Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

[emoji851][emoji851][emoji851]Eti Nitoe Biblia Original So Umekubali Ipo Fake Na Original [emoji2957][emoji2957]

Usishindane Na Qur'an Kitabu Chenye Historia Moja Iliyonyoooka Hakina Shaka Wala Marekebisho ndani yake..

[emoji23][emoji1787]Ni Upumbavu Nimeandika We So Unapingana Na Hao Watu Hapo au Hayo Unataka Kusema Nimeyatunga Au Wewe Unaijua Biblia Kuwazidi Hao Wanachuoni Wenu..?

Naona Mpotevu Unazidi Kupotea..

Original ya Biblia Itoke Wapi Wakati Waandishi Wenyewe Hawajui Walichoandika Ndio Maana Wamepingana Wao Kwa wao Katika Maandishi..

Yapo Mengi Ila Nikupe Mfano Mmoja Tu Embu Niambie Andiko Original Ni lipi Hapa..[emoji116]

YESU Anasema Yohana 5:37
Naye Baba aliyenipeleka amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wowote, wala sura yake hamkuiona..

Matayo Yeye Anasema. Mathayo 3:17
Na tazama, Sauti kutoka mbinguni ikisema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye..

Sauti Gani yamungu iliyosikika kutoka kwenye Mawingu Na nisauti Gani Ya Mungu yesu Anasema. Hakuna Mtu Aliye isikia.?? Inamaana Kuna Andiko moja hapa Ni Fake Lakini yote yapo katika Biblia Embu Tuchambulie Fake Ni Lipi..[emoji15]. Maana Mimi Mswahili Najua Samaki Mmoja akioza Wote Wanaoza[emoji851]


Wakorintho 15:18

Hivyo basi, wooote waliolala katika Kristo wamepoteaa.

Upumbavu Umeandikwa Huku.[emoji2957][emoji116]

Kor 1:25

Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu..




Hapa Umeingia Choo Cha Kike Ruksa Kukimbia [emoji2957][emoji12][emoji2957][emoji12][emoji2957][emoji12][emoji23][emoji23]

KARIBU KATIKA UISLAM DINI YA MWENYEZI MUNGU MMOJA[emoji7][emoji2956][emoji116]View attachment 2118661

Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Mutah boy, unaposema Islam is growing unapinga Muhammad peupe kabisa , kama unataka debate heshimu mtume wake ili tuweze ku debate kama unaanzisha Uislamu wako weka wazi

Muhammad kasema wazi Uislamu utakufa ,ulianza kama kituko na utarudi kuwa kituko

“Islam began as something strange and will go back to being strange, so glad tidings to the strangers.’”Sunan Ibn Majah 3986

He also reported Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
 
hawezi akakujibu uyo nilishawahi kumuuliza maswali hajanijibu mpk leo na nilishamwambia hatopata majibu yake mpk anakufa

Ni mjinga mmoja ivi uyo asojielewa
Mutah boy huwa unanikimbia, shida hamjui dini yenu kila maandiko nayoweka ni yakwenu lakini mnayapinga
 
Wameshakula Kona Ndefuu Huu Uzi Wanauona Mchungu Sasa ivi.. Wakija Hawaji Na majibu Bali Wanakuja Na Vihoja [emoji1787][emoji851][emoji851] Maana Hawa wamezoea kudanganya watu wasio na Elimu Kwa Kuwabadilishia Maandiko na Kuwasomea Nusu Nusu ili kuwapoteza Kama walivyopotea Wao..
Mutah boy ! kama maandiko yenu mnayaita vihoja sasa tunawasaidiaje?
 
Mungu anabaguaje sasa.
Amekuwekea vigezo vya kuingia kwenye Mbingu yake.
Ni jukumu lako kuvifuata kuviacha.

Mbona hata Mungu Allah ana vigezo uli uingie katika Mbingu yake ?

