Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

Siwajui majina. Waislamu wote ni ndugu zangu nani amekwambia kama nawajua wote kwa majina ?
Unamanisha hata umeshindwa ku Google na kujua hata majina kama haya ya Majini wa Kiislamu ?

Wewe sio Mwislamu kabisa

Na kuanzia leo usiniulize swali lolote kuhusiana na Mada za Kidini

Umeshindwa hata kujua haya Majina Kumi tu.
Ya ndugu zako Majini wa Kiislamu ?

Pimbi kabisa wewe.

10 types of Jinn according to Islam

Hinn هين

Ghoul – الغول

Jann – جان

Marid – مارد

Ifrit – إفريت

Shiqq – شق

Nasnas – نسناس

Palis – باليس
 
Mi nazungumza kwa nia Njema tu ili kuwafumbua uelewa.
Inayumnikanaje maandiko matakatifu yanavyo tutahadharisha na Majini.
Tena tunaona washirikina wengi ndio washirika wakubwa wa majini katika vitendo vya Kichawi
Baadhi ya Masharifu wa Kiislamu hadi wanajiita Sharifu Majini.

Halafu wako Waislamu wazuri tu na hawataki shirika na Majini na hawana nanma ya kujinasua katika huo mtego mzito.

Tena Baadhi ya Mashehe wanakiri kuwa Kila Mwislamu ana Jinni linalo mlinda hadi kifo chake.

Kwanini wasilindwe na Malaika wa Mungu ambaye tayari yuko Mbinguni.

Yaani Jinni Mwislamu amlinde Mtu Mwislamu halafu wote siku ya Mwisho wanahukumiwa kwa matendo yao na Allah.

Ni lazima Waislamu wahoji hili tena kwa nguvu.
Kama mimi nivyo mhoji Katekista wa Kikatoriki nikiwa Mkatoriki baada ya kuona kasoro za wazi kabisa. Za kuisujudia Sanamu ya Mwanamke ambaye simfahamu.

Maria Mama wa Yesu hajawahi kuomba kutengenezewa Sanamu na Kuisujudia.
Na alikuwa anasali pamoja na Mitume na kufa akiwa msafi wa Roho.
Mi ilikuwa inaniuma nilipoulizwa Maswali ya hizo kasoro na niliposhindwa kupata jibu nikaachana na ibada za kusujudia Masanamu.

Ufalme wa Mbingu unahitaji nguvu ili kuuchukua.
Kama unamwonea aibu Shehe au Padre au Mchungaji hakika utakwenda na Maji.

Waislamu wanamwonea sana aibu Mtume wao Muhammadi, hata afanye kosa la wazi kabisa wao wanamsifia tu.

Mimi mpaka naogopa kupita karibu na Misikiti. Kwakuwa ni Jengo la ibada la Majini.
Na wanakuja kuswali kama watu wa kuonekana na wakati mwingine wanakuja kuswali bila kuonekana.

Mimi katika Maisha yangu katu sikai karibu na Msikiti, kama nilikuwa na kiwanja halafu ukajengwa Msikiti kalibu nipo radhii kukiuza hata kwa bei ya kutupa.
Kupishana na Majini[emoji84][emoji90][emoji48]☻[emoji83] kila mda kwakweli hapana. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Makafiri lazima muwepo ili muonje jahannam. Wote hatuwezi kuwa tunaabudu Mwenyezi Mungu mmoja.
Nyie wenzetu mna miungu watatu
Screenshot_2022-02-12-12-55-08-887_com.instagram.android~2.jpg


1Wakorintho 1:25

25 Kwa maana huu ‘upumbavu’ wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
 
Makafiri lazima muwepo ili muonje jahannam. Wote hatuwezi kuwa tunaabudu Mwenyezi Mungu mmoja.
Nyie wenzetu mna miungu watatuView attachment 2117857

1Wakorintho 1:25

25 Kwa maana huu ‘upumbavu’ wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
We ulitakiwa unijibu kwanza hoja yangu ya Uislamu na Majini hapo uliponinukuu halafu ndio uulize hilo swali lako.

Umeninukuu nikizungumzia Uislamu na Majini halatu unaleta jedwali ambalo mimi sijalizungumzia kabisa huoni kuwa unashindwa kueleweka ?

Ziko hoja nyingi za imani, mimi nimeandika jinsi Waislamu walivyoingizwa katika Dini ya Majini na Muhammadi.

