Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo huzuni inachukua mda gani?au hamna muongozo kwenye mafundisho yenu kama Uisilamu?Ni mpaka huzuni itakapo kwisha,unaweza kuoa/kuolewa
Hiyo shelia mnaitoa wapi?kwenye biblia au maneno ya kiongozi?Kwa utaratibu wa Dini ya kikristo, km walifunga ndoa ya kanisani baada ya kifo cha m1, yule anae baki muda huo huo anakua huru kuolewa tena.
Ila kwa taratibu za kwetu, mke ndo ana amua aolewe tena au abaki kuwa mjane, km ana amua kuolewa bas anatakiwa kukaa mwaka m1, ndo aolewe tena.
Hiyo sheria mmeitoa wapi?Inategemea yeye mwenyewe hata baada ya siku tatu ni sawa ndoa ya kikristo mmja akifa aliyebaki hai yupo huru kuolewa au kuoa tena wakati wowote ,haya Mengine inategemea na busara zake na tamaduni za eneo husika .Ili kuondoa baadhi ya dhana mbaya zinazoweza kujengeka Kwa ndugu wa mume ,Kwa binafsi yangu sio mbaya Kwa mtu kusubiri Kwa walau hata mwaka mmja Ili kuweka mambo sawa mfano mirath.Na vile vile wewe unayetaka kuolewa muda mfupi huyo mumeo mpya umefahamians nae lini?umezijua tabia zake?uchumba unahitaji angalau hata miezi 6 Ili upate fursa ya kumsoma mwenzako vizuri
Paragraph ya 2, ni taratibu za Kabila letu.Hiyo shelia mnaitoa wapi?kwenye biblia au maneno ya kiongozi?
Asee mila kiafrika nzuri sana bwana....em nisaidie kitabu chao nikisome ndugu yanguKwa mila hizo za kizungu na kiarabu kwa kweli mie sifahamu,
Ila kwa Mila zangu za kiafrika anatakiwa akae kwao mume hamna tena kuolewa labda arithiwe na ndugu wa mume wako.
Wewe ni muumini?Paragraph ya 2, ni taratibu za Kabila letu.
HapanaWewe ni muumini?
Hivi maswala ya dini, yanahitaji kuona au Bibilia ndiyo hutoa mwongizo?Upande wangu sijawahi kuona wanawake wakikristo wajaoleea Tena wakifiwa labda wengine waje kutoa maelezo.
Akivunja ungoNaomba kuuliza kwa wakristo,
Mwanamke anaruhusiwa kuolewa baada ya muda gani toka kufiwa na mume wake au baada ya kuachwa? Maana kwa waisilamu pindi mume akifa mwanamke hukaa miezi 4 na siku 10, na taraka hukaa mpaka aingie mwezini mara tatu.
Hizo siyo mila za kiafrika sema mila za kabila lenu, ama ukoo wenu.Kwa mila hizo za kizungu na kiarabu kwa kweli mie sifahamu,
Ila kwa Mila zangu za kiafrika anatakiwa akae kwao mume hamna tena kuolewa labda arithiwe na ndugu wa mume wako.
Na kama marehemu alimuachia mimba ya wiki mtoto atakayezaliwa atakuwa wa nani?Hata kesho yake.
Simu mume anakufa saa hiyohiyo yuko qualified kuolewa.
Mengine ni utamaduni tu
Mtoto ni wa marehemu. Huyu anakuwa baba mlezi tu.Na kama marehemu alimuachia mimba ya wiki mtoto atakayezaliwa atakuwa wa nani?
1 Wakorintho 7:8-9Naomba kuuliza kwa wakristo,
Mwanamke anaruhusiwa kuolewa baada ya muda gani toka kufiwa na mume wake au baada ya kuachwa? Maana kwa waisilamu pindi mume akifa mwanamke hukaa miezi 4 na siku 10, na taraka hukaa mpaka aingie mwezini mara tatu.