Katika ukoo wetu mimi ndiye wa kwanza kuwa mwajiriwa wa serikali, jifunze kitu hapa

Katika ukoo wetu mimi ndiye wa kwanza kuwa mwajiriwa wa serikali, jifunze kitu hapa

Sasa umemuelewa alichokiandika Sandali Ali hapo au unapingana nae kwamba kaandika ujinga? Yeye anasema Yesu kampa kazi kampa ajira, yaan anaamisha wale wote wanaosota makanisani kumuomba Mungu ili wafanikiwe kimaisha na hawafanikiwi kwa lolote huku wakijimaliza kutoa Sadaka za kuchangia kujenga makanisa hawana Yesu au hawapo na Yesu? Ila wakibadiri dini kutoka uislma na kuhamia ukristu na kua na Yesu basi watapata kazi na watapata ajira km sio uzuzu ni nini huo?
Ukiwa na Yesu huwezi kuwa masikini.Kuna kwenda kanisani kama hobby,na kuyajua maandiko.Sasa kama wewe unashinda tu kanisani ufanyi Kazi unasubuliwa miujiza bado uyajui maandiko.Maana kufanya Kazi ni ibada.Kutoa sadaka ni agizo na ni ibada pia,kutoa sadaka kuna faida Sana kiroho na kimwili pia kwa muamini.Yesu Kristo ndie chanzo cha positive energy katika maisha yake ya ufanyaji Kazi. Wapo wanaoenda kanisa kama mzoga na wapo wanaoenda kanisa kwa lengo la kumuabudu Mungu. Baada ya ibada ni kutawanyika kapige kazi. Sala na Kazi uenda pamoja.
 
Sawa umeeleweka mkuu kwa hio unamaanisha suluhu ya hayo yote ni kutoka uislamu na kuongia ukristu ili Yesu akupe mafanikio si ndio au umemaanisha nini?

Nataka tusitoke kwenye kiini cha mada kwamba ukitoka kwenye uislamu na ukaingia kwenye ukristu na kumpokea Yesu basi wewe tayari umetoboa maisha na una guarantee ya kufanikiwa kwa lolote 100% bila shida yoyote
Mada ya uislamu na Ukristo inaingiaje hapa.Hizi ni imani na KILA mmoja kwa mapokeo yake,ipi bora ipi sahihi ni kile mmoja alicholishwa,japo uislamu tawi tu la Ukristo kwa maana walioanzisha Ukristo ndio walioanzisha Uislamu,thus Quran imekopi Biblia.
 
Ukiwa na Yesu huwezi kuwa masikini.Kuna kwenda kanisani kama hobby,na kuyajua maandiko.Sasa kama wewe unashinda tu kanisani ufanyi Kazi unasubuliwa miujiza bado uyajui maandiko.Maana kufanya Kazi ni ibada.Kutoa sadaka ni agizo na ni ibada pia,kutoa sadaka kuna faida Sana kiroho na kimwili pia kwa muamini.Yesu Kristo ndie chanzo cha positive energy katika maisha yake ya ufanyaji Kazi. Wapo wanaoenda kanisa kama mzoga na wapo wanaoenda kanisa kwa lengo la kumuabudu Mungu. Baada ya ibada ni kutawanyika kapige kazi. Sala na Kazi uenda pamoja.
Sawa sawa unakuja kwenye point sasa unamaanisha kwamba waislamu hawana ibada au hawaswali swala 5 kuliko wakristu kwamba ukitoka uislamu na ukahamia ukristu tu ndio ufanikiwe kwa kua umemfuata Yesu inamaana kwenye uislamu hakuna ibada? Au kwamba waislamu wanafanya ibada tu hawafanyi kazi? Au waislamu wanafanya kazi tu ila hawafanyi ibada? Are you serious on this? What do you mean by saying that?
 
Sawa sawa unakuja kwenye point sasa unamaanisha kwamba waislamu hawana ibada au hawaswali swala 5 kuliko wakristu kwamba ukitoka uislamu na ukahamia ukristu tu ndio ufanikiwe kwa kua umemfuata Yesu inamaana kwenye uislamu hakuna ibada? Au kwamba waislamu wanafanya ibada tu hawafanyi kazi? Au waislamu wanafanya kazi tu ila hawafanyi ibada? Are you serious on this? What do you mean by saying that?
Kufanikiwa ni mchakato ndugu popote ukifata kanuni za kufanikiwa utafanikiwa pasipo kujali wewe ni Muislamu,ni Mkristo au usiyeamini.
 
