Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Kuificha haki (maneno ya Allah) kuna maana mbili.

1. Kuificha kabisa isijulikane na watu.

2.Au kudhihirisha lafudhi na kibadilisha maana.

Hiki ndicho unachokifanya.

You are the REAL ENEMY OF ISLAM.
Swali hili Hapa
Kwa nini Allah aruhusu kuchukua mwanamke siku tatu na umlipe?

sio mimi nilieandika maneno ya Mutah mmeandika wenyewe , ungejifunza kujibu maandiko yako

Sahih Muslim 1405d
Hapa wanasema walikuwa wanalipa mpaka unga wa ugali kwa mwanamke
We contracted temporary marriage giving a handful of (tales or flour as a dower during the lifetime of Allah's Messenger (ﷺ) and durnig the time of Abu Bakr until 'Umar forbade it in the case of 'Amr b. Huraith.
 
Hivi unajua kumuamsha mtu anayejifanya amelala ni kazi sana? unaweza ukadhani amekufa.
 
Hivi unajua kumuamsha mtu anayejifanya amelala ni kazi sana? unaweza ukadhani amekufa.
Swali rahisi unazungazunguka , mutah ilikuja kukatazwa na Umar
Ila nataka kujua
Kwa nini Allah aruhusu kuchukua mwanamke siku tatu na umlipe?
 
Alafu unajifanya muislamu , shame on you
Ajabu hii! kafiri anamtoa muislamu kwenye uislamu.

Mimi nawajua akina Umar wengi tu, sasa nimekuuliza huyo uliyemtaja hapo ndie nani, maana Umar wapo wengi.

Labda namjua lakini niatajuaje kama ninayemjua ndie uliyemkusudia.
 
Ajabu hii! kafiri anamtoa muislamu kwenye uislamu.

Mimi nawajua akina Umar wengi tu, sasa nimekuuliza huyo uliyemtaja hapo ndie nani, maana Umar wapo wengi.

Labda namjua lakini niatajuaje kama ninayemjua ndie uliyemkusudia.
Acha kujifanya muislamu, hakuna muislamu anauliza Umar ni nani?
Leo waislamu wanawake wanavaa hijabu sababu ya Umar , Leo waislamu wanaswali kuelekea jiwe sababu ya Umar

Kaa pembeni mamluki
 
Hii comment yako iishi milele
 
Hii comment yako iishi milele
 
Acha kujifanya muislamu, hakuna muislamu anauliza Umar ni nani?
Leo waislamu wanawake wanavaa hijabu sababu ya Umar , Leo waislamu wanaswali kuelekea jiwe sababu ya Umar

Kaa pembeni mamluki
Sasa mimi kumjua au kotomjua kuna kuzuia nini kujibu swali langu?

Na wala sijasema namjua au simjui.

Mbona swali langu lipo wazi huyo Umar ndio nani?

Au hata wewe unamtaja halafu humjui, basi wewe ndio mamluki.
 
Sasa mimi kumjua au kotomjua kuna kuzuia nini kujibu swali langu?

Na wala sijasema namjua au simjui.

Mbona swali langu lipo wazi huyo Umar ndio nani?

Au hata wewe unamtaja halafu humjui, basi wewe ndio mamluki.
Huwezi kuwa muislamu na humfahamu Umar
Hilo tumemaliza
 
Huwezi kuwa muislamu na humfahamu Umar
Hilo tumemaliza
Wapi nimesama simfahamu Umar?

Nimekuuliza huyo Umar uliyemtaja ndie nani?

Mokiti mbona mgumu kuelewa.

Na ninachoona ni wewe ndiye humjui huyo Umar, umemtaja halafu hata huwezi kumtambulisha.

Sasa tutamjadili vipi mtu ambaye hata wewe humjui?

Na kama hoja yako ni kwamba Kila muislamu anamjua huyo Umar, basi katika uislamu hakuna Umar mmoja ambae waislamu tunafahamu.

Hivyo swali langu linabaki palepale.
 
Kijana sikia....Nikah Mut'ah ipo mpaka muda huu naandika huu ujumbe kwako. Umesoma wapi wewe, waarab na waislam bado wanatumia kisingizio hiki cha kuoa kwa muda ili upige mti mwanamke na kumwacha baada ya nyege kwisha. Na hii Mut'ah ipo kwa ajili ya wanaume wanaosafiri mbali na wake zao, huko alipo akishikwa na nyege anaoa changu kisha anamwacha akishamaliza nyege zake. Tatizo lenu nyie mnakariri tu vitu bila hata kujuwa mnakariri nini. Bisha tena nikupe somo.
 
Lete uthibitisho? sio maneno tupu.
 
Unaandika kitu usichokijua kwenye ukristo talaka ruksa kama mmoja wenu amezini na ikathibitika hivyo
Na kama pia anaugonjwa wa Kifafa na hakukwambia ukaja jua baadae ndo inaweza kuvunjwa ila kama alikwambia na ukaridhika basi ndoa inaendelea
 
hua sina muda wa kupngea na wajinga kama wewe
 
This is not a covenant but a gentleman agreement. Marriage is a sacrosanct institution
 
Wakristu wanaenda kinyume na matakwa ya Muumba. Kwanza wanawake ni wengi kuliko wanaume, ukioa mke mmoja wanaobaki wataolewa na nani? Hongera Waislamu, big up! Na wakatoliki nani aliwaambia watawa wasioe au kuolewa? Ninazidi kuamini kuwa dini ni dili la wajanja wachache walioiteka Dunia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…