Bila kushahadia
Bila Swala tano
Bila kumpa zaka
Bila kuhiji Maka na kulisujudia Jiwe Jeusi
Bila kufunga ramadhani

Huwezi kuingia kwenye Mbingu ya Allah.
Je huu sio ubaguzi ?
Yaani Watu wote wa Dunia hii yeye amewachagua Waislamu tu ndio waingie kwenye Mbingu yake.
Tena watu wengine anawakejeri na kuwaita Makafiri.

Fikiria Mungu Allah alivyo mbaguzi.
Kawaumba watu, wengine anawapenda wengine anabagua kwa kuwachukia na kuwaita majina ya kajeri.

Wewe unaonaje hapo?
Mkuu hivyo ni vigezo vyao na sivitambui na siviamini kwa 100% iwe Biblia iwe Quran.Mimi natambua Mungu aliye pamoja nami kuwa nijitahidi kufanya mema na kuogopa kufanya ubaya(HOFU YA MUNGU).

Mambo ya kusema ukiwa mkristo au muislamu ndio utaenda mbinguni siamini.

Ninachoamini hata yule asiye na dini yoyote ile na akafanya mema na akawa na HOFU YA MUNGU ataingia mbinguni.

MUNGU WANGU ANABAGUA WALE WALIOJAA USHETANI KATIKA MIOYO YAO TU.

Mimi nasoma dini yoyote ile hata ya mababu zetu, Hinduism n.k.Cha msingi za kuambiwa ninachanganya na za kwangu.
 
Mkuu hivyo ni vigezo vyao na sivitambui na siviamini kwa 100% iwe Biblia iwe Quran.Mimi natambua Mungu aliye pamoja nami kuwa nijitahidi kufanya mema na kuogopa kufanya ubaya(HOFU YA MUNGU).

Mambo ya kusema ukiwa mkristo au muislamu ndio utaenda mbinguni siamini.

Ninachoamini hata yule asiye na dini yoyote ile na akafanya mema na akawa na HOFU YA MUNGU ataingia mbinguni.

MUNGU WANGU ANABAGUA WALE WALIOJAA USHETANI KATIKA MIOYO YAO TU.

Mimi nasoma dini yoyote ile hata ya mababu zetu, Hinduism n.k.Cha msingi za kuambiwa ninachanganya na za kwangu.
Mathayo 11:28
Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
29 Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu;
30 kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi.
 
Eti kuna kifungu kina sema kama hujakutana na mkeo kwa miezi 3 na hajui ulipo eti hapo automatically talaka 😂😂😂😂😂😂

What a marriage
 
Usishindane Na Qur'an Kitabu Chenye Historia Moja Iliyonyoooka Hakina Shaka Wala Marekebisho ndani yake..



Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Koran bila hadith haieleweki kabisa ni mashahiri yasiyo heleweka

Korana inataja mtu anaitwa israel unaweza kueleza israel ni nani na alipataje hilo jina?
Uislam Unatufundisha Hivi.[emoji116][emoji116]

Qur'an 49:13 ALLAH (s.w.) anatufahamisha:

"Enyi watu! Kwa hakika tumekuumbeni (nyote) kwa (yule) mwanaume (mmoja, Adamu) na yule mwanamke (mmoja Hawaa). Na tumekufanyeni mataifa na makabila (mbalimbali) ili mjuane (tu basi, siyo mkejeliane). Hakika aheshimiwaye (Mbora Wenu) sana miongoni mwenu mbele ya Mwenyezi Mungu ni yule ambaye mcha Mungu zaidi katika nyinyi. Kwa yakini Mwenyezi Mungu ni Mjuzi, Mwenye habari (za mambo yote)". (49:13)

Qur'an inafundisha kuwa Mbora Wa Watu Ni Yule Anemcha MWENYEZI MUNGU kwa Kutenda Mema Na Kufuata Maamrisho Yake.

Kutoka kwa Abuu Huraira Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake- (Hadithi Marfu'u ): Amesema..