Mada ya uislamu na Ukristo inaingiaje hapa.Hizi ni imani na KILA mmoja kwa mapokeo yake,ipi bora ipi sahihi ni kile mmoja alicholishwa,japo uislamu tawi tu la Ukristo kwa maana walioanzisha Ukristo ndio walioanzisha Uislamu,thus Quran imekopi Biblia.
Mimi na-stick na mada iliyopo kwenye huu uzi mkuu, soma tena andiko la Sandali Ali utaelewa, inaonyesha una upeo mdogo wa kufikiri yeye kasema alipotoka kwenye uislamu na kuhamia ukristu na kumpokea Yesu akapata mafanikio huku ukoo wake wote ambao ni waislamu wamebakia kua makapuku yeye kaajiriwa Serikalini, kwa hio tujikite hapo usitoke nje ya mada
 
Kufanikiwa ni mchakato ndugu popote ukifata kanuni za kufanikiwa utafanikiwa pasipo kujali wewe ni Muislamu,ni Mkristo au usiyeamini.
Full Stop sasa inaonekana fikra zako zimepevuka hayo muelekeze huyu Sandali Ali aondokane na hio dhana kwenye ubongo wake
 
Mimi na-stick na mada iliyopo kwenye huu uzi mkuu, soma tena andiko la Sandali Ali utaelewa, inaonyesha una upeo mdogo wa kufikiri yeye kasema alipotoka kwenye uislamu na kuhamia ukristu na kumpokea Yesu akapata mafanikio huku ukoo wake wote ambao ni waislamu wamebakia kua makapuku yeye kaajiriwa Serikalini, kwa hio tujikite hapo usitoke nje ya mada
Yupo sahihi kwa mtazamo wake yeye,kwa maana kupitia nguvu ya Yesu Kristo aliyoitumia imesaidia kuvishinda vizuizi na vikwazo vya kiroho sababu ya maagano ya mababu vilivyopo kwenye ukoo. Nguvu ya Yesu inauwezo wa kuzishinda laana zote ziwe laana za ukoo, ardhi, kabila, mazingira, nchi, nk na kukuweka huru. Hao ndugu zake labda awajafanya kitu kupitia dua ndani ya Quran tukufu Ili waweze kuyatawala mazingira yao.
 
Yupo sahihi kwa mtazamo wake yeye,kwa maana kupitia nguvu ya Yesu Kristo aliyoitumia imesaidia kuvishinda vizuizi na vikwazo vya kiroho sababu ya maagano ya mababu vilivyopo kwenye ukoo. Nguvu ya Yesu inauwezo wa kuzishinda laana zote ziwe laana za ukoo, ardhi, kabila, mazingira, nchi, nk na kukuweka huru. Hao ndugu zake labda awajafanya kitu kupitia dua ndani ya Quran tukufu Ili waweze kuyatawala mazingira yao.
Yaan unamaanisha Qur'an tukufu ina nguvu na Yesu ana nguvu au umemaanisha vipi mkuu? Yaan unakubari kutokukubariana au emu fafanua hapo? Na Sandali Ali akuelewe ili siku nyingine asianzishe mada km hizi apate fundisho nini umekimaanisha?
 
Yaan unamaanisha Qur'an tukufu ina nguvu na Yesu ana nguvu au umemaanisha vipi mkuu? Yaan unakubari kutokukubariana au emu fafanua hapo? Na Sandali Ali akuelewe ili siku nyingine asianzishe mada km hizi apate fundisho nini umekimaanisha?
Mbona tunarudia,yeye katumia jina la Yesu kuishinda nguvu ya mizimu inayoshikilia ukoo usiwe na maendeleo.Yaan amecutt off connection
 
Mbona tunarudia,yeye katumia jina la Yesu kuishinda nguvu ya mizimu inayoshikilia ukoo usiwe na maendeleo.Yaan amecutt off connection
Una cut off vipi hio connection ya roho chafu na uchawi
 
Mbona tunarudia,yeye katumia jina la Yesu kuishinda nguvu ya mizimu inayoshikilia ukoo usiwe na maendeleo.Yaan amecutt off connection
😂😂😂 Mkuu yatosha nisije nikakwambia 'Rudi nyuma yangu Shetani wewe ni kikwazo kwangu', basi yatosha
 
Kulikuwa na minong'ono kuwa ndugu yetu mkubwa ni mchawi na ana roho ya wivu. Mafanikio anataka yawepo ndani kwake tu. Wengine walikuwa mpaka wanakuwa wa kwanza kiwilaya katika mitihani ya dhihaki (mock) darasa la saba.

