Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

spensa_e na genge lako hamwezi kuja kulalamika kuwa mlikuwa makafiri kwasababu ilishapangwa muwe makafiri. Elimu ya ghaibu imefichwa hakuna mwanadamu anaeijua hata mimi sijui mwisho wangu. Mungu ametupa uchaguzi wa kuamini au kutokuamini ,kutenda mema ama kutenda mabaya ila mwisho wa siku atatulipa kwa yale yote tuliyoyatenda

Quran43:
"
Nao (Makafiri) husema: Angeli penda Mwingi wa Rehema tusingeli waabudu sisi. Hawana ujuzi wowote wa hayo! Hawana ila kusema uwongo tu!
21. Kwani tuliwapa Kitabu kabla ya hichi, na ikawa wao wanakishikilia hicho?
22. Bali wanasema: Hakika sisi tuliwakuta baba zetu wanashika dini makhsusi, basi na sisi tunaongoza nyayo zao.
23. Na kadhaalika hatukumtuma mwonyaji kwenye mji wowote ila watu wake walio deka kwa starehe walisema: Hakika sisi tuliwakuta baba zetu wanashika dini makhsusi, na sisi tunafuata nyayo zao.
24. Akasema (Mwonyaji): Hata nikikuleteeni yenye uwongofu bora kuliko mlio wakuta nao baba zenu? Wakasema: Sisi tunayakataa tu hayo mliyo tumwa.
25. Basi tukawalipizia. Angalia ulikuwaje mwisho wa walio kadhibisha!"
 
Hawezi kuwa Mungu ikiwa hajui mambo yatakayotokea mbeleni, Ameziumba nafsi na nafsi zote zilikiri kuwa ALLAH ndie mola wetu.


Quran 7:172.

Na pale Mola wako Mlezi alipo waleta katika wanaadamu kutoka migongoni mwao kizazi chao, na akawashuhudisha juu ya nafsi zao, akawaambia: Je, Mimi si Mola Mlezi wenu? Wakasema: Kwani! Tumeshuhudia. Msije mkasema Siku ya Kiyama sisi tulikuwa tumeghafilika na hayo.
173. Au mkasema: Hakika baba zetu ndio walio shirikisha kabla yetu, na sisi ni dhuriya zao tu baada yao. Basi utatuangamiza kwa sababu ya waliyo yafanya wapotovu?
174. Ndio kama hivyo tunavyo zipambanua Ishara, kwa kutaraji kuwa watarejea.


spensa_e na wenzako hoja pekee mtakayokuja nayo siku ya Qiyama ni hiyo aya nambari 173...kuwa mlizaliwa na wazazi makafiri na ninyi mkarithi ukafiri wao uliowapelekea kwenda Motoni.

Hamtakuwa na hoja kwasababu Mtume Muhammad aliwajia kwa hoja za wazi kabisa na mnefikishiwa ujumbe ila kwa ujeuri na kiburi mmemkataa tu.So hoja ya kusingizia Qadar ya ALLAH ni hoja dhaifu tu mithili ya nyumba ya buibui
Unapo Pinga maandiko Yako ndio tunapopishana
Nimekupa mfano wa mtoto ambae alikuwa kazilaliwa na wazazi waumini lakini Allah alikuwa kashampangia anakuwa kafir , Muhammad kaelezea hicho kisa kasema Allah Alisha muwekea destiny kwamba atakuwa kafir ndio maana wakamchinja

Allah kampangia na akachinjwa kwa sababu Allah kampangia atakuwa kafir

  • Koran 18:80. Na ama yule kijana, wazazi wake walikuwa ni Waumini. Tukakhofu asije watia mashakani kwa uasi na ukafiri.
    • Prophet (ﷺ) said: "The boy that Al-Khidr killed was destined to be a disbeliever the day he was created.'" Jami` at-Tirmidhi 3150
Pangua kwanza hii hoja ya huyu mtoto alafu tuendelee
 
spensa_e na genge lako hamwezi kuja kulalamika kuwa mlikuwa makafiri kwasababu ilishapangwa muwe makafiri. Elimu ya ghaibu imefichwa hakuna mwanadamu anaeijua hata mimi sijui mwisho wangu. Mungu ametupa uchaguzi wa kuamini au kutokuamini ,kutenda mema ama kutenda mabaya ila mwisho wa siku atatulipa kwa yale yote tuliyoyatenda

