Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
Habari zenu wakuu natumahi mu wazima wa afya.
Leo nimekuja na hili baada ya kuona matukio yakufanana yahusishayo Nguo.
TUKIO LA KWANZA (1):
Kuna jamaa yangu tulifahamiana nae yeye ni ndugu yake na binamu yangu. Yeye ni Upanga Boy (Mzaliwa wa kata ya Upanga wilaya ya Ilala Mkoa wa Dar es Salaam). Back to the story, yeye alikumbwa na tukio (la kishirikina)ambalo lilimfanya awe cha pombe sana, afu michongo sifuri. Ali-turn 40 akiwa home kwao Upanga.
Baada ya jamaa huyo kuwa tatizo katika familia na ukoo kwa muda mrefu. Mwaka 2018 ilikuja bainika kuwa jamaa kalogwa na Shangazi yake wa Singida, Na moja ya " Link " iliyotumika ni nguo (shati) ya jamaa. Jamaa alilitambua shati lake lililopotea siku nyingi akiwa Upanga ila siku hiyo ililiona likiwa Manyoni Singida likiwa limechomwa chomwa sindano, pia likiwa limenyunyuziwa dawa na kufungungwa Power Banks (Ilizi) mbalimbali zenye rangi tofauti tofauti ndani ya chumba ambacho kina giza nene na hakuna mtu uruhusiwa kuingia.
Vyote hivyo vilitosha kuhahakikisha mambo ya jamaa hayaendi, iyo mpaka umauti ulipomkuta 2019 kwenye kilabu kimoja cha pombe maeneo ya vigunguti.
TUKIO LA PILI (2):
Tukio la pili nililisoma humu JamiiForums.
Kuna jamaa yeye ni mzawa na mkazi wa jiji la Dar, Yeye alikuwa ana mpango South Africa.
Alifanya mipango yake kwa siri sana mpaka kufika Mbeya bila familia yake kujua. Kwa bahati mbaya alimtonya ndugu yake hapo Mbeya, Ndugu huyo akawa-informer kwa familia yake ilipo Dar. Mama yake mzazi hakutaka mwanae aende South Africa ivyo ikambidi aende kwa mtaalam amsaidie.
Mtaalam akaagiza Mama Mzazi wa jamaa alete nguzo ya mshikaji afanye mambo. Mtaalam baada ya kukabidhiwa nguo hiyo alifanya mambo kwa ustadi wakutosha.
Uwezi amini bhana yule jamaa ndani ya muda mfupi tu alibadili mawazo "completely" na kurudi kwao Temeke.
Kwako Mshana Jr na wajuvi wengine wenye nyota zenu na mwezi
Tupeni chemistry ya Nguo kwenye ulozi.
Uandishi tuvumiliane tu, hamna namna.
Leo nimekuja na hili baada ya kuona matukio yakufanana yahusishayo Nguo.
TUKIO LA KWANZA (1):
Kuna jamaa yangu tulifahamiana nae yeye ni ndugu yake na binamu yangu. Yeye ni Upanga Boy (Mzaliwa wa kata ya Upanga wilaya ya Ilala Mkoa wa Dar es Salaam). Back to the story, yeye alikumbwa na tukio (la kishirikina)ambalo lilimfanya awe cha pombe sana, afu michongo sifuri. Ali-turn 40 akiwa home kwao Upanga.
Baada ya jamaa huyo kuwa tatizo katika familia na ukoo kwa muda mrefu. Mwaka 2018 ilikuja bainika kuwa jamaa kalogwa na Shangazi yake wa Singida, Na moja ya " