King suleiman alifanya dhambi kuoa wake wengi na alikuja kujutaUsiangalie tu mtume Adam, tuangalie Mtume Suleiman aliowa wake wangapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
King suleiman alifanya dhambi kuoa wake wengi na alikuja kujutaUsiangalie tu mtume Adam, tuangalie Mtume Suleiman aliowa wake wangapi?
Turudi kwenye mada sasaHabari za majini ni habari za ulimwengu wa ghaibu (unseen) , ni ufunuo kutoka kwa Mungu pekee. Mwenyezi Mungu amewaelezea kupitia Quran na hadith vizuri sana.
Ngoja nikuulize Majini ni viumbe au sio viumbe?Sasa Waisraeli si Wangethibitsha kuwa Mitume wao akina Musa waliagizwa kuwahubiria Torati na Majini pia. ?
Wangeeleza kuwa÷
"Kijana wetu Musa Mungu wake alimwagiza aitangaze Dini yake na kwa Majini pia"
Au ilikuwa ni siri ya Musa tu basi.
Turudi kwenye madaNgoja nikuulize Majini ni viumbe au sio viumbe?
Sasa Waisraeli si Wangethibitsha kuwa Mitume wao akina Musa waliagizwa kuwahubiria Torati na Majini pia. ?
Wangeeleza kuwa÷
"Kijana wetu Musa Mungu wake alimwagiza aitangaze Dini yake na kwa Majini pia"
Au ilikuwa ni siri ya Musa tu
Huna hoja nimekuuliza Majini au Mapepo kama mnavyoyaita ni Viumbe ama sio viumbe nijibu hapo tu.?Turudi kwenye mada
- Muhammad anasema wanawake wataenda motoni kwa wingi sana , kwanza hawana heshima wana upungufu wa hekina na hawana akili mwisho akamalizia ushahid wa mwanaume mmoja ni sawa na wanawake wawili
- .... In spite of your lacking in wisdom and failing in religion, you are depriving the wisest of men of their intelligence." Upon this the woman asked: "What is the deficiency in our wisdom and in our religion?" Muhammad replied, "Your lack of wisdom can be well judged from the fact that the evidence of two women is equal to that one man. Riyad as-Salihin 1879
Tulisha maliza kuhusu majini , turudi kwenye mada na tusitoke tena kwenye mada naona tunapoteza mdHuna hoja nimekuuliza Majini au Mapepo kama mnavyoyaita ni Viumbe ama sio viumbe nijibu hapo tu.?
Mada haijaisha umenikuta najadiliana na mwenzako....nijibu tu Majini (mapepo kama mnavyowaita) ni viumbe ama sio viumbe?Tulisha maliza kuhusu majini , turudi kwenye mada na tusitoke tena kwenye mada naona tunapoteza md
- Muhammad anasema wanawake wataenda motoni kwa wingi sana , kwanza hawana heshima wana upungufu wa hekina na hawana akili mwisho akamalizia ushahid wa mwanaume mmoja ni sawa na wanawake wawili
- .... In spite of your lacking in wisdom and failing in religion, you are depriving the wisest of men of their intelligence." Upon this the woman asked: "What is the deficiency in our wisdom and in our religion?" Muhammad replied, "Your lack of wisdom can be well judged from the fact that the evidence of two women is equal to that one man. Riyad as-Salihin 1879
Kwanza nisaidie nani ni Mwislamu wa kwanza Kati ya Hawa au Quran ni migongano mwanzo mwisho tuQuran 42:13
Amekuamrisheni Dini ile ile aliyo muusia Nuhu na tuliyo kufunulia wewe, na tuliyo wausia Ibrahim na Musa na Isa, kwamba shikeni Dini wala msifarikiane kwayo. Ni magumu kwa washirikina hayo unayo waitia. Mwenyezi Mungu humteua kwake amtakaye, na humwongoa kwake aelekeaye.
Kwahiyo kama Ibirisi mahali fulani alizungumza na Mungu basi tumsifie kuwa ni mwema na ana Dini ?Ukisoma kitabu 2 Nyakati 18:18-22
18 Mikaya akasema, Sikieni basi neno la Bwana; Nalimwona Bwana ameketi katika kiti chake cha enzi na jeshi lote la mbinguni wamesimama mkono wake wa kuume na wa kushoto.
19 Bwana akasema, Ni nani atakayemdanganya Ahabu mfalme wa Israeli, ili akwee Ramoth-gileadi akaanguke? Basi huyu akasema hivi; na huyu hivi.
20 Akatoka pepo, akasimama mbele za Bwana, akasema, Mimi nitamdanganya. Bwana akamwambia, Jinsi gani?
21 Akasema, Nitaondoka, na kuwa pepo wa uongo vinywani mwa manabii wake wote. Akasema, Utamdanganya, na kudiriki pia; ondoka, ukafanye hivyo.
22 Basi sasa, angalia, Bwana ametia pepo wa uongo vinywani mwa manabii wako hawa; naye Bwana amenena mabaya juu yako.
JE WAKRISTO KUNA UHUSIANO GANI KATI YA MUNGU WENU NA MAPEPO??
MAANA HAPA TUNAONA MUNGU ANASHIRIKIANA NA HAYA HAYA MAPEPO MNAYOYAKATAA NA KUYABEZA!!!
Hilo andiko la 2 Nyakati 18:18-22 limekushika pabaya. Kwahiyo BABA ana jeshi la MAPEPO na anashirikiana nalo vizuri tu kutekeleza mambo yake ILA MWANA anapingana na hayo MAPEPO si ndio?Kwahiyo kama Ibirisi mahali fulani alizungumza na Mungu basi tumsifie kuwa ni mwema na ana Dini ?
Mbona hata kwenye Injiri tunasoma Yesu akiongea na Shetani wakati anamjaribu.
Wakati wa Ayubu nao Shetani aliruhusiwa na Mungu kumjaribu Ayubu na aliongea naye kama Yesu alivyoongea wakati wa kujaribiwa.
Lakini mwote humo hamuoneshi mahusiano mazuri kati ya hao Pepo na Mungu wala Mitume wake.
Yesu alipokutana na Mapepo ambayo yamewaingia watu aliyakemea kwa yamtoke mtu huyo,
na hakuyapa nafasi ya kutubu wala kuisikiliza Injiri yake kwakuwa hawapatani na Mungu wala Mitume wake wa kwenye Biblia hawakuagizwa chochote chema kwa Majini.
Nabii pekee aliyeonesha kupatana na Majini ni Muhammadi.
Tena hakuna mahali palipo andikwa Muhammadi akitumwa na Allah kwenda kuwafundisha Majini habari za Dini.
Hii ibaki tu kwa nyie Wislamu na Majini.
Kuamini kuwa Majini sasa yamepatana na Mungu wenu na yanaungana na Waislamu Watu katika kutekeleza maagizo yaliyo andikwa kwenye Qurani.
Sisi huku kamwe hatubatizi Majini wala kuyakaribisha kwenye ibada zetu.
Mungu wetu hajawahi kutuagiza hivyo wala Manabii na Mitume wake.
Yakimvaa muumini tumeagizwa yakemea kwanguvu zote iwe ndani ya ibada au nje ya ibada yamtoke mtu huyo. Ni agizo la milele.
Mathayo 10:8
Pozeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo; mmepata bure, toeni bure.
Kwa unyenyekevu kabisa tunaomba tu muendelee kushiriki nayo kwenye ibada zenu maana Majini hayana Nabii wala Imamu wa Kijini.
Hii ndio kauli yetu, na haitabadilika milele.
Mambo ya Walawi 17:7
Wala hawatatoa tena sadaka zao kwa wale majini, ambao huwafuata ili wafanye uasherati nao. Sheria hii itakuwa sheria ya milele kwao, kizazi baada ya kizazi.
Asanteni
Hapo Mungu anaeleza mazungumzo kati ya Mitume na watu wao....katika kundi la waumini , Mtume husika ndio anakuwa wakwanza katika waislam na waumini katika zama zake. Nuh aliletwa kipindi ambacho ibada za masanamu zimeshamiri , yaani Dini ya Adam imeachwa pembeni akaanza kuwahubiria watu waache ibada ya masanamu na wamrudie Mungu...so hapa obviously Yeye ndie alikuwa wa kwanza katika waislam na waumini katika zama zake.Kwanza nisaidie nani ni Mwislamu wa kwanza Kati ya Hawa au Quran ni migongano mwanzo mwisho tu
Muhamad
6:163 - Hana mshirika wake. Na hayo ndiyo niliyo amrishwa, na mimi ni wa kwanza wa Waislamu.