Au Muhammadi alivyo wakaribisha Majini wote akina Jinni Makata kwenye Uislamu.

Badala ya kunijibu hoja yangu unaleta Kijedwali chako ambacho sio hoja inayozungumziwa.

Nijibu hoja zangu hapo juu ndio na wewe uulize maswali yako.

Waislamu mkiletewa hoja zinazowashinda kujibu, mnaingiza mada nyingine ili kukwepa hoja ya msingi.

Jibuni hoja ya msingi

[emoji117]Uswahiba wenu na Majini na ibada zenu kuliabudu Jiwe Jeusi la Maka
Linaitofautishaje Dini ya Kiislamu na imani nyingine za Kishirikina kama Freemasoni na Illuminanti ?

Hii sio kashfa kwakuwa ipo kwenye Uislamu.
Sura ya Majini ipo.
Kuabudu Jiwe Jeusi la Maka ipo

Jibuni hiyo hoja halafu kama mnaswali muulize.
 
[emoji1787][emoji1787]Ujue Nimesoma Sana Huu Uzi Ila Maswali Yako Sijaona Yakijibiwa Hata Moja Alafu Unawapa Vitu Original Kutoka katika kitabu Chao. Yamebaki kurudia rudia tu Porojo Ambazo Hazieleweki..

MAJIBU HAYA HAPA YA MASWALI YAO..[emoji116] SITUMII KITABU CHANGU KWAKUA HAWAKIAMINI.

Mmoja Anasema Muhammad SAW Amefundisha Waislam kupiga Wanawake. Hili Sioni Umuhimu Wa Kulielezea Sana Kwasababu Ni Porojo tu ila Embu Tuangalie Tu Hapa Tanzania Ni Watu Gani Wanaongoza Kupiga Wake Zao Tuangalie Na Matukio Ya Wake Kunyanyasika Ni Watu Gani Wanaongoza.. Kama Waislam Wamefundishwa Hivyo Katika Dini Yao Kwanini Wapo nyuma kuliko Hawa Waliofundishwa Kuwatunza na kutowapiga Hili Ni Jibu Tu Kuwa Ameokota Mafundisho Ambayo Sio Sahihi.. Alafu Mbona Mapenzi Yanasifika Zaidi Pwani Ambapo Asilimia 90 Ni Waislam [emoji12] Ilihali Wanafundishwa Na Kiongozi Wao Kupiga Wake Zao...

Anasema Tena Kuhusu Ndoa Ya Mut'ta Huyu Sijui Ni Mkristo Kweli Msomi au Ni Mjinga Mjinga tu wa kucopy na Kupaste Mtandaoni Okay Nakupa Kingine Copy Ukapaste. Hata Pombe Katika Uislam Ilikuwa Halali Na Watu Walikuwa Waipiga Haswaa...

Ipo Hivi Mwenyezi Mungu Vitu Vyote Ameviweka kwa taratibu maalum Kutokana na alivyomuumba Mwanaadamu. Anapotuma Mtume au nabii Huwa Haji Moja kwa Moja Kuwabadilisha Watu kwa Mara Moja Bali huwapa Somo Taratibu Kama alivyofanya Yesu Kuwa na Wanafunzi Ili Wajifunze nao Wawafunze wengine hii haimaaanishi Mungu alishindwa kuweka uelewa Moja Kwa Moja kwa wanadaamu Bali Ni taratibu ambazo aliweka Mwenyewe kwakua Hapangiwi Bali anafanya anachopenda Yeye.

Mfano Tukija Katika Biblia Kuna agano la kale Na Agano Jipya Katika Biblia hizi yapo mambo Mengi yanapingana Sana Mfano Uharamu wa Nguruwe na Hata Swala La Kuoa Zaidi ya Mke Mmoja nk.. Katika ufafanuzi wake Kwanini imekuwa hivyo Mafundisho yanasema Imekuwa hivyo kwasababu mwanzo Jambo Hilo lilikuwa Halali Kisha baadae MUNGU akalifanya likawa Haram. Na ndivyo pia ilivyo katika Uislam Kuna Mambo yalikuwa Halali mwanzo Kisha baadae yakawa haramu Mfano Swala la Mut'ta na pombe yalikuwa Halali Kisha baadae yakawa Haram. Kama unaona Ni ajabu kuwa hivyo Basi Anza kuona Ajabu katika Biblia Yako Kwanza..

