Katika ukoo wetu mimi ndiye wa kwanza kuwa mwajiriwa wa serikali, jifunze kitu hapa

Katika ukoo wetu mimi ndiye wa kwanza kuwa mwajiriwa wa serikali, jifunze kitu hapa

Mh. Makubwa
Upo tayari kusomewa sala ya toba, upo tayari kumpokea Yesu na upo tayari kumkataa Shetani kisha ubatizwe ili uingie kwenye Connection ya ukristu ili u-Cut Off connection ya uislamu/mizimu na utoboe maisha na guarantee ya kutoboa kwenye ukristu ni 100%, je upo tayari?

Hio ni kwa mujibu wa Sandali Ali na Showmax
 
Sasa Yesu ameingiaje au Yesu ndio amempa kazi au Yesu ndio amemuajiri? Sometimes acheni upambe na kampeni za kijinga km hizi watu sio wajinga kiasi hicho hata km ni mfia dini huwezi ukaandika ujinga km huu ulioandikwa hapo, wewe eleza ni juhudi na kutokukata tamaa plus connection ndio vimekupa mafanikio ya kufikia malengo yako stop saying Yesu kanipa hiki Yesu kanipa kile huo ni upotoshaji mnafanya kampeni za kuingiza watu wengi kwa wachungaji wapigaji huku wao wanabaki kua masikini,

Km Yesu angekua hivyo kila anaeenda kanisani si angekua anaenda na RR sasa mbon wengine ni makapuku na kila siku wanatoa Sadaka au Yesu yupi mnaemzungumzia? Msitufanye sisi mazuzu
should we demand an explanation from our God Lord?
Question his methods?
Or should we enjoy the benefits of his graces?

Don't think that our good God wants us to question too much.
God says "HIS WAYS ARE NOT OUR WAYS"
what He basically means by that is HE IS MYSTERIOUS, Live with it.
 
Kuanzia hapo utaona kuna uwezo unaingia ndani mwako na utashangaa unaweza kuacha au kukataa kutenda dhambi ulizokuwa unatenda mwanzo.
Tafuta msaada zaidi kutoka kwa watu waliokoka kweli na wanaolifata neno la Mungu.
Kwa hio ukitoka hapo tayari wewe ushatoboa maisha? Well said, now I understand this is Africa.
 
should we demand an explanation from our God Lord?
Question his methods?
Or should we enjoy the benefits of his graces?

Don't think that our good God wants us to question too much.
God says "HIS WAYS ARE NOT OUR WAYS"
what He basically means by that is HE IS MYSTERIOUS, Live with it.
Apart from all on what you said, you have to understand my concern

You said, I had a question but you didn't show me where my question is?

I didn't ask any questions to GOD, first of all you have to understand that, copy that?

And another thing here, I was asking about changing of religion and means of being successful, he said if you're a Muslim and change your religion to become a Christian then you will be successful and if you're a Muslim then you're a witch and unsuccessful and doing so you won't be successful in life, that's what he mean if you understand but if you don't sorry for that,

To me that's wrong and that's not good at, you can be successful it doesn't matter whether you're a Muslim or you're a Christian, only if you believe on what you do and you work hard on what you believe then you will be successful, I know I practiced all that it start on what you believe not on what your religious beliefs is

Believe on yourself yes you can that's the starting point, yourself and nobody else, I mean nobody but you and what you believe, so what do you believe?
Do you believe that being Christian can make you get everything you want in life? Do you believe?
By being Christian you can achieve anything in life? Do you believe?
Do you believe by being Christian then you have booked a ticket direct to heaven? Do you believe?
Do you believe that by being Christian then you can cure incurable disease? Do you believe?
Do you believe that by being Christian then you will be rich & famous? Do you believe?
 
Tatizo la watanzania wengi ni kushangilia ushindi kabla mechi haijaisha. Ajira tu umeshajiona Bill Gates. Inasikitisha sana.
Vigezo/viwango vya mafanikio vinatofautiana kati ya mtu na mtu.
Kama wewe mafanikio kwako ni mpaka uwe kama Bill Gates, mwenzako Sandali Ali mafanikio ni hapo alipofikia.

Tujifunze kuheshimu maoni na mipangilio ya wengine.
Hongera mleta mada.
 
