Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Uislam huu ambao mwanamke ni takataka? Wacheni upuuzi wenu hapa.......we umeona wapi mtu anaoa akiwa na nyege tu, zikimtoka anatoa talaka kwenda kujichukulia mwingine amchafue mavuzi.

Acheni kudanganywa kwenye majukwaa na WAJINGA ambao wanawapa tafsiri ya Quran wanayotaka kuisikia
Umeandika habari feki wala haipo kwenye Quran, ila ni hadithi na hiyo hadhi ukisoma mbele kidogo tu ilikanusha hiyo habari ya ndoa za muda ila watu hukopy huo mstari wa kwanza na kudanganya watu

Endelea kidogo kusoma hiyo hadithi ulipo pata huo ujumbe utakuta hivi.....
Abu `Abdullah (Al-Bukhari) said: `Ali made it clear that the Prophet said, "The Mut'a marriage has been cancelled (made unlawful).
 
Shida yenu yenu mnasoma nusunusu ili kupata ujumbe mliokusudia
Endelea kusoma hiyo hadithi.....
Abu `Abdullah (Al-Bukhari) said: `Ali made it clear that the Prophet said, "The Mut'a marriage has been cancelled (made unlawful).
Hakuna mtu anasoma nusu nusu wewe mwanzo ulibisha mutah , nimeweka ushahid unakuja na story zingine, alie ruhusu mutah ni Allah na kwenye koran hakuna verse ya kukataza
Muhammad's said, "If a man and a woman agree (to marry temporarily), their marriage should last for three nights, and if they like to continue, they can do so; Sahih al-Bukhari 5119
 
kwa hiyo idara ya Quran nipo vizuri na ndio sababu nina confident kuchangia
Mimi nahitaji watu wanachangie kwa hoja (genuine references) na sio kukusanya kusanya vihadithi ili waseme wamepata tafsiri wanayotaka kuisikia
Ni nisawa na Bible ilivyo andika USILE NGURUWE; anakuja mtu na hoja dhaifu kuwa Mathayo 15;11 imesema kuwa Kiingiacho ni halali ila kitokacho ndio najisi; Shame!!!
Sio sawa mfano uliotoa, nimeweka verse ile ile moja ,
Wewe gusa link itakupeleka utasoma, ukisha soma rudi utoe mawazo yako kulingana na ushahid wa waislamu wajuzi kuliko wewe

fuata link ,
 
Shida yenu yenu mnasoma nusunusu ili kupata ujumbe mliokusudia
Endelea kusoma hiyo hadithi.....
Abu `Abdullah (Al-Bukhari) said: `Ali made it clear that the Prophet said, "The Mut'a marriage has been cancelled (made unlawful).
Muhammad alikuwa anazuia ,anaruhusu anazuia , ila mpaka kafa ruhusa ilikuwepo na kipindi mpaka cha umar walikuwa wanachukua mwanamke kwa ndoa ya siku tatu
....Yes, we had been benefiting ourselves by this temporary marriage during the lifetime of the Prophet (ﷺ) and during the time of Abu Bakr and 'Umar. Sahih Muslim 1405c
 
kwa hiyo idara ya Quran nipo vizuri na ndio sababu nina confident kuchangia
Mimi nahitaji watu wanachangie kwa hoja (genuine references) na sio kukusanya kusanya vihadithi ili waseme wamepata tafsiri wanayotaka kuisikia
Ni nisawa na Bible ilivyo andika USILE NGURUWE; anakuja mtu na hoja dhaifu kuwa Mathayo 15;11 imesema kuwa Kiingiacho ni halali ila kitokacho ndio najisi; Shame!!!
Ingia hapa pia utakuta maneno Jalal - Al-Jalalayn "Such wives as you enjoy thereby, and have had sexual intercourse with, give them their wages"
uki enjoy sex unalipia?

walikuwa wanalipia kwa kutoa unga na vitu vingine
We contracted temporary marriage giving a handful of (tales or flour as a dower during the lifetime of Allah's Messenger..... Sahih Muslim 1405d
 
Ingia hapa pia utakuta maneno Jalal - Al-Jalalayn "Such wives as you enjoy thereby, and have had sexual intercourse with, give them their wages"
uki enjoy sex unalipia?

