Mubarridi njoo saidia vijana , wanashangaa Allah kulifanya jiwe kukimbia na nguo za Musa wakati Musa yupo uchi anaoga
Watu wa Bunu isra'il walikuwa wanasema Musa ana scrotal hernia (mabusha) , Allah akaamua Musa akimbie uchi waone machine zake kwamba ni kubwa tu na sio mabusha
Nukuu hii apa kasome yote kabla hujajibu
...By Allah, nothing prohibits Moses to take a bath along with us, but scrotal hernia. Moses once went for a bath and placed his clothes on a stone and the stone moved on with his clothes. Moses ran after it saying: 0 stone, my clothes,0 stone, my clothes, and Banu Isra'il had the chance to see the private parts of Moses,...Sahih Muslim 339