Jambo Jingine Anasema Kuhusu Uislam Unadai Mwanamke Anyonyeshe Mtu Mzima Na Ushahidi Anasema Mama Aisha Alisema Kuwa Umeliwa Na Mbuzi Huu Ni Upotoshaji Wa Makusudi.. Sawa Kama Umeliwa Na Mbuzi Basi kukosekana kwa Ushahidi Ndio kushinda Kesi ukitaka tuendelee na hii mada lete Hizo Aya Hapa au ukitaka tuendelee bila ushahidi Nipe Kwanza injili ya Yuda Kwakua Vipande Vidogo Vilivyookotwa Vimeonyesha kuwa Ndio ilikuwa inazungumzia ujio Wa Mtume Muhammad SAW Au Yuda Hakuwa Katika Wanafunzi Wa Yesu..? Mbona injili yake Haipo...? Ipo Wapi..? Ilipotea Vipi..?

Mwingine akasema kuhusu Mussa Kudhalilishwa Na ALLAH kwakua alitembea Uchi. Kwani Mungu wa tatu Mkuu Wa Biblia akipomtuma mwanae wa pekee Kisha akamuacha akalia kumuomba Msaada mpaka machozi ya Damu yakatoka na hakumsaidia kisha akapigwa mpaka kuuliwa pamoja na kuwekwa msalabani sehemu ambayo walikuwa wanawekwa watu waovu kabisa Tena akiwa na nguo ambayo sio ya kumsitiri Ivi huku sio kumdhalilisha..? Ukipata Jibu La hiyo Basi Utapata jibu la Mussa Usituchoshe..

Mmoja pia Amesema ALLAH amebariki Dhambi tofauti na Mungu wa Biblia Ambae Ametoa Adhabu. Okay Sawa Tusiende Mbali Tuanze Kwako Wewe Unamtukuza Mungu Wa Biblia asietaka Dhambi katika post zako Nimesoma matusi makubwa makubwa umeandika mengine hata kuyasoma naishia nusu. Naamini Wewe Ni Mwalim Mzuri wa Biblia naamini maisha yako yanaishi kwa nguzo za Biblia na hapa unatufundisha Biblia so hayo bila shaka ndio Mafundisho ya Biblia thanks you Tumejifunza Biblia[emoji7][emoji7]..

Kuna Mmoja Amesema Yesu Kwa Kiarabu Anaitwa Yoshua akasema Nenda YouTube kasearch Arabic Gospel.. Vizuri kwa kujua Hilo. Ila Huyu jamaa katika Comments Zake amekuwa akitukana Sana jina ALLAH Ila Anampenda MUNGU na JEHOVA Sasa Mbona hujatuambia kuwa Biblia za kiarabu zimeandikwa ALLAH Sehemu Zote Za Mungu Au Jehova..? Au Hilo hujui..? Basi Nenda kafatilia baada ya kusikiliza Arabic Gospel. Sawa Dogo [emoji12] Usipende Tu Kukata Mauno..

Mwingine Kasema Muhammad SAW Ametoa Visa Katika Biblia [emoji1787][emoji1787] Hii Atasema Kichaa Tu Yani Hii Biblia Unaijua Kweli Historia Yake au umekurupuka Tu. Hii Biblia ya juzi Muhammad SAW atoe visa Humo[emoji15][emoji23] Kasome Kwanza Uijue Biblia ndio Tuendelee na hiyo Mada..

Akasema Qur'an Ni Mashairi Yasiyojitosheleza. Mfano Akatoa Kuhusu Jua kuzama katika matope. [emoji848] Bahati Mbaya ameona Hiyo Tu Labda Nikuambie pia huu Mfumo wa Uliosoma Shule Historia ya Mtoto kukua Tumboni kwa miezi Tisa wote upo katika Qur'an Miaka zaidi ya Elfu moja iliyopita na leo unathibitishwa kwa vyombo Vya kisayansi Tena inaonyesha vile vile bila makosa Fatilia Hilo Utajifunza kitu kuhusu hii Qur'an [emoji120].. Alafu Nipe Kitu Kimoja Tu Katika Biblia mfano wa hicho Tukiacha Ile Aibu kuhusu Sungura kucheua.. Nenda Alafu Uje Hapa..

