Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Mwisho wa siku muhammad anaweka wazi waislamu wote mna mlinzi anaitwa devil

Abdullah ibn Mas’ud reported: The Muhammad, said, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” They said, “Even you, O Messenger of Allah?” The Prophet said, “Even me, yet Allah helped me against him until he embraced Islam. He does not order me to do anything but good.”
Source: Ṣaḥīḥ Muslim 2814
Kukopi ni suala moja!

Umielewaje? Unaifafanuaje?
 
Kukopi ni suala moja!

Umielewaje? Unaifafanuaje?
Mbona ipo wazi kabisa hakuna kificho
Abdullah ibn Mas’ud reported: The Muhammad, said, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” They said, “Even you, O Messenger of Allah?” The Prophet said, “Even me, yet Allah helped me against him until he embraced Islam. He does not order me to do anything but good.”
Source: Ṣaḥīḥ Muslim 2814
 
spensa_e ngoja nikujibu mwenyewe, utanichelewesha nina majukumu mengi, mpaka uwende kwa sheikh google utafute si leo. Bali utaendelea na copy and paste na ni kwa sababu: Elimu ni mfano wa kiumbe, elimu si karatasi wala vitabu. Elimu mtu anaihimili yeye mwenyewe. Hivyo anavyofanya mtu anahamisha maarifa kutoka kwake kwenda kwa mtu, na wala si Ku google na mengineyo. Elimu ya namna hiyo ya sheikh google haipo. Maadamu hauna, niliyenayo ngoja nikufafanulie.

Mtume swallallahu alayhi waalihi wasallam anasema; kwenye moyo wa binadamu kuna nyumba mbili. Moja ya malaika na shengine ni ya sheytwaan. Ikiwa huyu mja anamtaja Mungu sana sheytwaan anakonda (anakuwa kama ubawa wa mbu) malaika ndiyo anatawala. Ikiwa huyu mja hamtaji Mungu sheytwaan atamtawala. Huyu, ndiye anayeitwa the devil within.

Na kwa hii Mtume akaifafanua akasema; every human has a jinn(devil) that is assigned to that individual, and that devil is forever attached with each individual.

Huyu jinni kuanzia binadamu wa kawaida mpaka kwa mitume kwa manabii wapo. Isipokuwa mitume na manabii wametakasika, mioyo yao ni safi. Kwa hali hiyo yule the devil within wamejisalimisha. Rejea awali Mtume swallallahu alayhi waalihi wasallam aliposema moyo wa binadamu una nyumba mbili, ya malaika na jinni.

Ukumbuke pia katika Surat nnas za kujikinga dhidi ya sheytwaan wa kijinni na wa kibinadamu kuna aya inasema "alladhii yuwas-wisu fii suduuri nnasi. Minal jinnat wannaasi." Ninajilinda kwa mola kutokana na wanaotia wasisi katika nyoyo za binadamu, sharri ambazo zinatokana na sheytwaani wa kijinni na wa kibinadamu. Sasa miongoni mwa sheytwaani wa kijinni anayeleta wasisi katika mioyo ndiyo huyu, the devil within.

Ukumbuke pia katika uislam majinni ni miongoni mwa viumbe wa Mungu. Ukumbuke pia kwenye Qur'an Mungu anasema ameumba majinni na watu ili wamuabudu. Ukumbuke pia kumuabudu Mungu ni kufuata maarisho yake na kuacha makatazo yake. Kutekeleza hayo kunaitwa kujisalimisha ni muslimiin. Ni kuwa muislam.

Kwa mitume hao devil within wamejisalimisha. Kwetu ni kupambana nao kwa kufuata maamrisho ambayo Mitume wamekuja nayo. Uliyoitoa ni sehemu za kuwahusu hao majini ambao mtume kawazungumia kwenye hiyo hadithi. Mtume swallallahu alayhi waalihi wasallam kutufafanulia zaidi akasema; the angel has a touch and the sheytwaan has a touch. And the touch of the angel is that he inspires and motivates the individual to do good.