Quran43:
"
Nao (Makafiri) husema: Angeli penda Mwingi wa Rehema tusingeli waabudu sisi. Hawana ujuzi wowote wa hayo! Hawana ila kusema uwongo tu!
21. Kwani tuliwapa Kitabu kabla ya hichi, na ikawa wao wanakishikilia hicho?
22. Bali wanasema: Hakika sisi tuliwakuta baba zetu wanashika dini makhsusi, basi na sisi tunaongoza nyayo zao.
23. Na kadhaalika hatukumtuma mwonyaji kwenye mji wowote ila watu wake walio deka kwa starehe walisema: Hakika sisi tuliwakuta baba zetu wanashika dini makhsusi, na sisi tunafuata nyayo zao.
24. Akasema (Mwonyaji): Hata nikikuleteeni yenye uwongofu bora kuliko mlio wakuta nao baba zenu? Wakasema: Sisi tunayakataa tu hayo mliyo tumwa.
25. Basi tukawalipizia. Angalia ulikuwaje mwisho wa walio kadhibisha!"
Mtoto mchanga hajui ata kuongea Allah atamchoma kwa sababu kasha mpangia kabla hajazaliwa

Kuna msiba ulitokea wa mtoto mchanga kafariki aisha akamwambia muhammad huyu mtoto anaenda mbinguni, Muhammad akasema Si hivyo , Allah ameumba wa motoni na wa janah kabla hawajazaliwa
....Muhammad says ..God has created some to go to paradise, doing so when they were still in their fathers’ loins; and He has created others for hell, doing so when they were still in their fathers’ loins.” Mishkat al-Masabih 84
 
Mtoto mchanga hajui ata kuongea Allah atamchoma kwa sababu kasha mpangia kabla hajazaliwa

Kuna msiba ulitokea wa mtoto mchanga kafariki aisha akamwambia muhammad huyu mtoto anaenda mbinguni, Muhammad akasema Si hivyo , Allah ameumba wa motoni na wa janah kabla hawajazaliwa
....Muhammad says ..God has created some to go to paradise, doing so when they were still in their fathers’ loins; and He has created others for hell, doing so when they were still in their fathers’ loins.” Mishkat al-Masabih 84
Nani kakwambia kuwa watoto wachanga wanaenda motoni? Leta ushahidi wa Quran au hadith sahih
 
Nani kakwambia kuwa watoto wachanga wanaenda motoni? Leta ushahidi wa Quran au hadith sahih
Sahih Hadith nimekuwekea za kutosha soma hii hapa muhammad kasema wazi kabisa

A’isha said:
Muhammad was invited to the funeral of a boy who belonged to the Ansar and I said, “Messenger of God, this one is blessed; he is one of the young ones1 in paradise, for he has done no evil, being too young for that.” He replied, “It may be otherwise, ‘A’isha, for God has created some to go to paradise, doing so when they were still in their fathers’ loins; and He has created others for hell, doing so when they were still in their fathers’ loins.” Mishkat al-Masabih 84
 
Unapo Pinga maandiko Yako ndio tunapopishana
Nimekupa mfano wa mtoto ambae alikuwa kazilaliwa na wazazi waumini lakini Allah alikuwa kashampangia anakuwa kafir , Muhammad kaelezea hicho kisa kasema Allah Alisha muwekea destiny kwamba atakuwa kafir ndio maana wakamchinja

Allah kampangia na akachinjwa kwa sababu Allah kampangia atakuwa kafir

  • Koran 18:80. Na ama yule kijana, wazazi wake walikuwa ni Waumini. Tukakhofu asije watia mashakani kwa uasi na ukafiri.
    • Prophet (ﷺ) said: "The boy that Al-Khidr killed was destined to be a disbeliever the day he was created.'" Jami` at-Tirmidhi 3150
Pangua kwanza hii hoja ya huyu mtoto alafu tuendelee
Suala la al khidr kumuua huyo mvulana si la amri yake soma Quran 18:82 ilikuwaje.