Ikifika mitihani ya taifa wenzake aliyowaburuza darasani wanapangiwa Mzumbe, Kilakala, Tabora Boys n.k lakini yeye hata shule ya sekondari ya wilaya hafiki. Akibahatika basi atapata kuchaguliwa shule ya ufundi seremala.

Sometimes mtu anafanya usaili wa kwenda jeshi kila kitu kinakaa sawa, mara mambo yanacease mtu anaendelea kuwa fukara.

Brother wetu mmoja alikubalika sana mpaka aliweza kupewa kuwa kaka mkuu kuanzia la nne mpaka siku anamaliza la saba, kwenye michezo ndiyo alikuwa balaa, kila mchezo anaoshiriki lazima afike mkoani na huko mkoani hakuna wa kushindana naye. Leo hii ni maskini kabisa.

Mimi nikiwa darasa la saba nikampokea Yesu na kuokoka. Kwa mara ya kwanza katika ukoo wetu nachaguliwa kwenda sekondari tena shule ya kitaifa si ya kata au wilaya. Nilihakikishiwa kabisa kuwa sitavuka la saba na kutolewa mifano ya wenzangu, lakini Yesu akavunja mipaka mpaka sasa ni mwajiriwa wa serikali.

Nimesoma mpaka chuo kikuu, ndiyo mtu wa kwanza kuwa na degree katika ukoo wetu na ndiyo mtu wa kwanza kuionja sekondari katika Ukoo wetu, na ndiye mtu wa kwanza katika ukoo wetu kuwa Mkristo.

Yesu ndiye kiboko ya uchawi, laana, mikosi na kila hila. Ukimpokea kwa lengo jema ukiamini kuwa yeye ni njia ya kweli na uzima hatakuacha.

Kuna mambo mengi kanitendea ila napenda kwa leo tuishie hapa.
Ubarikiwe.
 
Una cut off vipi hio connection ya roho chafu na uchawi
Amerahisisha maelezo yeye anachozungumzia ni kuendeshewa sala ya toba ya kumpokea yesu na kumkataa shetani na kubatizwa na kuhamia ukristu hio ndio Cut Off anayoisema mkuu,
 
Kwa kipi kampeni za kuhamisha waumini wa kiislamu wahamie ukristu na kuwaaminisha kwamba ukihamia ukristu basi umetoboa maisha ndio kubarikiwa huko?

That's nonsense,
Watu wengine mnamatatizo ya afya ya akili
 
Watu wengine mnamatatizo ya afya ya akili
Wengi wao utawakuta kwa Mwamposa wanaombewa kila siku ili wapone ila hawaponi, wewe ni mmoja wapo? Usiwe km Petro - 'Petro Petro Petro sikia Jogoo hatowika kabla hujanikana mara 3', si kweli kwamba ukihamia ukristu basi umetoboa maisha acheni hizo mentality za kijima
 
Kulikuwa na minong'ono kuwa ndugu yetu mkubwa ni mchawi na ana roho ya wivu. Mafanikio anataka yawepo ndani kwake tu. Wengine walikuwa mpaka wanakuwa wa kwanza kiwilaya katika mitihani ya dhihaki (mock) darasa la saba.

Ikifika mitihani ya taifa wenzake aliyowaburuza darasani wanapangiwa Mzumbe, Kilakala, Tabora Boys n.k lakini yeye hata shule ya sekondari ya wilaya hafiki. Akibahatika basi atapata kuchaguliwa shule ya ufundi seremala.

Sometimes mtu anafanya usaili wa kwenda jeshi kila kitu kinakaa sawa, mara mambo yanacease mtu anaendelea kuwa fukara.

Brother wetu mmoja alikubalika sana mpaka aliweza kupewa kuwa kaka mkuu kuanzia la nne mpaka siku anamaliza la saba, kwenye michezo ndiyo alikuwa balaa, kila mchezo anaoshiriki lazima afike mkoani na huko mkoani hakuna wa kushindana naye. Leo hii ni maskini kabisa.

Mimi nikiwa darasa la saba nikampokea Yesu na kuokoka. Kwa mara ya kwanza katika ukoo wetu nachaguliwa kwenda sekondari tena shule ya kitaifa si ya kata au wilaya. Nilihakikishiwa kabisa kuwa sitavuka la saba na kutolewa mifano ya wenzangu, lakini Yesu akavunja mipaka mpaka sasa ni mwajiriwa wa serikali.