And the touch of the shaytwaan inafahamika ipoje! Ukimuacha huyu(devil) astarehe his momentum will carry you na utapotea. Mtume swallallahu alayhi waalihi wasallam akatupatia dawa vilevile kwa kutuambia. Moyo wa binadamu ni kama mfano wa chuma. Chuma kupata kutu ni mfano wa maasi/madhambi. Kila ukifanya dhambi moyo unashika kutu. Lakini kila binadamu ni mkoseaji, aliyebora ni mwenye kufanya tawbah, kutubu. Ukitubu unaondoa kutu iloyopo kwenye moyo.

Hiyo ndiyo fafanuzi fupi kuhusu hiyo hadithi. Ni kuwa tujielewe na tujifahamu binadamu mazingira tuliyopo ya namna zote. Hivyo Mtume swallallahu alayhi waalihi wasallam anatuvumbua na anatupatia silaha ya kupambana na huyu the so called the devil within, jina lake anaitwa Qaariin.

Hii ni elimu. Huwezi kuipata google Mzee. Hivyo kukopi na kupesti hakutokusaidia kwangu mimi. Huwa siipendi hii mijadala ila huwa sitoacha kupaweka sawa kwa mazingira mnayojaribu kuyajenga ninyi.
 
spensa_e ngoja nikujibu mwenyewe, utanichelewesha nina majukumu mengi, mpaka uwende kwa sheikh google utafute si leo. Bali utaendelea na copy and paste na ni kwa sababu: Elimu ni mfano wa kiumbe, elimu si karatasi wala vitabu. Elimu mtu anaihimili yeye mwenyewe. Hivyo anavyofanya mtu anahamisha maarifa kutoka kwake kwenda kwa mtu, na wala si Ku google na mengineyo. Elimu ya namna hiyo ya sheikh google haipo. Maadamu hauna, niliyenayo ngoja nikufafanulie.

Mtume swallallahu alayhi waalihi wasallam anasema; kwenye moyo wa binadamu kuna nyumba mbili. Moja ya malaika na shengine ni ya sheytwaan. Ikiwa huyu mja anamtaja Mungu sana sheytwaan anakonda (anakuwa kama ubawa wa mbu) malaika ndiyo anatawala. Ikiwa huyu mja hamtaji Mungu sheytwaan atamtawala. Huyu, ndiye anayeitwa the devil within.

Na kwa hii Mtume akaifafanua akasema; every human has a jinn(devil) that is assigned to that individual, and that devil is forever attached with each individual.

Huyu jinni kuanzia binadamu wa kawaida mpaka kwa mitume kwa manabii wapo. Isipokuwa mitume na manabii wametakasika, mioyo yao ni safi. Kwa hali hiyo yule the devil within wamejisalimisha. Rejea awali Mtume swallallahu alayhi waalihi wasallam aliposema moyo wa binadamu una nyumba mbili, ya malaika na jinni.

Ukumbuke pia katika Surat nnas za kujikinga dhidi ya sheytwaan wa kijinni na wa kibinadamu kuna aya inasema "alladhii yuwas-wisu fii suduuri nnasi. Minal jinnat wannaasi." Ninajilinda kwa mola kutokana na wanaotia wasisi katika nyoyo za binadamu, sharri ambazo zinatokana na sheytwaani wa kijinni na wa kibinadamu. Sasa miongoni mwa sheytwaani wa kijinni anayeleta wasisi katika mioyo ndiyo huyu, the devil within.

Ukumbuke pia katika uislam majinni ni miongoni mwa viumbe wa Mungu. Ukumbuke pia kwenye Qur'an Mungu anasema ameumba majinni na watu ili wamuabudu. Ukumbuke pia kumuabudu Mungu ni kufuata maarisho yake na kuacha makatazo yake. Kutekeleza hayo kunaitwa kujisalimisha ni muslimiin. Ni kuwa muislam.