walikuwa wanalipia kwa kutoa unga na vitu vingine
We contracted temporary marriage giving a handful of (tales or flour as a dower during the lifetime of Allah's Messenger..... Sahih Muslim 1405d
Naomba unielewe hivi, hicho kitu kilikuwepo (kwenye hadithi) lakini kilifutwa wazi wazi na sio kwa kuunga unga.
Endelea kusoma hiyo hadithi verse chache mbele usichukulie tu huo mstari unaokupendeza
Abu `Abdullah (Al-Bukhari) said: `Ali made it clear that the Prophet said, "The Mut'a marriage has been cancelled (made unlawful).
 
Naomba unielewe hivi, hicho kitu kilikuwepo (kwenye hadithi) lakini kilifutwa wazi wazi na sio kwa kuunga unga.
Endelea kusoma hiyo hadithi verse chache mbele usichukulie tu huo mstari unaokupendeza
Abu `Abdullah (Al-Bukhari) said: `Ali made it clear that the Prophet said, "The Mut'a marriage has been cancelled (made unlawful).
Naona umeishiwa hoja sasa unaleta ubishi , muhammad alikuwa anaruhusu na kukataza mwisho anakufa kina umar bado walikuwa wanapiga Mutah
....Yes, we had been benefiting ourselves by this temporary marriage during the lifetime of the Prophet (ﷺ) and during the time of Abu Bakr and 'Umar. Sahih Muslim 1405c

Nataka nijue kwanza kwa nini unapinga mutah kwa nguvu sana , unaionaje?
 
Naona umeishiwa hoja sasa unaleta ubishi , muhammad alikuwa anaruhusu na kukataza mwisho anakufa kina umar bado walikuwa wanapiga Mutah
....Yes, we had been benefiting ourselves by this temporary marriage during the lifetime of the Prophet (ﷺ) and during the time of Abu Bakr and 'Umar. Sahih Muslim 1405c

Nataka nijue kwanza kwa nini unapinga mutah kwa nguvu sana , unaionaje?
napinga kwa sababu
Abu `Abdullah (Al-Bukhari) said: `Ali made it clear that the Prophet said, "The Mut'a marriage has been cancelled (made unlawful).
 
napinga kwa sababu
Abu `Abdullah (Al-Bukhari) said: `Ali made it clear that the Prophet said, "The Mut'a marriage has been cancelled (made unlawful).
Sababu za wewe kuichukia mutah ni nini? embu to ata moja
Nimekwambia muhammad alikuwa anazuia na kuruhusu, amekufa alikuwa hajazuia ilikuwa inaendelea
alafu Koran 4:24 bado ipo na hakuna aya ya kuipinga,

Ushahidi huu hapa walikuwa wanaendelea na mutah baada ya kifo cha muhammad
....Yes, we had been benefiting ourselves by this temporary marriage during the lifetime of the Prophet (ﷺ) and during the time of Abu Bakr and 'Umar. Sahih Muslim 1405c

Koran 4:24 Jalal - Al-Jalalayn
.... Such wives as you enjoy thereby, and have had sexual intercourse with, give them their wages, the dowries that you have assigned them, as an obligation; you are not at fault in agreeing together, you and they, after the obligation, is waived, decreased or increased. ....
 
Sababu za wewe kuichukia mutah ni nini? embu to ata moja
Nimekwambia muhammad alikuwa anazuia na kuruhusu, amekufa alikuwa hajazuia ilikuwa inaendelea
alafu Koran 4:24 bado ipo na hakuna aya ya kuipinga,

Ushahidi huu hapa walikuwa wanaendelea na mutah baada ya kifo cha muhammad
....Yes, we had been benefiting ourselves by this temporary marriage during the lifetime of the Prophet (ﷺ) and during the time of Abu Bakr and 'Umar. Sahih Muslim 1405c

Koran 4:24 Jalal - Al-Jalalayn
.... Such wives as you enjoy thereby, and have had sexual intercourse with, give them their wages, the dowries that you have assigned them, as an obligation; you are not at fault in agreeing together, you and they, after the obligation, is waived, decreased or increased. ....
mimi nachukia kitu kilichokatazwa; Nilazima nijitofautishe na wale wanao lazimisha tafsiri za kujihalalishia yaliyokatazwa.
Kama wale wala Nguruwe nk
Sitaki kuwa kwenye lile kundi la " WATU WANGU WATA ANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA"
Abu `Abdullah (Al-Bukhari) said: `Ali made it clear that the Prophet said, "The Mut'a marriage has been cancelled (made unlawful).
 
