Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Kwa nini mungu Allah aseme wanawake wapigwe ??

4:34.... Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Allah ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na wapigeni
Mkuu jaribu kuwa na busara.Hebu andika aya nzima alafu tuanze kuijadili.
 
Hili jiwe litakuwa ndio lenyewe wanaloliabudu , kwa Musa Allah alilipa miguu na mikono likatoka nduki na nguo za Musa
Ila siku ya mwisho atalipa ulimi na macho kutoa hukumu kwa waislamu na kushuhudia Alie ligusa kwa moyo wa kweli

Nukuu
Muhammad said about the Black Stone: "By Allah! Allah will raise it on the Day of Resurrection with two eyes by which it sees and a tongue that it speaks with, testifying to whoever touched it in truth." Jami` at-Tirmidhi 961
" Mambo ya Walawi 26:1

Msifanye sanamu yo yote, wala msijisimamishie sanamu ya kuchonga, wala mnara, [emoji117]wala msiweke jiwe lo lote lililochorwa katika nchi yenu ili kulisujudia; kwa kuwa mimi ndimi Bwana, Mungu wenu "

Allah kawawekea Jiwe Jeusi la kulisujudia wanaliita (Hajari Haswadi) na hawamstukii kabisa.

Hilo jiwe ndio hilo lililoiba nguo za Musa wa Madina na kukimbia nazo bila soni yoyote ile. Jiwe Kibaka hilo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Biblia inatoa habari kamili kasome matayo 21 vereses 28 mpaka 32 utapata maelezo ya kutosha , usichomoe mistari na kuleta uongo
tumeshamaliza la Ibn Abbas binamu wa muhammad ambae wewe umemuita muongo

turudi kwenye mada
Eleza kwa kina kwa nini allah aliruhusu umalaya wa mutah
Koran 4:24 Ibn Al Kathir .....(So with those among them whom you have enjoyed, give them their required due,) was revealed about the Mut`ah marriage......
Na wewe lete aya yote tujadili.
 
Ivi kwa nini tunawela Aya alafu mnakuja tena kuuliza ,mnakuwa hamuamini kitabu chenu kama kimeruhusu huo uchafu?
Toa Aya nzima inayojitosheleza.Hivi zile aya ulizozitoa 53:19-20 zinajitosheleza?Alafu ukaanza kukandia mbona ujaendeleza mpaka 53:23?

Hatupo hapa kupotosha jamii bali kuongeza maarifa.

Enyi Waafrika tuache kuwa na upofu wa imani uliyoko mioyoni mwetu.Jinsi mnavyoongea ni kana kwamba wale wahindi wanaoabudu dini yao hawataenda mbinguni kisa masanamu ilhali wapo wenye kutenda mema na sisi tunaojifanya bila Ukristo au Uislamu mtu hatoenda mbinguni tunafanya dhambi kila kukicha na hata toba tunasahau alafu mnakaa mnabishania kukosoana.
 
Hao wanahubiri Dini yao kwa vitisho, Jazba na kuongopa Taqiyya na maandiko yapo.
Hapa wanashindwa tu kusema umewashinda.
Na wala hawarudi nyuma kutafakari mafundisho feki ya huyo mtume wa Majini hata uwaambie kitu gani.
Wameapa kuipigania dini yata kwa kuchinja mtu anayewashinda kwa hoja, kama walivyo apa kumchinja mwislamu mwenzao Salman Rushdie.
Hata wewe jinsi unavyowashinda hapa ungeingia kwenye anga zao lazima wangekutoa roho huku wakimwita mungu wao Allah na kusheherekea.
Kuna badhi ya miji sasa hivi, kwenye mkusanyiko wa watu wakisikia tu mtu anaita kwa sauti "Allah...akbar "
Wanakimbia spidi na kuacha shughuri zao na mali zao kuokoa maisha yao, wanalikmbia jina la mungu Allah linapotajwa.
Ila waislamu wengi hawajui hii siri iliyofichwa.
Kwamba Uislamu ni 100% dini ya Majini na Muhammadi ndiye Mtume wao, na Allah ndiye mungu wao mkuu.
Jinni mkuu Allah ndiye aliyemtokea pangoni na kumlazimisha kusoma ili amtume kwa watu awe mtume wake.

Ili Uislamu uonekane kuwa ni Dini ya Mungu, Allah aliwaghiribu kwa kuchota baadhi ya matukio ya kwenye Biblia.
Halafu akajisahau akanza kuiponda Biblia hiyohiyo anayoitegemea kuwaongopea waumini wake.
Kwa hila yake akachukua masimulizi ya kawaida ya Biblia na kuyaacha mafundisho ya muhimu.
Ndio mana huwezi kuziona Amri Kumi za Musa kwenye Qurani.
Huwezi kuiona Torati wala Zaburi wala Injiri.
Ila yeye anawaongepea kwamba zipo na wao wanaamini bila hata ya kudadisi kuwa "mbona hazipo"

Shuhudia tu hii ajabu ya Allah.

