Katika mazingira yasiyo ya kawaida Manara amuombea msamaha Ally Kamwe sakata la Sandaland

Wanajisumbua hamna chochote, vp leo na Yanga wakiamua kutafuta matusi ya Ahmed Ally?Mpira wa bongo wasemaji ni mabingwa wa vijembe na kuponda. Utani wa mpira na pilato wapi na wapi au may be mauzo sio mazuri.
Ahmed hajatumia mtengezaji wa jezi kutokana yanga
 
Hatakutwa na chochote kama ataomba radhi.Kamwe kwa kujua kuwa ameharibu ataomba radhi ndani ya siku 7.Tunza risiti hii,Kamwe hana njia nyingine zaidi ya kuomba radhi maana baba yake amesema hata wakichanga ukoo mzima hawawezi kuipata hiyo bilioni 3
Wapare wakiacha ubahili mbona wanapata...wanaunganisha koo 10... Wanauza asset zote
 
Hapo unasemaje ?

View: https://m.youtube.com/watch?v=rzDcQuT_cwYNarudia tena Kamwe hatoomba msamaha.
 
Mbona kwenye hayo maneno dogo alisema bwana Sanda, huyo sandaland anathibitisha vipi yeye ndio bwana Sanda? Je kama bwana Sanda ni Shaffih Dauda maana na yeye ana duka la vifaa vya michezo.

Sema Manara anapenda sana attention 😁
Nimesoma hilo neno bwana sanda lakini hao sandaland hawajasema popote kama hilo wana haki miliki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…