Musa
7:143 - Na alipo kuja Musa kwenye miadi yetu, na Mola wake Mlezi akamsemeza, alisema: Mola wangu Mlezi! Nionyeshe nikutazame. Mwenyezi Mungu akasema: Hutoniona. Lakini utazame huo mlima. Ukibaki pahala pake basi utaniona. Basi alipo jionyesha Mola Mlezi wake kwa mlima, aliufanya uvurugike, na Musa akaanguka chini amezimia. Alipo zindukana alisema: Subhanaka, Umetakasika! Natubu kwako, na mimi ni wa kwanza wa Waumini.
Au ni Nuhu kama wewe mwenyewe unavyosema
42:13 - Amekuamrisheni Dini ile ile aliyo muusia Nuhu na tuliyo kufunulia wewe, na tuliyo wausia Ibrahim na Musa na Isa, kwamba shikeni Dini wala msifarikiane kwayo. Ni magumu kwa washirikina hayo unayo waitia. Mwenyezi Mungu humteua kwake amtakaye, na humwongoa kwake aelekeaye.
Kwanza hujanipa majibu zaidi na kwamba umetumia mawazo yako kunijibu na sio maandiko kama ulivyotaka lakini pia mtazamo wako kulingana ulichokiandika ni kuwa uislam ulikuwepo kabla ya Muhamad Sasa nakuuliza hichi?Hapo Mungu anaeleza mazungumzo kati ya Mitume na watu wao....katika kundi la waumini , Mtume husika ndio anakuwa wakwanza katika waislam na waumini katika zama zake. Nuh aliletwa kipindi ambacho ibada za masanamu zimeshamiri , yaani Dini ya Adam imeachwa pembeni akaanza kuwahubiria watu waache ibada ya masanamu na wamrudie Mungu...so hapa obviously Yeye ndie alikuwa wa kwanza katika waislam na waumini katika zama zake.
Tukija enzi za Musa hivyohivyo....Firauni alikuwa akijitangaza kuwa yeye ni Mungu na baadhi ya wana wa israel walikuwa wakimuabudu Firauni. So hapa Musa akaletwa akawahubiria watu wake uislam na yeye ni wa kwanza katika waliosilimu katika zama zake .
Tukija kwa Muhammad vile vile alizaliwa kipindi ambacho dini ya Uislam imetoweka , Bara arabu walikuwa wakiabudu masanamu tu....akaletwa kuja kuwarudisha katika dini ya Ibrahim na mitume iliyopita, Dini ya uislam...so katika haya mazungumzo kati yake na waumini kama yanavyonukuliwa na MUNGU, yanaonesha kuwa Muhammad ndie alikuwa muislam wa kwanza katika zama zake na ni muumini wa kwanza katika kipindi chake na wengine wakafuatia.
Ni wapi kwingine hujaelewa nikufafanulie? Quran haina contradictions.
Umeshajibiwa sasa rudi kwenye madaPia spensa_e tumeona katika kitabu cha 2Nyakati sura ya 18 kuwa MUNGU wenu ana jeshi la mapepo huko mbinguni na anatuma mapepo kwenda kuwashawishi manabii waseme uongo....!!
JE KUNA UHUSIANO GANI KATI YA MUNGU WENU NA HILO JESHI LAKE LA MAPEPO?
Mmetuandama sana waislam kuwa ni dini ya mapepo !! Sasa hebu jibuni huo uhusiano kati ya Mungu wenu na hayo mapepo!!!
Nimeshatoa sana maandiko humuKwanza hujanipa majibu zaidi na kwamba umetumia mawazo yako kunijibu na sio maandiko kama ulivyotaka lakini pia mtazamo wako kulingana ulichokiandika ni kuwa uislam ulikuwepo kabla ya Muhamad Sasa nakuuliza hichi?
Liko wapi andiko kuwa Musa, Ibrahim,na Nuhu walienda kuhiji macca?
Liko wapi andiko Musa, Ibrahim na Nuhu walifunga swaumu?
Na Hawa waislamu waliokuwepo kabla ya mtume Muhamad waliitwaje na walitumia vitabu gani ni vikowapi Leo?