Mtume Muhammad Rehma Na Amani Ziwe Juu Yake Amesema..

"Hakika Mwenyezi Mungu hatazami katika miili yenu wala katika sura zenu, lakini anaangalia nyoyo zenu na matendo yenu".

Sahihi - Imepokelewa na Imamu Muslim
Koran bila mabano na maelezo ya binadamu hakuna kitu ni mashahiri hayaeleweki, embu weka 49:13 bila mabano uone ilivyo kituko

Mfano hapa ukitaka kujua waliotumwa , Koran Haina majibu ni binadamu ndio wanamajibu
Koran 46:14. Tulipo watumia wawili, wakawakanusha. Basi tukawazidishia nguvu kwa mwingine wa tatu. Wakasema: Hakika sisi tumetumwa kwenu
 
Hii Ndio Point Sasa [emoji122][emoji122][emoji122] Safi Sana Kumbe Una akili Ila hauitumii.. Hapo Tumemaliza Kuwa Biblia Sio KITABU CHA MUNGU.. Nimemaliza Mdahalo Na Wewe Kwanza Mimi Nakupa Maandiko Kutoka katika Biblia Yako Ila Wewe Unaleta Vihoja Tu Bado Huna Elimu..

Kafiri Una Dini Yako Mimi Nina Dini Yangu.. Imeishaa Hiyoo..
Mutah boy , sasa umemaliza nini hapo alafu kwa nini unampinga Allah ambae amesema alishusha biblia , nimesha kwambia kama unataka ku debate muheshimu Allah na Muhammad kwanza
Huyu hapa mtume wako anasema anaamini Torah na kwamba ni ya kweli na anaamini Mungu alieishusha Torah

...They placed a cushion for the Messenger of Allah (ﷺ) who sat on it and said: Bring the Torah. It was then brought. He then withdrew the cushion from beneath him and placed the Torah on it saying: I believed in thee and in Him Who revealed thee.....Sunan Abi Dawud 4449
 
Eti kuna kifungu kina sema kama hujakutana na mkeo kwa miezi 3 na hajui ulipo eti hapo automatically talaka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

What a marriage
Think.

Hakuna sababu ya kutesana.

Nasio hivyo tu....

Hata ukifungwa gerezani zaidi ya miezi 3, hapo kinachohitajika ni uvumilivu wa mwenza wako kukusubiri umalize kifungo.

Ila itakapo timia miezi 3, na mke na mume hawapo pamoja, hapo kuna haki ya kutalakiana kama mmoja atahitaji iwe hivyo.
Ila wakiamua kusubiriana, haina shida.


Reasons for divorce ni nyingi mno.

Yanini kutesana, na mazingira yana force kuachana..?






Sent using Jamii Forums mobile app
 
Think.

Hakuna sababu ya kutesana.

Nasio hivyo tu....

Hata ukifungwa gerezani zaidi ya miezi 3, hapo kinachohitajika ni uvumilivu wa mwenza wako kukusubiri umalize kifungo.

Ila itakapo timia miezi 3, na mke na mume hawapo pamoja, hapo kuna haki ya kutalakiana kama mmoja atahitaji iwe hivyo.
Ila wakiamua kusubiriana, haina shida.


Reasons for divorce ni nyingi mno.

Yanini kutesana, na mazingira yana force kuachana..?






Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini Allah anasema mwanamke apigwe , hili hakuna Alie jibu

4:34.... Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Allah ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na wapigeni

Huyu ni mungu kweli anasema wanawake wapigwe
 
Kama kuna janga ambalo Waislamu watakuja kulijutia siku za Mwisho ni kukubali bila kuhoji kitendo cha Mtume wao Muhammadi kuwaingiza katika Dini ya Majini.

Au nisema kitendo cha kuwakaribisha Majini wote katika Dini ya Kiislamu.
Hapa nimeshindwa kutanabaishwa tu kuwa ni nani hasa alianza kuwa Mwislamu kati ya Watu na Majini.