Anyway Mimi Siwaiti Makafiri Ila Kiukweli Mpo na Ukafiri Mwingi kwakua mnapinga kitu huku mnajua Ukweli.. Alafu Huyo Ni Mtu Mmoja Tu Anatumia ID Mbili ajitekenya na kucheka Mwenyewe kwakua hakuna wa kumsapoti upuuzi Wake Huo..

Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Yesu Kristo ni raia wa Israeli
Historia yake yote inapatikana katika vitabu vya historia ya Wayahudi
Na sio kati vitabu vya Waarabu.

Hebu soma basi hata kitabu kimoja tu cha Wayahudi.
Au funga safari Israeli utaoneshwa mahali
Aliposulubiwa Yesu msalabani.
Na alipozikwa baada ya Kufa.
Na Kaburi lake lipo Israeli utaoneshwa.

Sijui nisema ujinga au Maradhi sijui,
Hivi unasomaje na kuamini kuhusu maisha ya Yesu Mwisraeli kwenye vitabu vya Wakureshi ?

Yaani Maisha Mwarabu Muhamadi ukayasome kwenye historia ya Wamakonde wa Mtwara na uamini ?
Watu ambao hata sio kabila moja.

Au ndio Majini yenyewe yanawalazimisha muamini hivyo ?

Issa ni Nabii wa Dini ya Kiislamu
Hakuwahi kuteswa
Wala kusulubiwa msalabani
Wala kufa
Na haijulikani yuko wapi
Na alienda lini

Hebu nenda Youtube mda huu, andika "Arab Christian Songs"
Sikiliza Wakristo wa Uarabuni wanamwita vipi Nabii wao Yesu Kristo.
Nenda sasa hivi na uje ulete mrejesho hapa sasa hivi.

[emoji117]Jamani kama humu kuna mtu ambaye sio Mwislamu wala Mkristo aende YuoTube asikilize nyimbo za Wakristo Waarabu aje atupe Jibu wanamwitaje Yesu Kristo

Maana hawa jamaa hawakubali kabisa kuusikia ukweli

Hii ndio zawadi ya kuingizwa katika Dini ya Majini.
Mnalazimishwa Rangi ya Bluu muiite Nyeusi na bila kuhoji mnakubali.

Hii ni Hatari kubwa.

Tatizo Waislamu hawataki kabisa kuambiwa Ukweli uliondikwa kwenye Qurani yao.
Ukweli ambao unaonesha madhaifu dhahili kabisa.
Mnaswalije na Majini chungu nzima Misikitini alafu mnadhani mko salama.
Jinga kabisa
 
Kama kuna janga ambalo Waislamu watakuja kulijutia siku za Mwisho ni kukubali bila kuhoji kitendo cha Mtume wao Muhammadi kuwaingiza katika Dini ya Majini.

Au nisema kitendo cha kuwakaribisha Majini wote katika Dini ya Kiislamu.
Hapa nimeshindwa kutanabaishwa tu kuwa ni nani hasa alianza kuwa Mwislamu kati ya Watu na Majini.

Mi nina uhakika kabisa hata aliyemtokea Mtume kule pangoni na bila kujitambulisha akaanza kumkaba kikatili hadi akaugua na kumlazimisha kusoma alikuwa Jinni mkuu.

Ni Jinni huyohuyo aliye walaghai hadi walisujudie na kuliabudu Jiwe Jeusi la Maka.

Na Waislamu hawataki kabisa kuhoji hili tatizo. Ukiwaambia wanabaki kukasirika tu.

Mimi mwenyewe nikiwa Mkatoriki wakati huo nilihoji sana Ibada za Bikira Maria na mambo ya kuvaa rozali hadi nikaamua kuachana na Ukatoriki nilipoona nashindwa kupewa jibu la kuniridhisha.

Ni muda sasa kwa Waislamu wenye ulewa kukataa ibada za Majini za kusujudia Jiwe la maka na kuwaabudu miungu ya Uza, Lutta na Manata.

Wanakengeuka namna gani hawa ?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Utakuja kujuta wewe

itoshe kusema ivo
 
We ulitakiwa unijibu kwanza hoja yangu ya Uislamu na Majini hapo uliponinukuu halafu ndio uulize hilo swali lako.

Umeninukuu nikizungumzia Uislamu na Majini halatu unaleta jedwali ambalo mimi sijalizungumzia kabisa huoni kuwa unashindwa kueleweka ?