Yesu Kristo alizaliwa Israeli na kukulia huko na kufa huko.
Ndugu zake hadi hii leo wapo.

Ukienda Israeli leo hii ndugu zake Yesu utawakuta na watu wanaenda kila siku kushuhudia ukweli wa Yesu.
Ndugu zake wa damu hadi leo wanathibitisha kuwa.
Yesu alikuwa ndugu yao
Alizaliwa
Alihubiri injiri
Aliteswa
Alisuribiwa na kufa msalabani
Alizikwa na kaburi lake wanakuonesha
Alifufuka
Alipaa Mbinguni.
Stori hii unaipata hadi kwenye vitabu vya historia ya Wayahudi na masimulizi ya kawada ya Waisraeli ambao sio Wakristo.

Hapo inamaana hayo matukio yote ni ya kweli kuhusu kijana wao Yesu.

Allah anamtuma Muhammadi raia wa Saudi arabia, miaka miatano baadae na kukanusha hayo yote pamoja na kubadili jina halisi la Yesu na kumwita Issa.

Hivi wewe ukipata Assignment ya kutafiti maisha ya Yesu, utaenda kuufanya Maka au nyumbani kwake Israeli aliko zaliwa na kufa na kuzikwa ?

Allah kaja na stori zake za mchongo na anaaminika na mamilioni ya watu.

Hadi sasa natafakari nashindwa kuacha kumshangaa Allah.
Ni kiumbe kiongo sana na wengi hawajakishtukia.
Mkuu hapo la Issa ujaongea point.Yesu ni Kiswahili, Jesus ni kiingereza,Issa ni kiarabu and so on.
 
haipo lete ushahudi
Muhammad's said, "If a man and a woman agree (to marry temporarily), their marriage should last for three nights, and if they like to continue, they can do so; Sahih al-Bukhari 5119
....Yes, we had been benefiting ourselves by this temporary marriage during the lifetime of the Prophet (ﷺ) and during the time of Abu Bakr and 'Umar. Sahih Muslim 1405c
We contracted temporary marriage giving a handful of (tales or flour as a dower during the lifetime of Allah's Messenger..... Sahih Muslim 1405d
 
Wanyaturu wamekufanyaje mkuu ,

Kwahyo wa Mbulu ni waislamu ? Maana kule babati we unavuta tu hawajaumbiwa hapana


Achana na hizo assumption zako

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hivi mbulu umewahi kuishi huko au ni mnajiongelea tu mi maneno michafu tu na una uhakika na hayo unayoyaongea maana Mimi hapo ni nyumbani na sijawahi kukutana na haya mambo
 
Kimsingi mwanadamu haridhiki bali anajizuia ndio maana hata kwenye hizo Imani ambazo watu wanaruhusiwa kuoa mke zaidi ya mmoja bado Kuna kesi za uzinifu Hali ya kuwa mtu amekamilisha kwa kadri dini yake ilivyomruhusu.......

Kimsingi mwanadamu anatakiwa kuidhibiti nafsi yake dhidi ya matamanio na vishawishi.....asiyeweza kufanya hivyo hata aoe wanawake elfu moja lakini kuwepo tu kwa wanawake wengine tayari kunatia udhaifu nafsini mwake.......

Ndio maana pamoja na kutolewa ruhusa ya kuongeza wake kwa ajili ya kutimiza matakwa ya nafsi bado Kuna adhabu kali sana kwa atakayeshindwa kuidhibiti nafsi yake dhidi ya zinaa.......

Busara kubwa na ukumbusho mkubwa katika nidhamu kwenye mwenendo wa maisha hayo unaletwa na adhabu zilizowekwa kwa waendao kinyume na matakwa ya Mungu kwa kuwa tuna amini kuwa kuna siku ya mwisho na kila kiumbe kitaadhibiwa........
Hongera
 
Bora unisaidie ww mimi ni mkatoriki sijawahi kusikia talaka katika dhehebu langu wakatoliki hatunaga talaka hata kama umeoa mke anamakosa na mapungufu ndio nitolee iyo ndio maana ndoa za kikatoriki zina masharti mengi sana
Embu soma biblia vizuri talaka inatoka tu
 
Hivi mbulu umewahi kuishi huko au ni mnajiongelea tu mi maneno michafu tu na una uhakika na hayo unayoyaongea maana Mimi hapo ni nyumbani na sijawahi kukutana na haya mambo
Babati, Hanang pia na baadhi ya maeneo ya Karatu nimefika uachage ubishi ni nani asiyejua tabia za wanawake zenu


Unamvuta tu na mkono
 
Babati, Hanang pia na baadhi ya maeneo ya Karatu nimefika uachage ubishi ni nani asiyejua tabia za wanawake zenu