Pia ni exception kwake kutokana na alijulishwa na ALLAH kupitia ilmu yake ya ghaibu kujua mwisho wa kila nafsi ni upi.

Na pia hakuna ushahidi kusema kuwa huyo mvulana hakufikia umri wa baleghe wakati anauliwa!!

ALLAH anamuumba kila mwanadamu akiwa katika fitrah ( hali ya kuwa ni muislam) ila wazazi na shetani ndio huchangia kumbadilisha mtu na kuwa kafiri.

So ALLAH alitaka kumuonesha Musa kuwa kuna waja wake aliowapa elimu zaidi ya Musa nae ni al khidr alikuwa akipewa taarifa juu ya mambo ya baadae na jinsi gani ya kufanya kuzuia mwisho mbaya wa jambo fulani.
 
Suala la al khidr kumuua huyo mvulana si la amri yake soma Quran 18:82 ilikuwaje.

Pia ni exception kwake kutokana na alijulishwa na ALLAH kupitia ilmu yake ya ghaibu kujua mwisho wa kila nafsi ni upi.

Na pia hakuna ushahidi kusema kuwa huyo mvulana hakufikia umri wa baleghe wakati anauliwa!!

ALLAH anamuumba kila mwanadamu akiwa katika fitrah ( hali ya kuwa ni muislam) ila wazazi na shetani ndio huchangia kumbadilisha mtu na kuwa kafiri.

So ALLAH alitaka kumuonesha Musa kuwa kuna waja wake aliowapa elimu zaidi ya Musa nae ni al khidr alikuwa akipewa taarifa juu ya mambo ya baadae na jinsi gani ya kufanya kuzuia mwisho mbaya wa jambo fulani.
Unajua maana. Ya neno destined Yani kupangia utakuwaje mbeleni na sio kujua yajayo , Allah alimpangia huyu mtoto atakuwa kafir na wala sio kuona mbele ni mpango wa Allah mtoto awe hivyo
Na akaamrishwa achinjwe maana Alisha mpangia atakuwa kafir

Koran 18:80. Na ama yule kijana, wazazi wake walikuwa ni Waumini. Tukakhofu asije watia mashakani kwa uasi na ukafiri.

Muhammad said: "The boy that Al-Khidr killed was destined to be a disbeliever the day he was created.'" Jami` at-Tirmidhi 3150

Soma maelezo ya Muhammad kwenye Hadith hiyo hapo juu
Ameweka wazi kabisa huyo mvulani alipangiwa kuwa kafir toka siku ameumbwa
 
Sahih Hadith nimekuwekea za kutosha soma hii hapa muhammad kasema wazi kabisa

A’isha said:
Muhammad was invited to the funeral of a boy who belonged to the Ansar and I said, “Messenger of God, this one is blessed; he is one of the young ones1 in paradise, for he has done no evil, being too young for that.” He replied, “It may be otherwise, ‘A’isha, for God has created some to go to paradise, doing so when they were still in their fathers’ loins; and He has created others for hell, doing so when they were still in their fathers’ loins.” Mishkat al-Masabih 84
Suala la hukumu ya nani anaenda peponi na nani anaenda motoni lipo katika Milki ya ALLAH. Yeye ndie anaejua hao watoto wadogo wanaokufa endapo wangekuwa hai nini wangelitenda.

the Prophet (peace and blessings of Allaah be upon him) was asked about the children of the mushrikeen, and he said, “Allaah knows best what they would have done.”

Narrated by al-Bukhaari, 1383, and Muslim, 2660.

Mtume katika safari yake ya Miraj wakati anapaishwa kwenda mbingu ya saba kukabidhiwa ibada ya swala aliwaona watoto wadogo waliokufa waliozaliwa na waislam na washirikina wakiwa pamoja na ibrahim mbinguni.

