Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Baada ya arobaini ya mumewe kuisha ruksa kuolewa au kunyanduliwa kiroho safi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba kuuliza kwa wakristo,
Mwanamke anaruhusiwa kuolewa baada ya muda gani toka kufiwa na mume wake au baada ya kuachwa? Maana kwa waisilamu pindi mume akifa mwanamke hukaa miezi 4 na siku 10, na taraka hukaa mpaka aingie mwezini mara tatu.
Haizungumzii mjane, huyo ni paulo anazungumzia ambao hawajaolewa,halafu kwa kukusaidia usifuate mafundisho ya paulo huyo alikuwa binadamu kama wewe na hakuwahi kuwa mwanafunzi wa Yesu, ni kama mwamposa vile1 Wakorintho 7:8-9
[8]Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo.
I say therefore to the unmarried and widows, It is good for them if they abide even as I.
[9]Lakini ikiwa hawawezi kujizuia, na waoe; maana ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa.
But if they cannot contain, let them marry: for it is better to marry than to burn.
Akijiona pale ambapo hawezi jizuia basi aolewe au aoe.
Ina maana neno "wajane" hujaiona?Haizungumzii mjane, huyo ni paulo anazungumzia ambao hawajaolewa,halafu kwa kukusaidia usifuate mafundisho ya paulo huyo alikuwa binadamu kama wewe na hakuwahi kuwa mwanafunzi wa Yesu, ni kama mwamposa vile
Mimi namuabudu Mungu wa Yesu Kristo bro, huyo mwamposa simfatilii kabisa.Haizungumzii mjane, huyo ni paulo anazungumzia ambao hawajaolewa,halafu kwa kukusaidia usifuate mafundisho ya paulo huyo alikuwa binadamu kama wewe na hakuwahi kuwa mwanafunzi wa Yesu, ni kama mwamposa vile
Ni kwanini miezi mitatuNaomba kuuliza kwa wakristo,
Mwanamke anaruhusiwa kuolewa baada ya muda gani toka kufiwa na mume wake au baada ya kuachwa? Maana kwa waisilamu pindi mume akifa mwanamke hukaa miezi 4 na siku 10, na taraka hukaa mpaka aingie mwezini mara tatu.
Naona umegoma kumuelewaYaani maana yake wakifiwa hawaolewi tena
Kifungu cha DP WorldTuwekee kifungu kwa faida ya wote
Sasa atajuaje kama mimba ya siku moja au wiki ni ya marehemu sababu hakuna kiMtoto ni wa marehemu. Huyu anakuwa baba mlezi tu.
yaani zamani kulikuwa hakuna vpimo vya mimba, kwa hiyo hicho kipindi cha miezi 4 na siku 10 kama mwanamke alinasa hata mimba ya saa moja kabla mme wake ajafariki, basi kwa kipindi hicho anachosubiri basi kama mimba iliingia basi kitumbo kitajitokezaNi kwanini miezi mitatu
Kwanini miezi 4 na siku 10
Hapo Mungu ndio atajua ila wote muoaji na muolewaji hawatajua. Kikubwa mtoto ni zawadi na ni mali ya Mungu anayowapa wanadamuSasa atajuaje kama mimba ya siku moja au wiki ni ya marehemu sababu hakuna ki
yaani zamani kulikuwa hakuna vpimo vya mimba, kwa hiyo hicho kipindi cha miezi 4 na siku 10 kama mwanamke alinasa hata mimba ya saa moja kabla mme wake ajafariki, basi kwa kipindi hicho anachosubiri basi kama mimba iliingia basi kitumbo kitajitokeza
Nimechekaa sana😁😁😁😁Hapo Mungu ndio atajua ila wote muoaji na muolewaji hawatajua. Kikubwa mtoto ni zawadi na ni mali ya Mungu anayowapa wanadamu
Mkuu kuna wanawake huweza kukaa na ujauzito bila kujulikana utasikia tu kakimbizwa kwenda kujifunguaSasa atajuaje kama mimba ya siku moja au wiki ni ya marehemu sababu hakuna ki
yaani zamani kulikuwa hakuna vpimo vya mimba, kwa hiyo hicho kipindi cha miezi 4 na siku 10 kama mwanamke alinasa hata mimba ya saa moja kabla mme wake ajafariki, basi kwa kipindi hicho anachosubiri basi kama mimba iliingia basi kitumbo kitajitokeza