Unamvuta tu na mkono
Huko kote Mimi nimeishi na hata mikoa mingine lakini utakachokutana nacho Dar,mwanza,pwani,zbar,maeneo yote ya wabantu mnapoiishi hali ni mbaya mara mbili ya huko wakati mwingine jiangalieni kwanza nyie sio mnaripoka nyie mnakukutana na Hawa wanawake wanaokuja kutafuta maisha mjini ndo mnajumuisha kabila zima
 
Huko kote Mimi nimeishi na hata mikoa mingine lakini utakachokutana nacho Dar,mwanza,pwani,zbar,maeneo yote ya wabantu mnapoiishi hali ni mbaya mara mbili ya huko wakati mwingine jiangalieni kwanza nyie sio mnaripoka nyie mnakukutana na Hawa wanawake wanaokuja kutafuta maisha mjini ndo mnajumuisha kabila zima
Mtu kiswahili chake cha kimbulu kabisa na wengine nywele za magoya kabisa


Hivi hata kama mimi ni mgeni nishindwe kujua mgeni mwenzangu na mwenyeji

Haya mkuu tufanye umeshinda
 
Mtu kiswahili chake cha kimbulu kabisa na wengine nywele za magoya kabisa


Hivi hata kama mimi ni mgeni nishindwe kujua mgeni mwenzangu na mwenyeji

Haya mkuu tufanye umeshinda
Sawa bwana Ila hili Neno "kimbulu" Huwa silipendi kabisa
 
Mkuu hapo la Issa ujaongea point.Yesu ni Kiswahili, Jesus ni kiingereza,Issa ni kiarabu and so on.
Wacha uwongo wewe toka lini waarabu wanamwita Yesu Issa.
Issa ni Nabii wa Allah na sijui kamtoa wapi.
Aliyemwita hivyo ni Allah ili kuwaghiribu Waislamu.
Yesu Waarabu wanamwita Yashua.

Kama unabisha Bofya ktk Youtube video. Andika "Arab Christian Songs"

Uone Waarabu Wakristo wanataja jina gani ili kumsifu Yesu wao.

Allah anawaghiribu kwa kuwabadilishia majina ya Manabii ili hata akiwasingizia anakwepa adhabu kwa Mungu.
Hata huyo Musa aliyeibiwa nguo sio Musa wa Kwenye Biblia.
Tafakari sana Dini yako usije ukaishia kuwa mwongo tu.
 
Mkuu hapo la Issa ujaongea point.Yesu ni Kiswahili, Jesus ni kiingereza,Issa ni kiarabu and so on.
Wacha uwongo wewe toka lini waarabu wanamwita Yesu Issa.
Issa ni Nabii wa Allah na sijui kamtoa wapi.
Aliyemwita hivyo ni Allah ili kuwaghiribu Waislamu.
Yesu Waarabu wanamwita Yashua.

Kama unabisha Bofya ktk Youtube video. Andika "Arab Christian Songs"

Uone Waarabu Wakristo wanataja jina gani ili kumsifu Yesu wao.

Allah anawaghiribu kwa kuwabadilishia majina ya Manabii ili hata akiwasingizia maneno ya Uwongo akwepe adhabu kwa Mungu.
Hata huyo Musa aliyeibiwa nguo na jiwe sio Musa wa Kwenye Biblia.
Tafakari sana Dini yako usije ukaishia kuwa mwongo tu.
 
Mwanamke wa kiislamu akipewa talaka hawezi kurudi kwa mume wa kwanza mpaka apigwe machine na mwingine ndio arudi
ndipo hapo muhamad hakukemea kipigo akamwambia kama unataka kurudi kwa mumeo wa kwanza pigwa kwanza machine na huyu unaetaka kumuacha.

...."If that is your intention, then know that it is unlawful for you to remarry Rifa`a unless `Abdur-Rahman has had sexual intercourse with you.....Sahih al-Bukhari 5825
Sasa huyu Abdulrahman alikuwa ni nani kwake Rifa'a ? Maana yake alikuwa ni mume wake tayari.

Sasa usiwe una lugha za kihuni na matusi katika mambo yenye hadhi. Maana ya hadithi hapo ni kuwa mwanamke hawezi kuolewa na Mwanaume au kurudi kwa mume wake wa awali mpaka aolewe na mwingine kisha kisha apewe talaka ya halali na amalize eda yake.
 
Mubarridi njoo saidia vijana , wanashangaa Allah kulifanya jiwe kukimbia na nguo za Musa wakati Musa yupo uchi anaoga
Watu wa Bunu isra'il walikuwa wanasema Musa ana scrotal hernia (mabusha) , Allah akaamua Musa akimbie uchi waone machine zake kwamba ni kubwa tu na sio mabusha

Nukuu hii apa kasome yote kabla hujajibu
...By Allah, nothing prohibits Moses to take a bath along with us, but scrotal hernia. Moses once went for a bath and placed his clothes on a stone and the stone moved on with his clothes. Moses ran after it saying: 0 stone, my clothes,0 stone, my clothes, and Banu Isra'il had the chance to see the private parts of Moses,...Sahih Muslim 339
Sasa hapi shida iko wapi ?
 
Back
Top Bottom