Kulikuwa na minong'ono kuwa ndugu yetu mkubwa ni mchawi na ana roho ya wivu. Mafanikio anataka yawepo ndani kwake tu. Wengine walikuwa mpaka wanakuwa wa kwanza kiwilaya katika mitihani ya dhihaki (mock) darasa la saba.

Ikifika mitihani ya taifa wenzake aliyowaburuza darasani wanapangiwa Mzumbe, Kilakala, Tabora Boys n.k lakini yeye hata shule ya sekondari ya wilaya hafiki. Akibahatika basi atapata kuchaguliwa shule ya ufundi seremala.

Sometimes mtu anafanya usaili wa kwenda jeshi kila kitu kinakaa sawa, mara mambo yanacease mtu anaendelea kuwa fukara.

Brother wetu mmoja alikubalika sana mpaka aliweza kupewa kuwa kaka mkuu kuanzia la nne mpaka siku anamaliza la saba, kwenye michezo ndiyo alikuwa balaa, kila mchezo anaoshiriki lazima afike mkoani na huko mkoani hakuna wa kushindana naye. Leo hii ni maskini kabisa.

Mimi nikiwa darasa la saba nikampokea Yesu na kuokoka. Kwa mara ya kwanza katika ukoo wetu nachaguliwa kwenda sekondari tena shule ya kitaifa si ya kata au wilaya. Nilihakikishiwa kabisa kuwa sitavuka la saba na kutolewa mifano ya wenzangu, lakini Yesu akavunja mipaka mpaka sasa ni mwajiriwa wa serikali.

Nimesoma mpaka chuo kikuu, ndiyo mtu wa kwanza kuwa na degree katika ukoo wetu na ndiyo mtu wa kwanza kuionja sekondari katika Ukoo wetu, na ndiye mtu wa kwanza katika ukoo wetu kuwa Mkristo.

Yesu ndiye kiboko ya uchawi, laana, mikosi na kila hila. Ukimpokea kwa lengo jema ukiamini kuwa yeye ni njia ya kweli na uzima hatakuacha.

Kuna mambo mengi kanitendea ila napenda kwa leo tuishie hapa.
...mafanikio ya mtu hayapo connected na dini kama ulivyosema ...hiyo ni mind set yako tu..

Kuna watu Wala hawamjui mungu Ila Wana mafanikio ya kutisha sembuse ww kuwa na kidigree na kuajiriwa serikalini (UTUMWANI)
 
Vigezo/viwango vya mafanikio vinatofautiana kati ya mtu na mtu.
Kama wewe mafanikio kwako ni mpaka uwe kama Bill Gates, mwenzako Sandali Ali mafanikio ni hapo alipofikia.

Tujifunze kuheshimu maoni na mipangilio ya wengine.
Hongera mleta mada.
Kumbe hio ndio definition ya mafanikio iliyopo kwenye kamusi za wengi, kwamba ukihama uislamu na kuingia ukristu basi umetoboa maisha? Kwamba unawaaminisha watu kua uislamu ni mbaya ila ukristu ndio mzuri ukiwa mkristu tayari umetoboa maisha who put that program in your head?, sitaki kwenda deep sana nisije nikachafua meza hapa
 
Na elimu ya kutosha kuhusu hili. Ipo hivi na ieleweke ya kwamba. Waafrika wako masikini sababu maisha yao yapo connected na mizimu, na mizimu haitaki maendeleo thus ukijenga nyumba kijijini unalogwa ukiaga unalogwa, ukisoma haufaulu,ukilima ufanikiwi,nk. Ni hadi uwe maarifa ya kucut off ile connection ndipo utoboe.Talielezea ili jinsi nguvu ya mizimu inavyozuia mtu kufanikiwa.
Wenye kukuelewa watakutafutauwape maarifa..hii kitu inatesa sana
 
Kwa hio ukitoka hapo tayari wewe ushatoboa maisha? Well said, now I understand this is Africa.
Ukipata vyote katika ulimwengu huu Kisha ukaikosa roho yako! Tafuta kwanza ufalme wa Mungu na vingine vyote utaongezewa
 
Na elimu ya kutosha kuhusu hili. Ipo hivi na ieleweke ya kwamba. Waafrika wako masikini sababu maisha yao yapo connected na mizimu, na mizimu haitaki maendeleo thus ukijenga nyumba kijijini unalogwa ukiaga unalogwa, ukisoma haufaulu,ukilima ufanikiwi,nk. Ni hadi uwe maarifa ya kucut off ile connection ndipo utoboe.Talielezea ili jinsi nguvu ya mizimu inavyozuia mtu kufanikiwa.
Alietuletea hizi dini ndio kaleta huu mkanganiyiko

Unadhani mizimu ipo Africa tu Peke yake mkuu? Unajua lakini maana ya mizimu?