Kwa mitume hao devil within wamejisalimisha. Kwetu ni kupambana nao kwa kufuata maamrisho ambayo Mitume wamekuja nayo. Uliyoitoa ni sehemu za kuwahusu hao majini ambao mtume kawazungumia kwenye hiyo hadithi. Mtume swallallahu alayhi waalihi wasallam kutufafanulia zaidi akasema; the angel has a touch and the sheytwaan has a touch. And the touch of the angel is that he inspires and motivates the individual to do good.

And the touch of the shaytwaan inafahamika ipoje! Ukimuacha huyu(devil) astarehe his momentum will carry you na utapotea. Mtume swallallahu alayhi waalihi wasallam akatupatia dawa vilevile kwa kutuambia. Moyo wa binadamu ni kama mfano wa chuma. Chuma kupata kutu ni mfano wa maasi/madhambi. Kila ukifanya dhambi moyo unashika kutu. Lakini kila binadamu ni mkoseaji, aliyebora ni mwenye kufanya tawbah, kutubu. Ukitubu unaondoa kutu iloyopo kwenye moyo.

Hiyo ndiyo fafanuzi fupi kuhusu hiyo hadithi. Ni kuwa tujielewe na tujifahamu binadamu mazingira tuliyopo ya namna zote. Hivyo Mtume swallallahu alayhi waalihi wasallam anatuvumbua na anatupatia silaha ya kupambana na huyu the so called the devil within, jina lake anaitwa Qaariin.

Hii ni elimu. Huwezi kuipata google Mzee. Hivyo kukopi na kupesti hakutokusaidia kwangu mimi. Huwa siipendi hii mijadala ila huwa sitoacha kupaweka sawa kwa mazingira mnayojaribu kuyajenga ninyi.
Hakuna ata tejea moja , hapa naona ni uongo tu umeandika bila reference, alafu kiharabu unaandika kama kiswahili ili iweje?
Kumbuka waislamu ndio companion yenu ni shetani sisi wakristo Mungu wetu kasema tunalindwa na Malaika mda wote
Mungu wa biblia anasema
Psalm 91:11”For He will give His angels charge concerning you, to guard you in all your ways.

Allah anasema
, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” saḥīḥ Muslim 2814
 
Ndugu Yangu Fanya Kazi Zako Unapoteza Muda Wako Hapa kwa Hii Mikafiri Kwani Haujui Kutokana na UPOTOVU wao Tayari Imepigwa Muhuri Katika nyoyo zao Ni mibubu miziwi mipofu kwamwe Haiwezi elewa Maandiko ya MWENYEZI MUNGU. Rudi Juu Utaona Tumewapa Kila Ushahidi Wa UPOTOVU Wao Lakini hawajaweza Kutetea hata Moja kwa Ushahidi Zaidi ya Porojo Tu.

Kwasasa Waache Watafakari Kwanza hayo Yaliyopita Ukiongeza Mengine Utapa Mzigo Mkubwa Wasiouweza.
Mbona tumeshamaliza

Mungu wa biblia anasema

Psalm 91:11”For He will give His angels charge concerning you, to guard you in all your ways.



Allah anasema

, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” saḥīḥ Muslim 2814
 
Uongo wa kwanza!

Katika Maidhwatain sura za kujilinda dhidi ya shari, Surat nnas aya inasema kuomba hifadhi kutoka Mungu; Alladhii yuwas wisu fi suduurinnas, minal jinnati wa nnas. Kwa maana unaomba hifadhi ya kujilinda kutoka kwa Mungu kutokana na wale ambao wanaotia wasiwasi katika nyoyo za binadamu ambao miongoni mwao ni binadamu na majini.

Na katika surat jinni kuna aya inaelezea madai unayoyatoa kuwa ni ushirikina na aya nilishakuwekea hapo awali. Hivyo usitunge mambo.

