Huyu anazingua tu humu eti Yesu watu wanatoa hadi Sadaka za kujimaliza na ajira hawapati, nini Yesu unamzungumzia Yesu yupi? fafanua maelezo sio unataja taja tu Yesu labda una Yesu wako behind the scenes ambae ni tofauti na yule anaefahamika na wengi