Alafu ngoja na mm nikupe mtazamo wangu natazamia ukosoaji kutoka kwako
YAMEKUWEPO madai kwamba Uislam ulianza tangu kuumbwa kwa dunia. Na wapo watu wanaotuaminisha hayo. Ukweli ni kwamba Uislam ulianzishwa na Nabii Muhammad mwaka 622 BK huko Arabia. Kabla yake, dini zilizokuwepo zilikuwa ni Uyuda ambayo ni dini rasmi ya Wayahudi (Judaism) na Ukristo ambayo ni dini ya mataifa wasio Wayahudi ulioanza miaka kadhaa baada ya Yesu kuwa ameondoka mwaka 33BK. Yesu mwenyewe hakuanzisha Ukristo. Alisali katika misikiti ya Wayahudi. Masinagogi.
Maelezo haya yana msingi wa kistoria na sio propaganda za kidini. Ndio ni propaganda kwa sababu dini zote zimekuwa na tabia ya kuonyesha kwamba zenyewe ndizo za kweli kuliko dini nyinginezo hata ikibidi kwa kuichezea historia.
Na ni bahati mbaya kwamba Dini zimekuwa na tabia ya kufanana ya kuzima uwezo wa waumini wake kuhoji lolote kwa kuwajengea hofu ya kujitafutia laana.
Qur’an inatupa maelezo yanayokinzana kuhusu lini hasa Uislamu ulianza. Baadhi ya mistari katika kitabu hicho zinadai kwamba ‘nabii’ Muhammad ndiye aliyekuwa Mwislamu wa kwanza. Kwa mfano, ukisoma Sura. 6: 163 anasema yeye ndiye wa kwanza kwa Waislamu hii ikiwa na maana kwamba yeye ndiye mwanzilishi wa Uislamu na kwamba Uislamu haukuwapo kabla yake.
Lakini katika maeneo mengine, Qur’an inadai kuwa Musa ndiye Mwislamu wa kwanza. Soma Sura 7:143. Sasa Mussa inajulikana kabisa ndiye mhusika mkuu wa dini ya Uyuda.
Kwa mshangao mkubwa zaidi, mahali pengine inadaiwa kwamba Adam, Abraham na Yesu wote walikuwa waislamu!
Hili, kwa hakika ni jambo la ajabu sana. Unapodai Yesu alikuwa Mwislamu, wakati mafundisho yake yanapingana pakubwa na Uislamu, huo ni ushahidi wa mkanganyiko ambao kwa hakika yeyote anapaswa kuuona bayana.
Kwa maoni yangu, dini hii yaweza kudai kuanza tangu kuumbwa kwa Ulimwengu ili tu kuonyesha kwamba yenyewe ndiyo ya kweli kuliko nyinginezo.
Ukweli uko wazi kwenye Qur’an yenyewe (hata kama inajichanganya) kwamba Muhammad ndiye alikuwa mwanzo wa Uislamu ndio maana anaitwa 'mtume' yaani mleta Uislam.
Sasa sisemi Uislam ni Dini potofu. Hiyo sio kazi yangu. Lakini sikubaliani na wanaodai kwamba Uislamu ulianza tangu enzi za Adam.
Hili la kusema uislamu ulikuwepo hakuna anae weza kuthibitishaNimeshatoa sana maandiko humu
Quran 5:48
"Na tumekuteremshia wewe, kwa haki, Kitabu hichi kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Vitabu na kuyalinda. Basi hukumu baina yao kwa aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, wala usifuate matamanio yao ukaacha Haki iliyo kujia. Kila mmoja katika nyinyi tumemwekea sharia yake na njia yake. Na lau kuwa Mwenyezi Mungu angeli taka ange kufanyeni nyote umma mmoja, lakini ni kukujaribuni kwa aliyo kupeni. Basi shindaneni kwa mambo ya kheri. Kwa Mwenyezi Mungu ndio marejeo yenu nyote, na atakuja kuwaambieni yale mliyo kuwa mkikhitalifiana"
Dini ya Mitume wote ni moja...yaani Uislam (Kujisalimisha kwa Mungu mmoja apasae kuabudiwa kwa haki pasi na kushirikishwa na yeyote(chochote)).
Kila nabii/Mtume alipewa mafundisho yake ila dini ilibaki ni ile ile moja. Mfano kipindi cha Adam...ilikuwa dini ni hiihii ya Uislam kuwa wamwabudu Mungu mmoja tu na wasimshirikishe na chochote/yeyote ila kwao ilikuwa inaruhusiwa kwa wanawe kuoana wao kwa wao.
Watoto wake wote walizaliwa na Hawa....ila ili kuendeleza vizazi wakaruhusiwa kuoana wao kwa wao.
