Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

huna hoja wewe mjinga

Pinga na hili kua Pombe inaruhusiwa kwenye dini yenu ya mipango iyo hlf nyie mbona mnakunywa tuu tena bila ya aibu msibani mnakunywa Pombe what a nonsenseView attachment 2105201
Nipo kikuweka sawa
A similitude of the Garden which those who keep their duty (to Allah) are promised: Therein are rivers of water unpolluted ... and rivers of wine delicious to the drinkers.
-- Sura 47:15

Allah sio tu pombe atawapa mito ya pombe na anasema kwa walevi ni tamu Sana
 
KAFIRI NI KIZIWI HASIKII
ANA MACHO LKN HAONI
ANA AKILI LKN BORA ZA WANYAMA
 
Tunaendelea
Aisha hapa analalamika anasema wanawake wa kiislamu wana pata shida sana na kipigo, mwanamke amepigwa mpaka kawa wakijani, muhammad anamwambia kabla hajarudi kwa mume wake wa kwanza lazima apigwe machine kwanza (uchafu gani huu)

Rifa`a divorced his wife whereupon `AbdurRahman bin Az-Zubair Al-Qurazi married her. `Aisha said that the lady (came), wearing a green veil (and complained to her (Aisha) of her husband and showed her a green spot on her skin caused by beating). It was the habit of ladies to support each other, so when Allah's Messenger (ﷺ) came, `Aisha said, "I have not seen any woman suffering as much as the believing women......Sahih al-Bukhari 5825
 
Ndoa ya mke mmoja, kiapo na sheria zinazoambatana na ndoa ya kikristo ni utaratibu uliowekwa na mamlaka za serikali ya kirumi baada ya kuunganisha utawala wa serikali na dini ya kikristo kwa lengo maalumu.

Kabla ya hapo hakukuwa na sheria ila uwezo wa mtu binafsi kumiliki Mali ilikuwa kigezo kikubwa cha idadi ya wake unaoweza kuwamiliki.

Kumbuka Kabla ya hapo hesabu ya Mali ilikuwa inajumuisha watoto, Mashamba, mifugo, wafanyakazi n. K

Otherwise kuoa wake wengi au kuoa mmoja mifumo yote ina faida na hasara zake. Ni jukumu la kila muuoaji kujifunza kwanza mifumo yote Kabla ya kuingia kichwa kichwa kama sisi tulivyofanya Kabla yenu.
 
  • Ulio mnukuu alifanya dhambi kwa tamaa zake mwenyewe na alipata adhabu
  • Turudi kwa Allah alivyo mdhalilisha Musa wake mbele za watu
    • Watu wa Banu Isra'il walikuwa wanamtania Musa wa Allah kwamba ana mabusha, siku moja musa akawa anaoga akaweka nguo zake juu ya jiwe , allah akalifanya jiwe likimbie na nguo za musa, musa akawa analikimbiza uchi mpaka mbele za watu analiita jiwe o jiwe o jiwe nguo zangu jamani, walivyo ona machine za musa wakasema hana busha kumbe
  • Tupate Nukuu
    • By Allah, nothing prohibits Moses to take a bath along with us, but scrotal hernia. Moses once went for a bath and placed his clothes on a stone and the stone moved on with his clothes. Moses ran after it saying: 0 stone, my clothes,0 stone, my clothes, and Banu Isra'il had the chance to see the private parts of Moses,...Sahih Muslim 339
 
Na je mume akipata matatizo mke aende wapi?? Dini ya kiislamu imewaweka wanawake chini sana
Hapana, anaruhusa ya yeye kutoa talaka pia. Hata mwanaume akisafiri zaidi ya miezi 3 kisheria ya kiislam mwanamke anaruhusa ya kupewa talaka. Hata maumbile ya mwanaume yakiwa makubwa yakawa yanamumiza mwanamke ana haki aombe aletewe mke wa pili au apewe talaka.
 
Tupe aya au hadithi
 
Naona umebadilisha neno tohara ukaweka busha labda tu nirudie kukakwambia ukiondoa chuki unaweza kujifunza kitu katika uislam.
Kama utataka kujadiliana na mimi tafadhal weka aya na hadith kama zilivyo usibadilishe,kupunguza wala kuongeza kitu
Haya twende kwa mfano huu tuone mlivyomuabisha nuhu mbele ya watoto wake;
(Genesis 9:23-24)
"And shem and japheth took a garment, and laid it upon both their shoulders, and went backward and covered the NAKEDNESS of their father; and their faces were backward, and they saw not their father's nakedness. And Noah AWOKE FROM HIS WINE, and knew what has done unto him."
N.B Ukitaka nikuwekee vifungu vya biblia vinavyoonesha ni kwa jinsi gani manabii wa Mungu mmewazalilisha kwa ubakaji na zinaa baina ya ndugu na ndugu nitakuwekea na sitobadilisha, kuongeza wala kupunguza kitu.
 