Jini hawezi kukuacha salama. Kila binadamu anayezaliwa kuna jini anamzingira huyu binadamu maisha yake kila mahali, na ndiye huyu usipoomba hifadhi kwa Mungu anafahamu siri zako zote. Ndiye huyu anayewasiliana na majini wa mganga, unafika kwa mganga anajua siri zako zote. Jua ya kwamba majini wa mganga wanazungumza kupata habari kwa huyu jini anayekuzingira muda wote. Anaitwa Qaarin. Tangu utoto kuzaliwa anakuzingira huyu. Sasa usichanganye mafaili kwa ufahamu hafifu na kuzushia unayoyataka wewe.

Ukiamua unalindwa na malaika, ukiamua unalindwa na mkuu wa malaika Jibril amani ya Mungu iwe juu yake. Na ukiamua unalindwa na Mungu.

Kuna malaika wanaitwa Ruhaniyyun. Hawa ni malaika wa rehma. Ukiwa unafanya dhikri sana muda wote unakuwa nao. Dua zetu zote ni kujikabidhisha kwa Mungu. Ikiwa kama unadua inayosapoti madai yako iweke hapa tuuuone ukweli wako!



32_13.gif

13. Na lau tungelitaka tungempa kila mtu uwongofu wake. Lakini imekwisha kuwa kauli iliyotoka kwangu : Kwa yakini nitaijaza Jahannamu kwa wote hawa, majini na watu.

Hiyo ni Surat Assajidah
_________________

Hii ni Surat jinni

72_6.gif

6. Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi.

Hiyo ni Qur'an na ndivyo inavyosema! Sasa huo uislam unaouzungumzia wewe sijui wa wapi? Wewe endelea kuneng'eneka na majini, jehannamu itajazwa wewe na majini.




Jini ni jamii miongoni mwa viumbe vilivyoumbwa na Mungu kama jamii ya viumbe mbalimbali vilivyoumbwa. Jamiii imekusanya jumla ya jumia mojamoja. Kwenye jamii wapo miongoni mwa waliyo wazuri na kinyume chake. Na ndivyo ilivyokwa majini pia. Wapo waliyojisalimisha kwa Mungu na wapo waliyomkanusha Mungu. Akiwa anafanya ibada kuna tatizo gani? Tunu ya kumuabudu Mungu hujapewa wewe binadamu peke yako, tunu hii Mungu kaieneza kwa viumbe vyake wengineo pia. Hii ni tafsiri ya kwetu kwenye uislam, usiifananishe iwe sawa na yako.

Hapa ndipo unapoonesha ajabu yako!
Wapi ulishaona jini anakula chapati maji au tambi? We wapi ulishaona jini anakunywa uji? Naye anakunja chapati anachovya kwenye mchuzi?! Kila kiumbe kimepatiwa aina yake ya chakula cha kula.

Kwa imani yetu Malaika kaumbwa na nuru, jini kwa moto na binadamu kwa udongo. Ni aina 3 ya viumbe tofauti. Viumbe ambavyo vinatahiniwa na Mungu ni viwili, ni binadamu na majini. Kwa imani yetu malaika hamuasi Mungu hata mara moja. Kwa imani yetu Ibilisi hakuwa malaika bali ni jini. Wapo waliyojisalimisha kwa Mungu na wapo wanaoleta ukaidi kwa Mungu kama binadamu tu. Kwa namna hiyo usilazimishe tufanane.

Laa ikraha fi ddiin.

Uzuri wa uislam kinachofuatwa ni dalili. Uislam si dini ya mtu mmoja mmoja. Dini yetu elimu yake ipo wazi haikufungwa. Wapo watu wana elimu kubwa kuliko masheikh unaowasikia. Kwetu ile ni dhamana mtu aliyepewa aishike. Ila haimaanishi ana elimu kubwa kuliko wengine, la hasha! Mifumo yetu haipo hivyo! Hata hao waliyopewa dhamana wanafahamu hayo pia.

