Katika mazingira yasiyo ya kawaida Manara amuombea msamaha Ally Kamwe sakata la Sandaland

Katika mazingira yasiyo ya kawaida Manara amuombea msamaha Ally Kamwe sakata la Sandaland

Ali Kamwe anafanya utoto
Utoto utani wa mpira huwaga hauchagui chochote as long ushaingia kwenye Simba na Yanga haijalishi upo kitengo gani au unafanya biashara na gani utataniwa tu.

Haya naona Yanga ktk 10 watatoa 3B na wao watabakiwa na Bil 7.
 
Wanasheria wetu na nani, ishu ni Ally Kamwe na Sandaland, ulivyojaa ushabiki unadhani mie namtetea Ahmed Ally,Simba haijawahi kumshitaki Kamwe.
Hayo mtayajua nyie na club yenu, ngojea tuwaone wanasheria wenu.
 
Utoto utani wa mpira huwaga hauchagui chochote as long ushaingia kwenye Simba na Yanga haijalishi upo kitengo gani au unafanya biashara na gani utataniwa tu.

Haya naona Yanga ktk 10 watatoa 3B na wao watabakiwa na Bil 7.
Sandaland sio Simba,
Sandaland ni biashara binafsi ya mtu ambayo Simba ni wateja wake tu.
 
Sandaland sio Simba,
Sandaland ni biashara binafsi ya mtu ambayo Simba ni wateja wake tu.
Ila cha ajabu kama Yanga akimpeleka mahakamani Ahmed atasimamiwa na mawakili wenu. Huyo anaye uza jezi na timu yenu ni sawa na suruali moja halafu utoe hela mfuko wa kulia then uweke mfuko wa kushito then useme ,hiyo hela sio ya suruali hiyo.

Sema hawatofika mahakamani ila huyo mzabuni wenu atatupa taupo mda sio mrefu na kuomba ya ishe.
 
Kwani mwanasheria wenu ndiye huyu huyu anayeshindwa kesi kila siku? Vipi kesi ya Kagoma iliishia wapi?
Kushindwa kesi anamaana mwanasheria ni mbaya, vp nyie mwanasheria wenu kwa Lawi na Awesu ilikuwaje. Maana Awesu mlitupa Taulo baada ya kuchemka TFF na kuwaomba KMC mkae mezani au nao ni wabovu.
 
Kushindwa kesi anamaana mwanasheria ni mbaya, vp nyie mwanasheria wenu kwa Lawi na Awesu ilikuwaje. Maana Awesu mlitupa Taulo baada ya kuchemka TFF na kuwaomba KMC mkae mezani au nao ni wabovu.
Simba waliona hakuna haja ya kukomaa na Lawi wakati Hamza keshaonesha kiwango kikubwa.But unarukaruka tu kishabiki, hoja ilikuwa Ally Kamwe amekosea au la, wewe ukadai hakuna kesi, viongozi wako wa utopolo wameona dogo kaharibu, badala ya kudili na Sanda, wanaishitaki Simba, hizo ndio akili za kitopolo
 
Simba waliona hakuna haja ya kukomaa na Lawi wakati Hamza keshaonesha kiwango kikubwa.But unarukaruka tu kishabiki, hoja ilikuwa Ally Kamwe amekosea au la, wewe ukadai hakuna kesi, viongozi wako wa utopolo wameona dogo kaharibu, badala ya kudili na Sanda, wanaishitaki Simba, hizo ndio akili za kitopolo
Hamna haja mlichemka TFF na Coastal walishinda na wakakataa kuwauzua Lawi japo mliomba make nao mezani.Hivyo hivyo kwa Awesu mlishindwa TFF, ila KMC wakakubali kukaa meza moja nyie. Tatizo hamjui mpira na hamjui utani, maswala ya utani wa mpira huwezi kuyapeleka kwa pilato. Hivi ushawahi kuona au kushuhudia utani wa River Plate na Boca Junior, kabla ya mechi mashabiki wanapigana nje ya uwanja na kutukanana,mashabiki na viongozi wao ,vp ushawahi kuona wanapelekana kwa Pilato au Zamalek na Al Ahly.
 