The hadeeth of Samurah (may Allaah be pleased with him), that the Prophet (peace and blessings of Allaah be upon him) saw the children of the Muslims and the children of the Mushrikeen with Ibraaheem (peace be upon him).

Narrated by al-Bukhaari, 6640.

Na mwisho wa siku watatahiniwa na ALLAH , wale watakaofaulu wataingia peponi na watakaofeli wataingia motoni na ALLAH ndie mjuzi zaidi
 
Suala la hukumu ya nani anaenda peponi na nani anaenda motoni lipo katika Milki ya ALLAH. Yeye ndie anaejua hao watoto wadogo wanaokufa endapo wangekuwa hai nini wangelitenda.

the Prophet (peace and blessings of Allaah be upon him) was asked about the children of the mushrikeen, and he said, “Allaah knows best what they would have done.”

Narrated by al-Bukhaari, 1383, and Muslim, 2660.

Mtume katika safari yake ya Miraj wakati anapaishwa kwenda mbingu ya saba kukabidhiwa ibada ya swala aliwaona watoto wadogo waliokufa waliozaliwa na waislam na washirikina wakiwa pamoja na ibrahim mbinguni.

The hadeeth of Samurah (may Allaah be pleased with him), that the Prophet (peace and blessings of Allaah be upon him) saw the children of the Muslims and the children of the Mushrikeen with Ibraaheem (peace be upon him).

Narrated by al-Bukhaari, 6640.

Na mwisho wa siku watatahiniwa na ALLAH , wale watakaofaulu wataingia peponi na watakaofeli wataingia motoni na ALLAH ndie mjuzi zaidi
Tumeshamaliza hilo
Allah anakupangia utakuwaje na atakuchoma kwa kuwa kama alivyokupa gia

Limeshaisha
 
Yes ALLAH ameziumba nafsi from the beggining anajua nafsi zipi zitakazomtii na zipi zitakazomuasi...na anajua kuwa mafikio ya nafsi zitakazomtii ni Peponi na zitakazomuasi ni Motoni.

Hii ni elimu mahususi ambayo anayo yeye kufahamu mambo yajayo na mpangilio wake.

Licha ya hayo hakuna kiumbe anaejua kuwa ameandikiwa peponi au motoni. Wote tunafanya jitihada kumtii ALLAH na kutenda mema ili mwisho wa siku atuingize peponi kwa rehma zake.

Wewe spensa_e nimekuuliza tu endapo ukifa kafiri ,je utakuja kumlaumu ALLAH kuwa hakukupa free will ili hali alishakubainishia mema na mabaya. Umeshausikia uislam na ukaukataa?

Nijibu hili kwanza
 
Suala la hukumu ya nani anaenda peponi na nani anaenda motoni lipo katika Milki ya ALLAH. Yeye ndie anaejua hao watoto wadogo wanaokufa endapo wangekuwa hai nini wangelitenda.

the Prophet (peace and blessings of Allaah be upon him) was asked about the children of the mushrikeen, and he said, “Allaah knows best what they would have done.”

Narrated by al-Bukhaari, 1383, and Muslim, 2660.

Mtume katika safari yake ya Miraj wakati anapaishwa kwenda mbingu ya saba kukabidhiwa ibada ya swala aliwaona watoto wadogo waliokufa waliozaliwa na waislam na washirikina wakiwa pamoja na ibrahim mbinguni.

The hadeeth of Samurah (may Allaah be pleased with him), that the Prophet (peace and blessings of Allaah be upon him) saw the children of the Muslims and the children of the Mushrikeen with Ibraaheem (peace be upon him).

Narrated by al-Bukhaari, 6640.

Na mwisho wa siku watatahiniwa na ALLAH , wale watakaofaulu wataingia peponi na watakaofeli wataingia motoni na ALLAH ndie mjuzi zaidi
Kuna kisa kingine Muhammad amehadithia
Adam na Musa walikuwa wanaongea ,Musa akamwambia Adam wewe ni baba yetu ila ulituingiza matatizoni , adamu akamjibu dhambi niliyofanya Allah alinipangia kabla hajaniumba , Muhammad akasema Adam akamshinda Musa
 
Yes ALLAH ameziumba nafsi from the beggining anajua nafsi zipi zitakazomtii na zipi zitakazomuasi...na anajua kuwa mafikio ya nafsi zitakazomtii ni Peponi na zitakazomuasi ni Motoni.