Ziko hoja nyingi za imani, mimi nimeandika jinsi Waislamu walivyoingizwa katika Dini ya Majini na Muhammadi.

Au Muhammadi alivyo wakaribisha Majini wote akina Jinni Makata kwenye Uislamu.

Badala ya kunijibu hoja yangu unaleta Kijedwali chako ambacho sio hoja inayozungumziwa.

Nijibu hoja zangu hapo juu ndio na wewe uulize maswali yako.

Waislamu mkiletewa hoja zinazowashinda kujibu, mnaingiza mada nyingine ili kukwepa hoja ya msingi.

Jibuni hoja ya msingi

[emoji117]Uswahiba wenu na Majini na ibada zenu kuliabudu Jiwe Jeusi la Maka
Linaitofautishaje Dini ya Kiislamu na imani nyingine za Kishirikina kama Freemasoni na Illuminanti ?

Hii sio kashfa kwakuwa ipo kwenye Uislamu.
Sura ya Majini ipo.
Kuabudu Jiwe Jeusi la Maka ipo

Jibuni hiyo hoja halafu kama mnaswali muulize.
We Kwa uelewa wako majini ni nini kwanza? Unipe vifungu kwenye biblia. Maana nakuona unaropoka vitu havipo
Wapo majini waislamu na wapo majini makafiri. Sasa sijui wewe upo kwenye kundi gani?
Nimenukuu kafiri anasema majini ni malaika walioasi. We kwa upande wako majini wametokea wapi Kwa imani yako? Usiropoke maneno matupu we unayeabudu miungu watatu
Screenshot_2022-02-12-12-55-08-887_com.instagram.android~2.jpg
 
We Kwa uelewa wako majini ni nini kwanza? Unipe vifungu kwenye biblia. Maana nakuona unaropoka vitu havipo
Wapo majini waislamu na wapo majini makafiri. Sasa sijui wewe upo kwenye kundi gani?
Nimenukuu kafiri anasema majini ni malaika walioasi. We kwa upande wako majini wametokea wapi Kwa imani yako? Usiropoke maneno matupu we unayeabudu miungu watatuView attachment 2117930
Wapi mimi nimesema Majini ni Malaika walioasi?
Umeninukuu wapi nikisema hivyo ?

Kwani Waislamu watu, wote ni wema ?
Na hao Waislamu wasio wema wanaswali wapi ?

Wewe unamtambua Jini Mwema na asiye Mwema ?
Je Jinni M'baya haruhusiwi kutubu Msikitini ?
Hao Majini unaosema ni wema huwa hawakosei kabisa ?

Fungua akili yako wewe.
Majini wote ni Waislamu na wote wanafanya ubaya ndio maana wanaswali ili kutubu dhambi zao.

Wema ni Malaika tu ambao wako Mbinguni.

Mnafikia mahali hadi mnayatetea Majini kwa nguvu zote.
Akili za kutafakari zimewatoka kabisa.

Mimi sasa nasema nimechoka kuwafumbua macho.
Nanawa Mikono.
 
Wapi mimi nimesema Majini ni Malaika walioasi?
Umeninukuu wapi nikisema hivyo ?

Kwani Waislamu watu, wote ni wema ?
Na hao Waislamu wasio wema wanaswali wapi ?

Wewe unamtambua Jini Mwema na asiye Mwema ?
Je Jinni M'baya haruhusiwi kutubu Msikitini ?
Hao Majini unaosema ni wema huwa hawakosei kabisa ?

Fungua akili yako wewe.
Majini wote ni Waislamu na wote wanafanya ubaya ndio maana wanaswali ili kutubu dhambi zao.

Wema ni Malaika tu ambao wako Mbinguni.

Mnafikia mahali hadi mnayatetea Majini kwa nguvu zote.
Akili za kutafakari zimewatoka kabisa.

Mimi sasa nasema nimechoka kuwafumbua macho.
Nanawa Mikono.
Lete aya majini wote waislamu na hakuna makafiri we muabudu miungu mitatu.
Screenshot_2022-02-12-12-55-08-887_com.instagram.android~2.jpg
 
Lete aya majini wote waislamu na hakuna makafiri we muabudu miungu mitatu.
View attachment 2117934
72:1 - Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu!

72:2 - Inaongoza kwenye uwongofu, kwa hivyo tumeiamini, wala hatutamshirikisha yeyote na Mola wetu Mlezi.