Sio kweli mkuu
MWANAMKE katika UISLAM amepewa DALAJA la KWANZA kwa kila kitu au wazungu wao wanasema LADIES FIRST
mwanamke katika UISLAM amenyimwa UONGOZI tu

mfn:-
Mwanamke katika UISLAM ndie anataja mahari na ni yake hiyo MAHARI

Mwanamke wakati wa NDOA ndio anaazwa kuulizwa kama amekubari kuolewa na akikataa hakuna NDOA
mfn ataulizwa kwann umekataa usiolewe akasema mimi sijapewa mahari yangu basi hapo ndoa haifungwi mpk baba alokula maharai ya bint yake ampe ndo NDOA ifungwe

Mwanamke wa kiislam katika NDOA kazi yake ni mbili kujiremba kwa ajili ya mumewe na kumtanulia miguu aingie kati
na hata akikuzalia mtoto kumlea na kumnyonyesha ilipaswa umlipe hayo mambo ya kupika na kufua kama huwezi inapaswa wewe umtafutie mjakazi

mwanamke katika NDOA ya uislam kupika sio kazi yake wala kukufulia
ndio mana inasemwa kilaanapompikia mumeo na kumfulia unapata thawabu mara 100 zaid

Nimekueleza hayo machache tu
lkn yapo kedekede yanayomfanya MKE katika uislam aishi kama mfalme
na MWANAMKE katika uislam thamani yake iwe juu kam lulu

na ndio maana wakaambiwa wataingia mlango wa PEPO waitakayo
katika UISLAM pepo zina madaraja kwa ubora wake kama unavyoona hotel nyota 3 nyota 4 nyota 5 basi pepo nazi zipo hivyohvyo
sawa wanawake wa kiislam waliolewa wameahidiwa wataingia katika pepo wazitakazo wenyewe watakavyopenda
ikiwa watafanya mambao haya matatu
1. akamtii MUMEWE
2.Akaswali sala 5
3.akafunga ramadhani
basi wataingia katika pepo yoyote ile waitakayo

Ukiona MWANAMKE wa KIISLAM ananyanyasika basi ameyataka mwenyewe
kwa upumbavu wake na kuivunja NDOA yake mwenyewe
UNA AKILI SANA
 
mimi nachukia kitu kilichokatazwa; Nilazima nijitofautishe na wale wanao lazimisha tafsiri za kujihalalishia yaliyokatazwa.
Kama wale wala Nguruwe nk
Sitaki kuwa kwenye lile kundi la " WATU WANGU WATA ANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA"
Abu `Abdullah (Al-Bukhari) said: `Ali made it clear that the Prophet said, "The Mut'a marriage has been cancelled (made unlawful).
Unafikiri kwa nini ilikatazwa?

Kwa nini Umar bado alikuwa anaiendeleza?
....Yes, we had been benefiting ourselves by this temporary marriage during the lifetime of the Prophet (ﷺ) and during the time of Abu Bakr and 'Umar. Sahih Muslim 1405c
 
Unafikiri kwa nini ilikatazwa?

Kwa nini Umar bado alikuwa anaiendeleza?
....Yes, we had been benefiting ourselves by this temporary marriage during the lifetime of the Prophet (ﷺ) and during the time of Abu Bakr and 'Umar. Sahih Muslim 1405c

I am not interested to go ahead with this discussion, Sorry!!!
 