Sharifu majini kajipa lakabu ya namna hiyo si kwa tafsiri unayotaka kuiaminisha wewe kwenye umma wa Jf. Kama unavyoona baadhi ya wachungaji wanavyotoa mapepo, kwa muktadha huo kwa sababu naye ni kazi yake akajipa lakabu ya namna hiyo ya kuwa yeye anawatoa watu majini/mapepo yanayowaingilia watu ambapo kwa upande wa kiislamu jini akimdhuru binadamu anakuwa amemuasi Mungu na anakuwa ni sheytwani, binadamu naye akimuasi Mungu kwa mwenendo wa namna hiyo naye anaitwa sheytwani. Kwa elimu hii kwetu kuna sheytwani wa kijini na wa kibinadamu. Kwa usuli huo kwa sababu ndiyo kazi aliyofungamana nayo akaamua kujiita sharifu majini. Yaani yeye ni kiboko wa kuyaondoa majini mashetani yanayowadhuru watu.

Uongo mwengine huu!
Niliyoyaelezea juu yanajitosheleza kujibu hili. Na uongo ni uongo na uongo ni dhambi. Yaani haipindishwi, hata uufanye uongo kwa mtu aaswi kwa Mungu huo uongo unaandikwa umefanya uongo. Hivyo utaandikiwa dhambi ya kuwa muongo.
Unajitahidi kujibu ila bado unajichanganya.

1. Nikisema Waislamu na Majini wanaukaribu hata wa kuitana ndugu kwakuwa ndugu ya Mwislamu ni Mwislamu mwenzake.

Sasa hapo unakanusha nini wakati wote ni Waislamu?

Yaani Mtu na Jinni Waislamu si wana namna moja ya kuabudu ? Yaani ni Dini moja.

2. Mashehe au Viongozi wa Kiislamu wanaposomea uislamu ni lazima wanafika mahali wawasome Waislamu wenzao wa Kijini.

Yaani somo la
" Mahusiano ya Waislamu watu na Waislamu Majini"

Somo hili linawapelekea hadi kwenda Ujinini ili kujua Lugha, tamaduni, na elimu za Kijini. (Baadhi ya Mashehe wanalizungumza hili)

Kwa mfano Jini Mwislamu anakuja kusali Msikitini lazima kuna taratibu inabidi zifuate ili kumwekea mazingira yake.

Ndio maana Wanawake wakiwa kwenye siku zao wanakatazwa kuingia Msikitini kuswali kwakuwa Majini yanaweza kumyonya zile damu ikapelekea hata kifo chake.

Pili Mnaposwali Msikitini Mnasalimia kushoto na Kulia, ukweli hapo mnawasalimia Majini.

Kwa hiyo hizo ratibu lazima viongozi wa Kiislamu wazitambue kwa kusoma Elimu ya Majini.

3. Umesema Mungu aliwaumba Majini ili wamwabudu.

Je Kabra ya Muhammadi Majini yalikuwa yanamwabudu nani ?

Yalikuwa Dini gani ?

Maana Manabii wote hawakufanya Shirika na Majini katika Ibada zao wala hawakuwahi kuwahubiria Majini habari za Dini.

Na Hakuna Mahali ambapo Mungu aliagiza Manabii wake wawashirikishe majini katika ibada zao.

Muhammadi ndiye nabii wa kwanza kwenda Ujinini kuwahubiria Majini Uislamu na Majini yakaukubali na Kusilimu.
Nani alimpa ruksa hiyo na wapi ?

Je kabla ya Kusilimu ni kwanini Majini hayakuwa yakimwabudu Mungu hali ya kuwa waliumbwa ili yamwabudu ?

Unataka kusema Majini yaliumbwa na ikawabidi wamsubiri Muhammadi aletewe Uislamu ndio yasilimu na kunwabudu Allah ?

4. Unaposema Kuna Majini wema na wabaya mimi nashindwa kukuelewa.

Hapo unamaanisha hawafanyi dhambi kabisa au ?
Maana Waislamu watu wanatenda dhambi na wanatubu Msikitini.

Na Majini pia najua yanakosea na yanakuja kutubu Msikitini.
Wewe unasemaje kwamba kuna Majini mema ?