Unajua kama kuna mataifa mengine ambayo yenyewe ibada zao zimeelekezwa kwenye mizimu tu na sio Mungu wala vitu vingine kama sie?

Ukisema waafrica wengi wako connected na mizimu ndomana wengi Maskini unaweza nitajia taifa ambalo lenyewe halipo connected na mizimu ndomana wao ni matajiri?

Unajua kama China au karibia nchi zote za Asia ibada zao ni mizimu,ukarimu,upendo na hawataki kuskia habari za Mungu mingine tofauti na mizimu Yao na maisha yanaenda

Unajua kama hawa waliotuletea hizi dini waga kuna muda wanafanya matambiko kwa ajili ya kutimiza mahitaji ya mizimu yao? Wao wanaanimi kama mizimu ikikasirika basi ndo unapata majanga na Mambo yako hayataenda Sawa sawa

ila kama utafanya jambo mizimu yako ikafurahi basi utafanikiwa kwenye Mambo yako the same thing walichokuwa wanafanya wazee wetu miaka kibao nyuma kabla ya kuletewa hizi dini za kigeni

Na wapo watu kibao ambao ni Christian ila hawajaacha utamaduni wa kwenda kuwaenzi wazee wao ambao ni mizimu Kwa sasa Kwa kufanya matambiko kama Mila zao zinavosma ili tu katika familia zao mambo yaende vizuri mfano wachaga na wakinga

Sasa nyie mmekazana kusema mara cut off mizimu mara kukata sijui nini ilhali ni ujinga mtupu, kufanikiwa kwa mtu kunakuja na Mambo mengi ila baadhi ya hayo ni pamoja na kujitambua,kujua unataka nini,kuamini katika unachokifanya,kujituma,nidhamu ya kazi, upendo na mwisho kabisa connection

Haijarishi huyo mtu atakuwa ni Christian/Muslim/pagan/Buddha/Hindu/ akifata hiyo misingi basi ni Jambo la Muda tu kufanikiwa kulingana na sehemu alipo na juhudi zake

Dini ya kweli hapa Duniani ni UPENDO tu, haya mengine ni utashi wetu binadamu tu na yanaleta kujigawa na kujiona wengine ni Bora kuliko wengine ila hayana faida yoyote katika jamii zetu na hasa sie ambao ujinga ni sehemu ya maisha yetu

kutwa kumsingizia Mungu mambo ambayo ata yeye anashangaa ohooo Dini ya kweli sasa ingekuwa Dini ya kweli si tungezaliwa kila binadamu teyari anaijua na kuifata sasa iweje kuwe na Dini ya kweli alafu duniani kuwe na Dini zingine zaidi ya 3000 Zingine

Yani dini mpya kuliko zote duniani ndio ije kuwa Dini ya Kweli na Dini zilizoanza maelfu ya miaka huko nyuma zenyewe ziwe za uongo, Mambo mengine bana ukifikilia unaishia kucheka tu

Ohhh kwa yesu ndio kuna mafanikio na uzima wa milele unataka kuishi milele ili ugundue nini? Ohhho Kuna mafanikio, mafanikio gani hayo ya kujazana ujinga na kutajirisha wanaojiita manabii na nyie kubakia Maskini wa kutupwa

Mchungaji/Nabii akitaka Gari mnamchangia pesa akanunue ila muumini akitaka Gari anaombewa na mchungaji, yani Akili zenu mnazijua wenyewe, sasa kama maombi yanaleta Gari/ mafanikio iweje mchungaji achangiwe pesa na sio kuombewa apate Gari?
 