Umekuta mutah ni fedhea tupu, Mungu wa kweli hawezi ruhusu jambo kama hilo

tumemaliza
kwa sababu hutaki kuamini kuwa ilibatilishwa, endelea na majibu unayojiaminisha kuwa ndio sahihi
Wanasema sikuzote ukibishana mambo ya msingi na mtu mwenye majibu yake kichwani ni kujipotezea muda
Wewe endelea tu kuamini kuwa Yesu ni mwana wa Mungu na ni Mungu; utakuja kujua mbivu na Mbichi Yesu atakapo kuruka kuwa hayo hayakuwa mafundisho yake!!!
 
kwa sababu hutaki kuamini kuwa ilibatilishwa, endelea na majibu unayojiaminisha kuwa ndio sahihi
Wanasema sikuzote ukibishana mambo ya msingi na mtu mwenye majibu yake kichwani ni kujipotezea muda
Wewe endelea tu kuamini kuwa Yesu ni mwana wa Mungu na ni Mungu; utakuja kujua mbivu na Mbichi Yesu atakapo kuruka kuwa hayo hayakuwa mafundisho yake!!!
Nilikwambia Muhammad amekufa mutah ilikuwa inaendelea
soma hadith hii
....Yes, we had been benefiting ourselves by this temporary marriage during the lifetime of the Prophet (ﷺ) and during the time of Abu Bakr and 'Umar. Sahih Muslim 1405c

Mutah ni fedhea kubwa sana kuusisha jambo kama hilo na Mungu, Mungu wa kweli hawezi kuruhusu kuchukua mwanamke kwa siku tatu ufanye sex na ulipie ni jambo la fedhea kubwa sana,

Tunaambia ata kumtazama mwanamke kwa kumtamani ni uzinzi wa moyoni
Biblia inasema Mathayo 5:27 BHN “Mmesikia kwamba watu waliambiwa: ‘Usizini!’ 28Lakini mimi nawaambieni, atakayemtazama mwanamke kwa kumtamani, amekwisha zini naye moyoni mwake.
 
Naomba unielewe hivi, hicho kitu kilikuwepo (kwenye hadithi) lakini kilifutwa wazi wazi na sio kwa kuunga unga.
Endelea kusoma hiyo hadithi verse chache mbele usichukulie tu huo mstari unaokupendeza
Abu `Abdullah (Al-Bukhari) said: `Ali made it clear that the Prophet said, "The Mut'a marriage has been cancelled (made unlawful).
Huyu jamaa nadhani ni katika wale wanaoitwa "mustashriqiin" wanaousoma uislamu kwa ajili ya kuupiga vita.

Sasa kwa kuwa hakuna cha kutumia katika mafundisho ya uislamu ili kuupiga vita, basi wanaamua kutumia uongo ili kupotosha.

Hiyo hadhithi anayoitumia.
1.Ameisoma nusu, maana mwishoni inamuumbua.
2. Hiyo hadhithi ipo katika mlango wa (uharamu wa ndoa ya mutaa') katika sahihi Al-Bukhari.

Lakini yeye anaitumia hadhithi hiyohiyo kueneza baatwil zake.

Sasa mtu kama huyu ni hatari sana kwa mjinga.

Na huyu jamaa namfananisha na kiazi mwingine alikuwa akijiita Citizen B
 
Huyu jamaa nadhani ni katika wale wanaoitwa "mustashriqiin" wanaousoma uislamu kwa ajili ya kuupiga vita.

Sasa kwa kuwa hakuna cha kutumia katika mafundisho ya uislamu ili kuupiga vita, basi wanaamua kutumia uongo ili kupotosha.

Hiyo hadhithi anayoitumia.
1.Ameisoma nusu, maana mwishoni inamuumbua.
2. Hiyo hadhithi ipo katika mlango wa (uharamu wa ndoa ya mutaa') katika sahihi Al-Bukhari.

Lakini yeye anaitumia hadhithi hiyohiyo kueneza baatwil zake.

Sasa mtu kama huyu ni hatari sana kwa mjinga.

Na huyu jamaa namfananisha na kiazi mwingine alikuwa akijiita Citizen B
Kwa nini Allah aruhusu kuchukua mwanamke siku tatu na umlipe?
 
Kwa nini Allah aruhusu kuchukua mwanamke siku tatu na umlipe?
Kuificha haki (maneno ya Allah) kuna maana mbili.

1. Kuificha kabisa isijulikane na watu.

2.Au kudhihirisha maneno na kibadilisha maana.

Hiki ndicho unachokifanya.

You are the REAL ENEMY OF ISLAM.
 
Back
Top Bottom