Hapo issues sio kati ya aly kamwe na simba, hapo issue ni kati ya wafanya biashara sandaland na aly kamwe kama msemaji wa yanga.
Huwez kumtenga sandaland na simba kama ambavyo umeshindwa kumtenga ally kamwe nayanga huo niutani wahizi timu mbili nakesi hakuna,
 
Hamna haja mlichemka TFF na Coastal walishinda na wakakataa kuwauzua Lawi japo mliomba make nao mezani.Hivyo hivyo kwa Awesu mlishindwa TFF, ila KMC wakakubali kukaa meza moja nyie. Tatizo hamjui mpira na hamjui utani, maswala ya utani wa mpira huwezi kuyapeleka kwa pilato. Hivi ushawahi kuona au kushuhudia utani wa River Plate na Boca Junior, kabla ya mechi mashabiki wanapigana nje ya uwanja na kutukanana,mashabiki na viongozi wao ,vp ushawahi kuona wanapelekana kwa Pilato au Zamalek na Al Ahly.
Mwanasheria wa utopolo ndiye aliyemshauri Mkude amfungulie kesi Mo, ndiye analiyeshindwa na Morrison, ndiye aliyesababisha timu yenu kufungiwa kusajili. Wanasheria wa Simba wamefanya Awesu na Kagoma wanacheza Simba now, hata Lawi Simba wangemtaka angecheza Simba
 
Mwanasheria wa utopolo ndiye aliyemshauri Mkude amfungulie kesi Mo, ndiye analiyeshindwa na Morrison, ndiye aliyesababisha timu yenu kufungiwa kusajili. Wanasheria wa Simba wamefanya Awesu na Kagoma wanacheza Simba now, hata Lawi Simba wangemtaka angecheza Simba
Ulikuwepo wakati anamshauri?
Mwanasheria wa utopolo ndiye aliyemshauri Mkude amfungulie kesi Mo, ndiye analiyeshindwa na Morrison, ndiye aliyesababisha timu yenu kufungiwa kusajili. Wanasheria wa Simba wamefanya Awesu na Kagoma wanacheza Simba now, hata Lawi Simba wangemtaka angecheza Simba
Kwa KMC mlichemka TFF,then mkaomba kukaa mezani na KMC maana mlitaka kwenda kihuni.
 
Ulikuwepo wakati anamshauri?

Kwa KMC mlichemka TFF,then mkaomba kukaa mezani na KMC maana mlitaka kwenda kihuni.
Awesu anacheza timu gani? kama unaweza kumuua kwa asali kwa nini utumie sumu? ukweli ni kwamba Yanga walishindwa kumfanya Kagoma achezee Yanga, Simba wameweza kuwafanya wote Kagoma na Awesu wachezee Simba
 
Awesu anacheza timu gani? kama unaweza kumuua kwa asali kwa nini utumie sumu? ukweli ni kwamba Yanga walishindwa kumfanya Kagoma achezee Yanga, Simba wameweza kuwafanya wote Kagoma na Awesu wachezee Simba

Awesu anacheza timu gani? kama unaweza kumuua kwa asali kwa nini utumie sumu? ukweli ni kwamba Yanga walishindwa kumfanya Kagoma achezee Yanga, Simba wameweza kuwafanya wote Kagoma na Awesu wachezee Simba
Issue sio kucheza je mlivyo enda TFF na wansheria wenu mlishinda kesi zidi ya Awesu?
Soma habari ndio utaelewa wanasheria wako walivyo chemka TFF.

"SIKU moja baada ya Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutoa maamuzi ya sakata la usajili wa kiungo Awesu Awesu aliyerudishwa kwenye klabu yake ya KMC baada ya usajili wa Simba, uongozi wa wana Kinondoni hao umesema upo tayari sasa kufanya biashara na wenzao hao." Hiyo ni habari kwa ufupi unaweza endela kwenye link hiyo.
 
Ila manara ni hamnazo sana....kuna kauli katoa hapo ya kichoko sanaa..."huyo ni muislam mwenzako..msamehe tu" huu ndo ujinga ambao watanzania tulio nao...kwa hyo angekuwa mkristu asingestahili kusamehewa?bulshiit
Huu upumbavu utaukuta sana maeneo ya Pwani tena unatumiwa sana na watu wajinga wajinga kama Manara.
 
Back
Top Bottom