Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Mkuu jaribu kuwa na busara.Hebu andika aya nzima alafu tuanze kuijadili.
 
" Mambo ya Walawi 26:1

Msifanye sanamu yo yote, wala msijisimamishie sanamu ya kuchonga, wala mnara, [emoji117]wala msiweke jiwe lo lote lililochorwa katika nchi yenu ili kulisujudia; kwa kuwa mimi ndimi Bwana, Mungu wenu "

Allah kawawekea Jiwe Jeusi la kulisujudia wanaliita (Hajari Haswadi) na hawamstukii kabisa.

Hilo jiwe ndio hilo lililoiba nguo za Musa wa Madina na kukimbia nazo bila soni yoyote ile. Jiwe Kibaka hilo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Na wewe lete aya yote tujadili.
 
Ivi kwa nini tunawela Aya alafu mnakuja tena kuuliza ,mnakuwa hamuamini kitabu chenu kama kimeruhusu huo uchafu?
Toa Aya nzima inayojitosheleza.Hivi zile aya ulizozitoa 53:19-20 zinajitosheleza?Alafu ukaanza kukandia mbona ujaendeleza mpaka 53:23?

Hatupo hapa kupotosha jamii bali kuongeza maarifa.

Enyi Waafrika tuache kuwa na upofu wa imani uliyoko mioyoni mwetu.Jinsi mnavyoongea ni kana kwamba wale wahindi wanaoabudu dini yao hawataenda mbinguni kisa masanamu ilhali wapo wenye kutenda mema na sisi tunaojifanya bila Ukristo au Uislamu mtu hatoenda mbinguni tunafanya dhambi kila kukicha na hata toba tunasahau alafu mnakaa mnabishania kukosoana.
 
Mkuu hapo la Issa ujaongea point.Yesu ni Kiswahili, Jesus ni kiingereza,Issa ni kiarabu and so on.
 
haipo lete ushahudi
Muhammad's said, "If a man and a woman agree (to marry temporarily), their marriage should last for three nights, and if they like to continue, they can do so; Sahih al-Bukhari 5119
....Yes, we had been benefiting ourselves by this temporary marriage during the lifetime of the Prophet (ﷺ) and during the time of Abu Bakr and 'Umar. Sahih Muslim 1405c
We contracted temporary marriage giving a handful of (tales or flour as a dower during the lifetime of Allah's Messenger..... Sahih Muslim 1405d
 
Wanyaturu wamekufanyaje mkuu ,

Kwahyo wa Mbulu ni waislamu ? Maana kule babati we unavuta tu hawajaumbiwa hapana


Achana na hizo assumption zako

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hivi mbulu umewahi kuishi huko au ni mnajiongelea tu mi maneno michafu tu na una uhakika na hayo unayoyaongea maana Mimi hapo ni nyumbani na sijawahi kukutana na haya mambo
 
Hongera
 
Bora unisaidie ww mimi ni mkatoriki sijawahi kusikia talaka katika dhehebu langu wakatoliki hatunaga talaka hata kama umeoa mke anamakosa na mapungufu ndio nitolee iyo ndio maana ndoa za kikatoriki zina masharti mengi sana
Embu soma biblia vizuri talaka inatoka tu
 
Hivi mbulu umewahi kuishi huko au ni mnajiongelea tu mi maneno michafu tu na una uhakika na hayo unayoyaongea maana Mimi hapo ni nyumbani na sijawahi kukutana na haya mambo
Babati, Hanang pia na baadhi ya maeneo ya Karatu nimefika uachage ubishi ni nani asiyejua tabia za wanawake zenu


Unamvuta tu na mkono
 
Babati, Hanang pia na baadhi ya maeneo ya Karatu nimefika uachage ubishi ni nani asiyejua tabia za wanawake zenu


Unamvuta tu na mkono
Huko kote Mimi nimeishi na hata mikoa mingine lakini utakachokutana nacho Dar,mwanza,pwani,zbar,maeneo yote ya wabantu mnapoiishi hali ni mbaya mara mbili ya huko wakati mwingine jiangalieni kwanza nyie sio mnaripoka nyie mnakukutana na Hawa wanawake wanaokuja kutafuta maisha mjini ndo mnajumuisha kabila zima
 
Mtu kiswahili chake cha kimbulu kabisa na wengine nywele za magoya kabisa


Hivi hata kama mimi ni mgeni nishindwe kujua mgeni mwenzangu na mwenyeji

Haya mkuu tufanye umeshinda
 
Mtu kiswahili chake cha kimbulu kabisa na wengine nywele za magoya kabisa


Hivi hata kama mimi ni mgeni nishindwe kujua mgeni mwenzangu na mwenyeji

Haya mkuu tufanye umeshinda
Sawa bwana Ila hili Neno "kimbulu" Huwa silipendi kabisa
 
Mkuu hapo la Issa ujaongea point.Yesu ni Kiswahili, Jesus ni kiingereza,Issa ni kiarabu and so on.
Wacha uwongo wewe toka lini waarabu wanamwita Yesu Issa.
Issa ni Nabii wa Allah na sijui kamtoa wapi.
Aliyemwita hivyo ni Allah ili kuwaghiribu Waislamu.
Yesu Waarabu wanamwita Yashua.

Kama unabisha Bofya ktk Youtube video. Andika "Arab Christian Songs"

Uone Waarabu Wakristo wanataja jina gani ili kumsifu Yesu wao.

Allah anawaghiribu kwa kuwabadilishia majina ya Manabii ili hata akiwasingizia anakwepa adhabu kwa Mungu.
Hata huyo Musa aliyeibiwa nguo sio Musa wa Kwenye Biblia.
Tafakari sana Dini yako usije ukaishia kuwa mwongo tu.
 
Mkuu hapo la Issa ujaongea point.Yesu ni Kiswahili, Jesus ni kiingereza,Issa ni kiarabu and so on.
Wacha uwongo wewe toka lini waarabu wanamwita Yesu Issa.
Issa ni Nabii wa Allah na sijui kamtoa wapi.
Aliyemwita hivyo ni Allah ili kuwaghiribu Waislamu.
Yesu Waarabu wanamwita Yashua.

Kama unabisha Bofya ktk Youtube video. Andika "Arab Christian Songs"

Uone Waarabu Wakristo wanataja jina gani ili kumsifu Yesu wao.

Allah anawaghiribu kwa kuwabadilishia majina ya Manabii ili hata akiwasingizia maneno ya Uwongo akwepe adhabu kwa Mungu.
Hata huyo Musa aliyeibiwa nguo na jiwe sio Musa wa Kwenye Biblia.
Tafakari sana Dini yako usije ukaishia kuwa mwongo tu.
 
Sasa huyu Abdulrahman alikuwa ni nani kwake Rifa'a ? Maana yake alikuwa ni mume wake tayari.

Sasa usiwe una lugha za kihuni na matusi katika mambo yenye hadhi. Maana ya hadithi hapo ni kuwa mwanamke hawezi kuolewa na Mwanaume au kurudi kwa mume wake wa awali mpaka aolewe na mwingine kisha kisha apewe talaka ya halali na amalize eda yake.
 
Sasa hapi shida iko wapi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…