Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ukifika zaidi ya miaka 40 ndiyo utajua hujui.Kalaghabaho!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaiyo kile kiapo Cha "mpaka kifo..." Kishafanyiwa mabadilikoHata za kikristo talaka zinatoka ukiamua
Unaandika kitu usichokijua kwenye ukristo talaka ruksa kama mmoja wenu amezini na ikathibitika hivyoNawasalimu kwa jina la jamuhuri
Binafsi nimekuwa mfuatiliaji mkubwa sana hasa wa maswala haya yahusuyo ndoa lakini kwa upande wangu nimeona ndoa kwa mujibu wa dini ya kiislamu wapo vizuri sana hasa katika swala zima la:-
1)Ndoa kwa ujumla
2)Talaka
Huwezi kuta kasoro ktk MFUMO WA UISLAMU coz NI njia ya Maisha iliyofumwa na Mungu MwenyeziNawasalimu kwa jina la jamuhuri
FafanuaNa ndiko Mwanamke hathaminiwi
Hili hebu lisemeni wazi vipi Uislamu umemuweka chini mwanamke c waongea kiujumla jumlaNa je mume akipata matatizo mke aende wapi?? Dini ya kiislamu imewaweka wanawake chini sana
Kwenye kuoa vitoto vya miaka 11 au 9 kama mwamedi imetoa ufafanuzi gani?Uislamu ni dini ya haki sio tu ndoa mambo mengi katika uislamu yametolewa ufumbuzi ila wachache katika watu ndio wataelewa.
Madhehebu yote,yanaruhusu talaka kwa kosa la uzinzi,biblia ndio imeagiza hivyo mathayo 5:32au mathayo 19:9Dhehebu gani hilo
Nilimsikia padri mmoja amelitolea ufafanuzi kwamba ndoa katoriki haina talaka ila kama mmoja wao kufumaniwa wanakaa kwenye usuluhishi na kama kila mtu akila 50 zake huruhusiwi tena kuona hadi mmoja wapo afarikiMadhehebu yote,yanaruhusu talaka kwa kosa la uzinzi,biblia ndio imeagiza hivyo
Hata miaka 9?!Katika hilo kasome sheria ya ndoa ya Tanzania kuwa inaruhusu binti mwenye umri chini ya miaka 18 anaweza kuolewa kwa ruhusa ya baba yake mzazi
Kwanini unakuwa muongo kiasi hiki ?Na ndiko Mwanamke hathaminiwi