Mi nina uhakika kabisa hata aliyemtokea Mtume kule pangoni na bila kujitambulisha akaanza kumkaba kikatili hadi akaugua na kumlazimisha kusoma alikuwa Jinni mkuu.

Ni Jinni huyohuyo aliye walaghai hadi walisujudie na kuliabudu Jiwe Jeusi la Maka.

Na Waislamu hawataki kabisa kuhoji hili tatizo. Ukiwaambia wanabaki kukasirika tu.

Mimi mwenyewe nikiwa Mkatoriki wakati huo nilihoji sana Ibada za Bikira Maria na mambo ya kuvaa rozali hadi nikaamua kuachana na Ukatoriki nilipoona nashindwa kupewa jibu la kuniridhisha.

Ni muda sasa kwa Waislamu wenye ulewa kukataa ibada za Majini za kusujudia Jiwe la maka na kuwaabudu miungu ya Uza, Lutta na Manata.

Wanakengeuka namna gani hawa ?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kwani jini ni nani?
 
Kwani jini ni nani?
Jini ni shetani Yani Devil ambae muhammad anasema kila muislamu anae ndio mlinzi wake wakati wakristo wakilindwa na Malaika waislamu wanalindwa na shetani

Abdullah ibn Mas’ud reported: The Muhammad, said, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” They said, “Even you, O Messenger of Allah?” The Prophet said, “Even me, yet Allah helped me against him until he embraced Islam. He does not order me to do anything but good.”
 
Mungu anabaguaje sasa.
Amekuwekea vigezo vya kuingia kwenye Mbingu yake.
Ni jukumu lako kuvifuata kuviacha.

Mbona hata Mungu Allah ana vigezo uli uingie katika Mbingu yake ?

Bila kushahadia
Bila Swala tano
Bila kumpa zaka
Bila kuhiji Maka na kulisujudia Jiwe Jeusi
Bila kufunga ramadhani

Huwezi kuingia kwenye Mbingu ya Allah.
Je huu sio ubaguzi ?
Yaani Watu wote wa Dunia hii yeye amewachagua Waislamu tu ndio waingie kwenye Mbingu yake.
Tena watu wengine anawakejeri na kuwaita Makafiri.

Fikiria Mungu Allah alivyo mbaguzi.
Kawaumba watu, wengine anawapenda wengine anabagua kwa kuwachukia na kuwaita majina ya kajeri.

Wewe unaonaje hapo?
Hii ibada ya jiwe jeusi hakuna muislamu Dunia nzima anaweza kukujibu kwa nini anaabudu jiwe
 
Eti kuna kifungu kina sema kama hujakutana na mkeo kwa miezi 3 na hajui ulipo eti hapo automatically talaka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

What a marriage
Kifungu gani hicho hebu tuwekee hapa tujifunze
 
Hawakujibu kwakuwa ni ibada za Kishikina.
Na zile za Kuchinja wanyama wa Kafara kwa ndugu zao wa Kijini.
Jiwe lenyewe wanaloliabudu limebaki kokoto , Kuna jamaa alilichukua akaliweka chooni likawa la kuchambia na kusugulia miguu ,huyu jamaa alimchalenge Allah akamwambia kama yeye anaweza aje alichukue jiwe ,Allah akashundwa kwa miaka zaidi ya ishirini , muhammad akatafuta pesa akanenda kulinunua ila lilibaki vikokoni kama name tu , ndio vipo pale wanasujudu kwa kokoto
 
Hakuna mjadala usio zingatia usahihi wa lugha. Inabidi mjifunze adabu za mijadala kwanza.

Kingine ni kuwa kazi yangu nimemaliza.
Jikite kwenye mada Kuna watu kiswahili sio lugha Yao ya kwanza kama Mimi ,unachotakoa angalia maana

Kuna swali la kuabudu jiwe , kwa nini mnaabudu jiwe?
 
Back
Top Bottom