[emoji117]Mwema ni Mungu peke yake yeye pekee ndiye hatendi dhambi[emoji118]

Kusema kuna Majini mema ni juhudi za Waislamu kuwatetea ndugu zao wa Kijini.

Kama kuna Majini mema yanakuja kufanya nini Msikitini ?
Unamaanisha hayatendi dhambi au unamaanishaje ?
Yaani Jinni Mwema na ahitaji kusilimu ili iwe nini?

Ninachojua majini yote ni maovu ndio maana yanatapatapa kutaka kutubu.

Halafu Kusema Mtu au Jinni ni Mwema hii kauli haitakiwi isemwe na Jinni wala Mtu.

Mungu ndiye anayejua kiumbe gani ni Chema baada ya kutubu na kuishi kitakatifu.


Ni kwamba Majini yameukubali uislamu kwakuwa yanataka kutubu dhambi zao uli kumpendeza Mola wao.

Na Majini Maovu ndiyo yanayotaka kutubu kupitia taratibu za Kiislamu.

5. Hivi ni kwanini Ibada za Kiislamu zishirikishe Majini?

Hivi Allah alishindwaje kuchagua Mtume wa Kijini ili awahuburie Majini wenzake ?

Inayumnikanaje Mtume wa Watu aende kuyahubiria Majini wakati Majini hayaonekani kwa Macho ya Kibinadamu.?

Alikukutana nayo vipi na wapi mbona qurani haielezi. Muhammadi alijifunza wapi Lugha za Kijini.

Muhammadi tunaona Allah anamtuma kwa Watu awe Mtume.

Mbona hatuoni Allah anamtuma Muhammadi kwenda kuwa Mtume kwa Majini ?

Hivi Allah kama alitaka Majini yamwabudu kupitia Uislamu kwanini hakumteua Mtume miongoni mwa Majini awahubirie Majini wenzake ?

Kama Binadamu Muhammadi ndiye aliyeyasilimisha Majini.
Basi ni wazi hata leo Majini yanasikiliza Ibada kwa Binadamu Mashehe na Maimamu.

Ndio maana yule Shehe aliniambia Majini yote yanaswali Kwenye Misikiti ya Watu.

Kama Majini yalikosa Nabii wao wa Kijini, basi ni hakika hayana Mashehe wala Maimamu wa Kijini.
Wa kuwaswalisha huko huko Ujinini.
Hivyo ni lazima Majini yashiriki katika Ibada zote za Kiislamu zinazo ongozwa na Waislamu watu Misikitini.

Hii ni hatari sana kwa baadhi ya Waislamu Watu hasa wengi wao ambao ni Maamuma kwenye Kweli ya Kiislamu
 
1 Wakorintho 15:13
Lakini kama hakuna kiyama ya wafu, Kristo naye hakufufuka;
14 tena kama Kristo hakufufuka, basi, kuhubiri kwetu ni bure na imani yenu ni bure.
15 Naam, na sisi tumeonekana kuwa mashahidi wa uongo wa Mungu; kwa maana tulimshuhudia Mungu ya kuwa alimfufua Kristo, ambaye hakumfufua, ikiwa wafu hawafufuliwi.
16 Maana kama wafu hawafufuliwi, Kristo naye hakufufuka.
17 Na kama Kristo hakufufuka, imani yenu ni bure; mngalimo katika dhambi zenu.
18 Na hapo wao nao waliolala katika Kristo wamepotea.
19 Kama katika maisha haya tu tumemtumaini Kristo, sisi tu maskini kuliko watu wote.
20 Lakini sasa Kristo amefufuka katika wafu, limbuko lao waliolala.
We KAFIRI tuelezee huu upumbavu ni upi?
20220214_215703.jpg
 
Hiyo Paul ametumia metaphor language kueleza hakuna binadamu anafikia uweza wa Mungu , hilo tumemaliza turudi tuelezeeni kwa makini kwa nini mnalindwa na shaitan
Akili mbili kweli ww usiteteee ujinga hpa bible lenu ilo ndo liloandikwa ivo tupeni majibu kma mtaweza
 
Hhhhhhhh tumuulize Paul wakati nyinyi si ndo kitabu chenu icho kiteteeni sasa

Ukristo haujawahi na hautowahi kua dini yni mpk Mungu anatukanwa
Hapo Kwangu mimi Paulo alikosea,
Kwani Makosa ya mitume si yanaandikwa kwenye Vitabu vya Dini kama kawaida.

