Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Brother naona unapata tabu Sana na yeye kwsababu huyo hayuko kwenye uhitaji wa kufahamishana bali yeye yuko kwenye kushindana. Kila aya katika qur-an ina sababu ya kuteremshwa kwake kwaio mim nadhani angeyajua hayo bas angekua Tayar kufahamishwa.
Hao ndo wale viziwi,vipofu na mabubu
 
Mutah boy vyote navifahamu kabla sijaweka ata lazima nisome tafsir kama tatu nijue maana ya Aya , kumbuka Koran bila tafsir haieleweki kabisa

Hujanielewa nnachomaanisha hapa je umewahi kupitia sababu ya kuteremshwa kwake hio aya?
 
Mtoto wa miaka SITA eti ni mke wa mtume na wanalala kabisa kitanda kimoja , huyu jammaa alikuwa ana Devil kama alivyokiri mwenyewe
Ukifuatilia hadi leo Mashehe wazito wanaoa visichana vidogo sana.

Hizo ni zawadi wanapewa na Manguli wenzao wanaokutana nao
Ujinini.
Fuatilia msichana anaye ozwa kwa Shehe Mzee lazima awe Mtoto wa Shehe pia.

Nakuambia ukweli jamaa yangu kuna rafiki yangu mmoja anaitwa Salumu.
Alikuwa ni Swala tano.
Niliishi naye Nyumba Moja.

Siku moja alijihimu Alfajiri kuswali Msikitini.
Kuingia tu Msikitini akamwona Jinni akiwa katika Umbo la kutisha sana anamwangalia.
Jamaa alitoka mbio hadi nyumbani ilikuwa kalibu tu.

Toka siku hiyo jamaa akatangaza kuachana na Uislamu. Na hakuenda dini yoyote ile na ni Mpagani hadi hii leo.

Uislamu ni 100% Dini ya Kishirikina, sema Waislamu wengi hawatambui hili.
Msikiti ni moja ya Kilinge cha Majini ndimo yanamoshinda kutwa kucha kumswalia Mtume na kumwabudu Allah na kitubu dhambi zao.

Hili ni lazima tuliongee, ni kwa nini Majini hayana Nabii wa Kijini ?

Kama ndivyo hivyo basi hata Maimamu wa Majini ni hawahawa Maimamu Watu.
 
Ujinga na ujuha ndo ulokua nao haya tuoneshe wapi Muhammad kafanya dhambi?
Sehemu ambapo nawaona hampo seriously ni kumpinga mpaka Allah
Yani Allah anasema wazi kabisa atamsaheme Muhammad dhambi zilizo pita na atakazo fanya kasha samehe
Wewe unakuja una m challenge Allah unauliza wapi Muhammad kafanya dhambi Yani unafanya Allah kusema kamsehe halikuwa hajui kama Muhammad kafanya madhambi

Koran 48:2That Allah may forgive thee of thy sin that which is past and that which is to come...

Unapo debate heshimu dini Yako na mungu wako acha kumdhalilisha
 
Kukopi ni suala moja!

Umielewaje? Unaifafanuaje?
Huyu devil ambae alikuwa ni companion wa muhammad alikuwa Kuna mda adi anamfanyisha mapenzi bila yeye Muhammad kujua

..The Prophet (ﷺ) continued for such-and-such period imagining that he has slept (had sexual relations) with his wives, and in fact he did not. ....Sahih al-Bukhari 6063
Cc ,Mubarridi Consensus ad idem Lotajr
 
copy and paste yko hlf ata kiswahili hujui hya itafsiri iyo aya kwa kiswahili mna kiingereza hujui
 
Mbona sisi watu hatujui kufikiria?Mungu katika biblia si anasema waisraeli wapigeni maadui zenu ili mpate nchi ya ahadi.Hao waliopigwa vita na waisraeli Wana kosa gani?Mungu wao ni yupi?Kama ni masanamu na wanastahili adhabu basi wanawake wanastahili kupigwa wanapokosea.

You guys got poor thinking.
 
Na mwanaume anapokosea anastahili kufanywaje kwa mujibu wa allah
 
Tukubaliane, nikiweka reference utasadiki? Ili nijue nadili na mtu wa aina gani?
 
Mimi huwa sitoagi michango kwenye ndoa za kiislamu kwani huwa naona ni kama maigizo tu wanaweza kuoana leo na kuachana kesho
 
Uislamu ni dini ya haki sio tu ndoa mambo mengi katika uislamu yametolewa ufumbuzi ila wachache katika watu ndio wataelewa.
dini ya haki???? tazama yanayojiri huko afganstani, tena tazama asilimia zaidi ya 90% ya makundi ya kigaidi, najua kuna waislamu moderate, lakini ukifuata koran , inaruhusu mambo kaa ya kuua kafili, yaani watu ambao sio waislamu, kweli uongo??????????
 

Huu upotoshaji wenu umepitwa na wakati! Umetoa mistari mingi kutoka kwenye kitabu chenu, halafu ukachukua kamstari kamoja tu kutoka kwenye Biblia, ili tu uhalalishe upotoshaji wako. Kwa nini usichukue mistari yote kama ulivyofanya kwenye kitabu chenu?

Narudia tena na tena! Dini ya Kiislamu binafsi naikubali kwenye kipengele kimoja tu cha kuruhusu kuoa wanawake zaidi ya mmoja! Zaidi ya hapo, hakuna kitu! Kiufupi ni dini ya kinafiki kama zilivyo dini nyingine tu.
 
Kwaiyo kile kiapo Cha "mpaka kifo..." Kishafanyiwa mabadiliko

Mathayo 19: 7-9

7 Mafarisayo wakauliza, “Sasa kwa nini Musa alitoa amri ya kumruhusu mwanaume kumtaliki mke wake kwa kuandika hati ya talaka?”[a]

8 Yesu akajibu, “Musa aliwaruhusu kuwataliki wake zenu kwa sababu mlikataa kupokea mafundisho ya Mungu. Lakini talaka haikuruhusiwa hapo mwanzo. 9 Ninawaambia kuwa, kila anayemtaliki mke wake, isipokuwa kutokana na uzinzi, na akamwoa mwanamke mwingine, anazini.”
 

Sio kweli
 
Uislam ndio dini pekee ilio weka mikakati mizuli kila sekta kama ukifatilia vizuri vitabu maisha tunayoishi kama tungefuata talatibu za kiislam bc tungeishi vizur xna

Mmmmmmmmm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…