Haikuwa Haram kumuoa dada yako aliyezaliwa na mama yako. Ila vizazi vya baadae baada ya watu kuwa washaongezeka suala la kumuoa ndugu uliyezaliwa nae tumbo moja likawa ni Haram ila dini iliendelea kubaki pale pale kuwa Muabudu Mungu mmoja na usimshirikishe na chochote/lolote.
Kipindi cha Musa dini ilikuwa ni hii hii ya uislam ila mafundisho ya Musa yalikuwa ni ya watu wa kipindi chake na wakati wake na hata alipokuja Issa mwana wa Maryam bado mafundisho yake yalitofautiana kiasi na Mussa ingawa dini waliyoihubiri ni ile ile ya uislam kuwa Muabuduni Mungu mmoja na wala msimshrikishe na chochote.
Vivyohivyo alipokuja Muhammad , hali iliendelea kuwa hivyo Dini iliendelea kuhubiriwa ile ile ila kuna baadhi ya mafundisho yakawa ni tofauti na yale aliyopewa Musa, ibrahim,Nuh, Isa n.k
Biblia inasema hiviUmeshajibiwa sasa rudi kwenye mada
- Kwa nini Muhammad anaruhusu wanawake wapewe kipondo?
- Do not beat Allah's handmaidens, but when Umar came to Muhammad and said: Women have become emboldened towards their husbands, Muhammad gave permission to beat them.....Sunan Abi Dawud 2146
Sio kila ummah ulipewa kitabu na si kila Nabii /mtume alipewa kitabu...Vitabu vikuu vilivyoshuka vilikuwa vinne tu na nlishavitaja na nikasema hapo kabla kuwa kabla yake Manabii na Mitume walikuwa wakipokea ufunuo tu na kuanza kuwalingania watu. Taarifa zao waliziweka katika suhufi kutokana na muda kupita either hizo nyaraka zilipotea kutokana na kuteketezwa mfano na vita ama kutiwa mikono na watu ndio ALLAH akaja akashusha vitabu 4....Torati ilitiwa sana mikono na wanazuoni wa kiyahudi walibadilisha mengi wakaweka ya kwao kiasi wakaitoa katika uhalisia wake wakaacha machache yanayoendana na matamanio yao, ...Allah akashusha vitabu vingine ambavyo navyo walivichezea (Zaburi na Injili) wakabadilisha mengi na mwisho ikaletwa QURAN na hii Mungu ameahidi kuilinda yeye mwenyewe hakuna mwanadamu atakae thubutu kuitia mkono na kubadilisha hata nukta ndani yake mpaka kiama kinafikaHili la kusema uislamu ulikuwepo hakuna anae weza kuthibitisha
Hakuna historia yoyote inayo support uwepo wa uislamu kabla ya Muhammad, wote hao mitume wa allah toka adamu, musa , sijui daudi mara issa hakuna hata mmoja kaacha ata sura moja ya kitabu chake , vitabu vyao vyote havijulikani vinatajwa tu na koran kwamba vilikuwepo
Unapo ongea weka na nukuu , umesema vitabu vilikuwepo vikawekwa mikono , hili unabidi ueleze kwa undani kwanza ulete ambacho akina mikono na ulete chenye mikonoSio kila ummah ulipewa kitabu na si kila Nabii /mtume alipewa kitabu...Vitabu vikuu vilivyoshuka vilikuwa vinne tu na nlishavitaja na nikasema hapo kabla kuwa kabla yake Manabii na Mitume walikuwa wakipokea ufunuo tu na kuanza kuwalingania watu. Taarifa zao waliziweka katika suhufi kutokana na muda kupita either hizo nyaraka zilipotea kutokana na kuteketezwa mfano na vita ama kutiwa mikono na watu ndio ALLAH akaja akashusha vitabu 4....Torati ilitiwa sana mikono na wanazuoni wa kiyahudi walibadilisha mengi wakaweka ya kwao kiasi wakaitoa katika uhalisia wake wakaacha machache yanayoendana na matamanio yao, ...Allah akashusha vitabu vingine ambavyo navyo walivichezea (Zaburi na Injili) wakabadilisha mengi na mwisho ikaletwa QURAN na hii Mungu ameahidi kuilinda yeye mwenyewe hakuna mwanadamu atakae thubutu kuitia mkono na kubadilisha hata nukta ndani yake mpaka kiama kinafika