Hii ni elimu mahususi ambayo anayo yeye kufahamu mambo yajayo na mpangilio wake.

Licha ya hayo hakuna kiumbe anaejua kuwa ameandikiwa peponi au motoni. Wote tunafanya jitihada kumtii ALLAH na kutenda mema ili mwisho wa siku atuingize peponi kwa rehma zake.

Wewe spensa_e nimekuuliza tu endapo ukifa kafiri ,je utakuja kumlaumu ALLAH kuwa hakukupa free will ili hali alishakubainishia mema na mabaya. Umeshausikia uislam na ukaukataa?

Nijibu hili kwanza
Mimi kwa Imani yangu nina free will na Mungu nae muabudu atanihukumu kwa niliyotenda sio aliyonipangia nitatenda
 
MUTAH ni kuchukua mwanamke kwa siku kadhaa na umlipe kwa mapatano , inaweza kuwa siku tatu na mkitaka mnaweza ongeza , sio kwa shia tu ipo pia kwa sunn
Je kwa ujumla sheria ya kiislam inaruhusu hivyo?? Na sababu zipi zinapelekea kutokea kwa hivi

Nauliza nataka kujifunza ikiwezekana ifafanue

Shukran
 
Unaonaje? Na wanawake wangeruhusiwa kuolewa na wanaume wanne kama ilivyo kwa wanaume kuoa wanne naona hapa kama imeegemea upande mmoja mkuu.. maana kwa maisha ya sasa wanawake wana uwezo wa kufanya kazi na kupata pesa pia na wana uwezo wa kumudu wanaume wengi pia.. unalionaje? Hili mkuu na kama haiwezekani kwanini?
Kwanza ww ni ke au me ? Sorry
 
Kwani anafanya nao wote wanne kwa wakati mmoja si tofauti tofauti.. anaweza vizuri tu kumudu sikuiz wanadanga na kila baada ya masaa matatu analala na mwanaume hawezi shindwa kuwamudu MKUU
Maumbile ya ke automatically yanajieleza kuwa hayataki uchafu sasa ww unaongelea malaya, ameshaitwa MALAYA sasa unategemea nn
 
Nikuulize swali.Assume kwamba mtu ana wake wanne.Wakipata mimba baba atakuwa anajulikana.Mwanamke akiwa na wanaume wanne akipata mimba baba anakuwa nani katika hao wanne?
Usawa wa kijinsia sio kwenye kila jambo.
Utamaduni wa kiarabu?Wamasai,wakurya ,na makabila karibu yote ya kibantu wana asili ya kuoa wanawake zaidi ya mmoja.
Mpaka sasa pamoja na kuruhusu kuoa wengi hata 5% au chini ya hapo ndiyo wametekeleza hao chini ya 5% kati ya 100% ndio waislamu safi,marijali,wenye uwezo na wenye huruma kwa wanawake wasioolewa?Hekima haipo hapo ni ushabiki tu.
 
Bora unisaidie ww mimi ni mkatoriki sijawahi kusikia talaka katika dhehebu langu wakatoliki hatunaga talaka hata kama umeoa mke anamakosa na mapungufu ndio nitolee iyo ndio maana ndoa za kikatoriki zina masharti mengi sana
We unaangalia ukatoliki au BIBLIA?mna tatizo la kutosoma BIBLIA kwa hilo dhehebu.
 
Mpaka sasa hamjajibu kwa nini Allah aliruhusu umalaya, Yani unachukua mwanamke unakaa nae siku tatu unamuacha unachukua mwingine

Muhammad's said, "If a man and a woman agree (to marry temporarily), their marriage should last for three nights, and if they like to continue, they can do so; Sahih al-Bukhari 5119
Haha jamaa wanapenda ngono
 
Back
Top Bottom