Kuna maali hutaki kuelewa , biblia ni kitabu pia kina elezea historia ya watu apo ni sawa nuhu alilewa na akawa kwenye Hali hiyo,

Musa wa Allah ni Allah kamtembeza uchi sio kupenda au uamuzi wake
Alikuwa ana busha ndio neno lililotumika
 
Alafu kwenye biblia sio kila mtu ni nabii kama kwenye Koran
Biblia ina watu tofauti waliofanya kazi za Mungu , Kuna waliofanya dhambi za kila aina na uona wazi Mungu wa biblia anachukizwa nazo na anatoa adhabu ,ila sio kwenye Koran Allah anaruhusu dhambi zote

Koran kila mtu ni nabii mpaka Muhammad hana unabii wowote lakini mnamuita nabii
 
Kuna maali hutaki kuelewa , biblia ni kitabu pia kina elezea historia ya watu apo ni sawa nuhu alilewa na akawa kwenye Hali hiyo,

Musa wa Allah ni Allah kamtembeza uchi sio kupenda au uamuzi wake
Alikuwa ana busha ndio neno lililotumika
Hivi kwa akili yako inahitaji mtu kuwa uchi ndo umtambue huyu mtu ana busha au hana? Hakuna neno hilo kwenye Quran wala hadith narudia tena ukiweza kuleta aya na hadith zilizo sahih basi ntakuelewesha na kukufafanulia.
Haya turudi kwako najua ushakubali kuwa kuna Mitume kwenye biblia wametenda dhambi za uzinzi na ubakaji.
Swali langu ni hivi tunatambua mitume wote wametumwa na kupata kibali cha Mungu kwa ajili ya kuwa chunga na kuwaongoza wana kondoo/wanadamu. Unafikiri Mungu alikosea kutuma Mitume/manabii wasio sahihi kuwaongoza watu?
 
Embu tafuta maana ya scrotal hernia alafu ndio tuendelee , Musa wa Allah Allah mwenyewe alimdhalilisha , mtu mzima kufukuza jiwe limeiba nguo zako na upo uchi

By Allah, nothing prohibits Moses to take a bath along with us, but scrotal hernia. Moses once went for a bath and placed his clothes on a stone and the stone moved on with his clothes. Moses ran after it saying: 0 stone, my clothes,0 stone, my clothes, and Banu Isra'il had the chance to see the private parts of Moses,...Sahih Muslim 339
 
Huwa mnanichekesha Sana, Yani kitabu kimeanza na neno sahihi ,alafu unasema tena nilete Hadith zilizo sahihi , kwa hiyo unataka kujulisha ulimwengu waislamu mmeita kitabu sahih alafu Kuna Hadith sio sahih ndani ya kutabu sahih
Nachekaga Sana , pambaneni na maandiko yenu bila sababu za kitoto
 
Nimekuweka hiyo hadith ikiwa iko full alafu linganisha na hicho ulicho kiandika. Pia soma alafu uniambie mussa kazalilishwa vipi usipoelewa basi tufunge mjadala.
 
Sasa kijana kwanini unakiwa mjinga kiasi hicho ? Sasa hii hadithi ndiyo inaunga mkono kupigwa au ?
Aisha hapa analalamika anasema wanawake wa kiislamu wana pata shida sana na kipigo, mwanamke amepigwa mpaka kawa wakijani, muhammad anamwambia kabla hajarudi kwa mume wake wa kwanza lazima apigwe machine kwanza (uchafu gani huu)
Sasa kupigwa kwao ndiyo kumeruhusiwa na Uislamu au ni tabia za Waume zao ? Usiwe unaweka maana zako za upotoshani hali ya kuwa wewe ni mjinga juu ya Uislamu.

Apigwe mashine na nani ?
 
Mwanamke wa kiislamu akipewa talaka hawezi kurudi kwa mume wa kwanza mpaka apigwe machine na mwingine ndio arudi
ndipo hapo muhamad hakukemea kipigo akamwambia kama unataka kurudi kwa mumeo wa kwanza pigwa kwanza machine na huyu unaetaka kumuacha.

...."If that is your intention, then know that it is unlawful for you to remarry Rifa`a unless `Abdur-Rahman has had sexual intercourse with you.....Sahih al-Bukhari 5825
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…