Dini ya kweli hapa Duniani ni UPENDO tu, haya mengine ni utashi wetu binadamu tu na yanaleta kujigawa na kujiona wengine ni Bora kuliko wengine ila hayana faida yoyote katika jamii zetu na hasa sie ambao ujinga ni sehemu ya maisha yetu
Mkuu umemaliza kila kitu 👏👏🤝 be blessed, uongezewe zaidi ya hapo ulipo yaan mabaraka yakushukie hadi mengine uyakatae, you finished everything yaan umesema yote, mimi sina cha kuongeza
 
Mchungaji/Nabii akitaka Gari mnamchangia pesa akanunue ila muumini akitaka Gari anaombewa na mchungaji, yani Akili zenu mnazijua wenyewe, sasa kama maombi yanaleta Gari/ mafanikio iweje mchungaji achangiwe pesa na sio kuombewa apate Gari?
Mkuu umemaliza kila kitu kila kitu I mean you finished everything, yaan nakosa cha kujazia hapo yaan hata mimi hua najiuliza inakuaje kuaje hapo kwanini mchungaji anachangiwa kujengewa nyumbani Kali na viyoyozi juu ilihali kuna muumini au mwana maombi anaishi upenuni tena kwenye cordo au mwingine analala sebleni kwa shemeji yake does it make sense?

Ila huyu mwenye hii hali akiomba apate nyumba kwa mchungaji anawekewa tu mikono kichwani anaombewa tu eti kesho nae atapata nyumba kweli?
 
Mkuu Saint Anno II njoo umsaidie Sandali Ali huku

Mkuu sijapingana nae ila alichokosea ni kutuaminisha kwamba ukiwa na Yesu then you're successful in each & everything that's rubbish, mimi mkristu tena sio wa mchongo alichokiandika ni ujinga km ingekua ni kwa faida yake binafsi si angebaki nayo kwenye kitabu chake cha kumbukumbu, yeye kaja kuwachota wafuasi humu watoke uislam waende ukristu kwamba ukiwa mkristu utafanikiwa kimaisha hio dhana ni potofu, na hii sio mara yake ya kwanza

Huyu amepotoka kifikra na kiakili inabidi tumuweke kwenye mstari sahihi kwamba mafanikio hayana udini, umenielewa?

Na wewe kabla ya kunivamia na kunikosoa jipime uwezo wako wa kufikiri km fikra zako ni fupi usipimane na mimi

Mbona unateseka hivyo? Si umkaushie.
 
Mbona unateseka hivyo? Si umkaushie.
Ata mm naona jamaa anateseka sana sijjui kwann?
Mwenzie katoa ushuhudi kulingana na anavyowmini yeye,naoma jamaa naona kawa mpinga kristo huku anajinasibu na ni mfuasi wa kristo
Kazi sana kweli kweli
 
Watu hawaelewi tu. Ukiwa na Yesu kuna ushindi fulani unaupata. Hakuna kitu kikubwa kama kuwa na ushindi dhidi ya dhambi na huu haupatikani kwa nabii, mtume au dini yoyote, ni kwa Yesu pekee. Na kuupata ni rahisi.

Kwanza unaamua kwa dhati ya moyo kuwa unataka kuacha dhambi siyo kwa utani Bali kwa kudhamiria kabisaa. Halafu tamka maneno yafuatayo.
.............................................
Mungu wangu nakuja mbele zako nikikiti kuwa Mimi ni mwenye dhambi tangu kuzaliwa. Nimeamua kwa dhati ya moyo wangu kuacha dhambi lakini kwa nguvu zangu siwezi. Naomba Yesu Kristo ulifute jina langu katika vitabu vya hukumu na uliandike katika kitabu Cha uzima, unisamehe dhambi zangu zote, unibadilishe na kunifanyia kiumbe kipya kiroho katika jina la Yesu Kristo Amen.
..................... ... ............. .......... ......

Kuanzia hapo utaona kuna uwezo unaingia ndani mwako na utashangaa unaweza kuacha au kukataa kutenda dhambi ulizokuwa unatenda mwanzo.
Tafuta msaada zaidi kutoka kwa watu waliokoka kweli na wanaolifata neno la Mungu.
Sasa kwenye hii dua namuomba yesu au mungu? Mana umewachanganya wote.
 
Back
Top Bottom