Mutah boy, unaposema Islam is growing unapinga Muhammad peupe kabisa , kama unataka debate heshimu mtume wake ili tuweze ku debate kama unaanzisha Uislamu wako weka wazi[emoji851][emoji851][emoji851]Eti Nitoe Biblia Original So Umekubali Ipo Fake Na Original [emoji2957][emoji2957]
Usishindane Na Qur'an Kitabu Chenye Historia Moja Iliyonyoooka Hakina Shaka Wala Marekebisho ndani yake..
[emoji23][emoji1787]Ni Upumbavu Nimeandika We So Unapingana Na Hao Watu Hapo au Hayo Unataka Kusema Nimeyatunga Au Wewe Unaijua Biblia Kuwazidi Hao Wanachuoni Wenu..?
Naona Mpotevu Unazidi Kupotea..
Original ya Biblia Itoke Wapi Wakati Waandishi Wenyewe Hawajui Walichoandika Ndio Maana Wamepingana Wao Kwa wao Katika Maandishi..
Yapo Mengi Ila Nikupe Mfano Mmoja Tu Embu Niambie Andiko Original Ni lipi Hapa..[emoji116]
YESU Anasema Yohana 5:37
Naye Baba aliyenipeleka amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wowote, wala sura yake hamkuiona..
Matayo Yeye Anasema. Mathayo 3:17
Na tazama, Sauti kutoka mbinguni ikisema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye..
Sauti Gani yamungu iliyosikika kutoka kwenye Mawingu Na nisauti Gani Ya Mungu yesu Anasema. Hakuna Mtu Aliye isikia.?? Inamaana Kuna Andiko moja hapa Ni Fake Lakini yote yapo katika Biblia Embu Tuchambulie Fake Ni Lipi..[emoji15]. Maana Mimi Mswahili Najua Samaki Mmoja akioza Wote Wanaoza[emoji851]
Wakorintho 15:18
Hivyo basi, wooote waliolala katika Kristo wamepoteaa.
Upumbavu Umeandikwa Huku.[emoji2957][emoji116]
Kor 1:25
Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu..
Hapa Umeingia Choo Cha Kike Ruksa Kukimbia [emoji2957][emoji12][emoji2957][emoji12][emoji2957][emoji12][emoji23][emoji23]
KARIBU KATIKA UISLAM DINI YA MWENYEZI MUNGU MMOJA[emoji7][emoji2956][emoji116]View attachment 2118661
Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Muhammad kasema wazi Uislamu utakufa ,ulianza kama kituko na utarudi kuwa kituko
“Islam began as something strange and will go back to being strange, so glad tidings to the strangers.’”Sunan Ibn Majah 3986
He also reported Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159