Nimesoma mpaka chuo kikuu, ndiyo mtu wa kwanza kuwa na degree katika ukoo wetu na ndiyo mtu wa kwanza kuionja sekondari katika Ukoo wetu, na ndiye mtu wa kwanza katika ukoo wetu kuwa Mkristo.

Yesu ndiye kiboko ya uchawi, laana, mikosi na kila hila. Ukimpokea kwa lengo jema ukiamini kuwa yeye ni njia ya kweli na uzima hatakuacha.

Kuna mambo mengi kanitendea ila napenda kwa leo tuishie hapa.
Watu hawaelewi tu. Ukiwa na Yesu kuna ushindi fulani unaupata. Hakuna kitu kikubwa kama kuwa na ushindi dhidi ya dhambi na huu haupatikani kwa nabii, mtume au dini yoyote, ni kwa Yesu pekee. Na kuupata ni rahisi.

Kwanza unaamua kwa dhati ya moyo kuwa unataka kuacha dhambi siyo kwa utani Bali kwa kudhamiria kabisaa. Halafu tamka maneno yafuatayo.
.............................................
Mungu wangu nakuja mbele zako nikikiri kuwa Mimi ni mwenye dhambi tangu kuzaliwa. Nimeamua kwa dhati ya moyo wangu kuacha dhambi lakini kwa nguvu zangu siwezi. Naomba Yesu Kristo ulifute jina langu katika vitabu vya hukumu na uliandike katika kitabu Cha uzima, unisamehe dhambi zangu zote, unibadilishe na kunifanyia kiumbe kipya kiroho katika jina la Yesu Kristo Amen.
..................... ... ............. .......... ......

Kuanzia hapo utaona kuna uwezo unaingia ndani mwako na utashangaa unaweza kuacha au kukataa kutenda dhambi ulizokuwa unatenda mwanzo.
Tafuta msaada zaidi kutoka kwa watu waliokoka kweli na wanaolifata neno la Mungu.
 
Kulikuwa na minong'ono kuwa ndugu yetu mkubwa ni mchawi na ana roho ya wivu. Mafanikio anataka yawepo ndani kwake tu. Wengine walikuwa mpaka wanakuwa wa kwanza kiwilaya katika mitihani ya dhihaki (mock) darasa la saba.

Ikifika mitihani ya taifa wenzake aliyowaburuza darasani wanapangiwa Mzumbe, Kilakala, Tabora Boys n.k lakini yeye hata shule ya sekondari ya wilaya hafiki. Akibahatika basi atapata kuchaguliwa shule ya ufundi seremala.

Sometimes mtu anafanya usaili wa kwenda jeshi kila kitu kinakaa sawa, mara mambo yanacease mtu anaendelea kuwa fukara.

Brother wetu mmoja alikubalika sana mpaka aliweza kupewa kuwa kaka mkuu kuanzia la nne mpaka siku anamaliza la saba, kwenye michezo ndiyo alikuwa balaa, kila mchezo anaoshiriki lazima afike mkoani na huko mkoani hakuna wa kushindana naye. Leo hii ni maskini kabisa.

Mimi nikiwa darasa la saba nikampokea Yesu na kuokoka. Kwa mara ya kwanza katika ukoo wetu nachaguliwa kwenda sekondari tena shule ya kitaifa si ya kata au wilaya. Nilihakikishiwa kabisa kuwa sitavuka la saba na kutolewa mifano ya wenzangu, lakini Yesu akavunja mipaka mpaka sasa ni mwajiriwa wa serikali.

Nimesoma mpaka chuo kikuu, ndiyo mtu wa kwanza kuwa na degree katika ukoo wetu na ndiyo mtu wa kwanza kuionja sekondari katika Ukoo wetu, na ndiye mtu wa kwanza katika ukoo wetu kuwa Mkristo.

Yesu ndiye kiboko ya uchawi, laana, mikosi na kila hila. Ukimpokea kwa lengo jema ukiamini kuwa yeye ni njia ya kweli na uzima hatakuacha.

Kuna mambo mengi kanitendea ila napenda kwa leo tuishie hapa.
AMEN, PHILIMONE ONE SIX.Umebarikiwa ww na udhao wa kwako, na nafsi ya kwako iendelee kumngoja bwana kuliko walinzi wangojavyo asubuhi.
 
Back
Top Bottom