Naomba na wewe unipe Aya ya qurani inayosema.

" Kundi moja la watu lili isikia Qurani na kuiamini "

Hapo ndipo utakapo tambua kuwa Dini ya Kiislamu ni ya akina nani.
 
72:1 - Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu!

72:2 - Inaongoza kwenye uwongofu, kwa hivyo tumeiamini, wala hatutamshirikisha yeyote na Mola wetu Mlezi.

Naomba na wewe unipe Aya ya qurani inayosema.

" Kundi moja la watu lili isikia Qurani na kuiamini "

Hapo ndipo utakapo tambua kuwa Dini ya Kiislamu ni ya akina nani.
Uzuri wa haya ya mwanzo ipo wazi bila kusogea sura nzima. Unaona kabisa inasema kundi moja la majini. Nikisema kundi moja la watu wamefanya kitu fulani haina maana kundi lote.
Unanipa kazi ya kukufundisha Kiswahili hapa. Kwa hiyo kwa majini kuna makafiri pia.
Screenshot_2022-02-12-12-55-08-887_com.instagram.android~2.jpg
 
Ha..ha...ha
Toka Mwaka uanze ndio nimecheka kwa mara ya kwanza.

Nimekumbuka andiko moja hivi Mungu anasema wazi kabisa.

Hosea 4:6
"Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa;"
 
Mungu ata akisema yupo 10 shida ni nini?
Mungu tunapima ukweli wake na uwepo wake
Kama mungu anasema Jua linazama matopeni anasema manii inatoka kwenye UTI wa mgongo na yupo mmoja utamuamini?
Ongezea pia na upumbavu Kwa mujibu wa makafiri. Hili swali haukunijibu upumbavu na udhaifu wa Mungu ni upi?

1 Wakorintho 1:25​

25 Kwa maana huu ‘upumbavu’ wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.

Miungu watatu? Ushirikina ulioje.
Screenshot_2022-02-12-12-55-08-887_com.instagram.android~2.jpg
 
Ongezea pia na upumbavu Kwa mujibu wa makafiri. Hili swali haukunijibu upumbavu na udhaifu wa Mungu ni upi?

1 Wakorintho 1:25​

25 Kwa maana huu ‘upumbavu’ wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.

Miungu watatu? Ushirikina ulioje.
View attachment 2117974
Ni nani kaandika hayo maandiko nenda kasome sura nzima utapata jibu,

Nimekwambia Mungu ata akisema nipo 10 shida Yako nini? Mungu ni muweza wa kila kitu anaamua yeye mwenyewe aweje

Ndio maana nimesema mungu anasema Jua linazama matopeni na manii inatoka kwenye UTI wa mgongo utamuamini huyu mungu ambae hajui ata uumbaji?
 
Ni nani kaandika hayo maandiko nenda kasome sura nzima utapata jibu,

Nimekwambia Mungu ata akisema nipo 10 shida Yako nini? Mungu ni muweza wa kila kitu anaamua yeye mwenyewe aweje

Ndio maana nimesema mungu anasema Jua linazama matopeni na manii inatoka kwenye UTI wa mgongo utamuamini huyu mungu ambae hajui ata uumbaji?
Hata wakiwa ishirini sawa tu. Nijibu swali usiruke kwa kulazimisha nisome sura nzima. Aya unazozinukuu huwa unasoma sura nzima? Nataka nijue upumbavu wa Mungu ni upi? Tumia hata uongo wa kanisa. Kumbuka sijaingiza tafsiri yangu

1 Wakorintho 1:25​

25 Kwa maana huu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi kuliko hekima ya wanadamu, na ’udhaifu’ wa Mungu una nguvu ipitayo nguvu ya wanadamu.
 
Ni nani kaandika hayo maandiko nenda kasome sura nzima utapata jibu,

Nimekwambia Mungu ata akisema nipo 10 shida Yako nini? Mungu ni muweza wa kila kitu anaamua yeye mwenyewe aweje

Ndio maana nimesema mungu anasema Jua linazama matopeni na manii inatoka kwenye UTI wa mgongo utamuamini huyu mungu ambae hajui ata uumbaji?
Mungu wa kwenye biblia naweza kumpiga ngumi kutokana anaweza fanya lolote atakalo?
 
Ni Yesu pekee atoaye tumaini. Nyie pambaneni na kugawana wake na mali sasa.
 
Back
Top Bottom