Musa alikusea, Daudi alikosea, Muhammadi alikosea, Ibrahimu alikosea,
Suleimani alikosea

Sasa unashangaa nini Paulo kukosea ?
Kwani yeye ni Mungu hata
asikosee ?

Kwa namna yoyoye ile kutamka hilo neno ni kosa.
Na nina uhakika Paulo alitubu kwa Mungu wake.
 
Hapo Kwangu mimi Paulo alikosea,
Kwani Makosa ya mitume si yanaandikwa kwenye Vitabu vya Dini kama kawaida.

Musa alikusea, Daudi alikosea, Muhammadi alikosea, Ibrahimu alikosea,
Suleimani alikosea

Sasa unashangaa nini Paulo kukosea ?
Kwani yeye ni Mungu hata
asikosee ?

Kwa namna yoyoye ile kutamka hilo neno ni kosa.
Na nina uhakika Paulo alitubu kwa Mungu wake.
Lete Aya za hao mitume walokosea hapa

hlf pitia aya hii hapa 2:2 hlf ndo uje na ayo makosa yako
 
Ndugu Yangu Fanya Kazi Zako Unapoteza Muda Wako Hapa kwa Hii Mikafiri Kwani Haujui Kutokana na UPOTOVU wao Tayari Imepigwa Muhuri Katika nyoyo zao Ni mibubu miziwi mipofu kwamwe Haiwezi elewa Maandiko ya MWENYEZI MUNGU. Rudi Juu Utaona Tumewapa Kila Ushahidi Wa UPOTOVU Wao Lakini hawajaweza Kutetea hata Moja kwa Ushahidi Zaidi ya Porojo Tu.

Kwasasa Waache Watafakari Kwanza hayo Yaliyopita Ukiongeza Mengine Utapa Mzigo Mkubwa Wasiouweza.
Mutah boy ,mbona hakuna ushahidi umeweka
 
Akili mbili kweli ww usiteteee ujinga hpa bible lenu ilo ndo liloandikwa ivo tupeni majibu kma mtaweza
Mutah boy unataka ujibiwe kivipi , hilo tumemaliza na jibu nimeshatoa ,

Kwa nini Allah amewapa ulinzi wa shaitan the Devil
 
Hapo Kwangu mimi Paulo alikosea,
Kwani Makosa ya mitume si yanaandikwa kwenye Vitabu vya Dini kama kawaida.

Musa alikusea, Daudi alikosea, Muhammadi alikosea, Ibrahimu alikosea,
Suleimani alikosea

Sasa unashangaa nini Paulo kukosea ?
Kwani yeye ni Mungu hata
asikosee ?

Kwa namna yoyoye ile kutamka hilo neno ni kosa.
Na nina uhakika Paulo alitubu kwa Mungu wake.
Anhaa kwaio unakiri kua Bible ina makosa au sio ? Endeleeni tu kutumia icho kitabu hlf saivi kule Mapadri wanatakiwa waoe bhna washaona kua haiwezekani mtu kukaa bila ya kuoa

Nafurahi kuzaliwa katika neema ya Uislamu
 
Lete Aya za hao mitume walokosea hapa

hlf pitia aya hii hapa 2:2 hlf ndo uje na ayo makosa yako
Kwenye biblia ni wengi wamekosa na wametubu na Mungu wa biblia anachukizwa na dhambi zao,

Ukirudi kwa Allah alifikia maali mpaka akasema muhammad afanye dhambi zote maana kampa leseni ya kufanya dhambi
 
Back
Top Bottom