
Hamna chochote kitacho mkuta Kamwe,tupo humu uzuri JF inatunza risiti. Tutakumbushana mda si mrefu.Utani upo kwa Simba na Yanga,usilete utani katika biashara za watu,Simba hawajamshitaki Ally Kamwe,Simba walishamalizana na Sandaland,anachofanya Ally ni kuchafua biashara ya Sandaland
Hatakutwa na chochote kama ataomba radhi.Kamwe kwa kujua kuwa ameharibu ataomba radhi ndani ya siku 7.Tunza risiti hii,Kamwe hana njia nyingine zaidi ya kuomba radhi maana baba yake amesema hata wakichanga ukoo mzima hawawezi kuipata hiyo bilioni 3Hamna chochote kitacho mkuta Kamwe,tupo humu uzuri JF inatunza risiti. Tutakumbushana mda si mrefu.
Kama kweli Ahmed Ally aliiponda jezi ya Yanga haitoi uhalali wa kosa kisheria ndio maana Sandaland anataka kutoa funzo kwa wachafuzi wa brands za watu na Ally Kamwe ndio atakuwa mfano kwa wengineSioni kosa kuiponda jezi hata Ahmed Ally mbona anafanya sana.Ndio mpira. Utani hauchagui eneo cha msingi husitukane kama afanyavyo Manara.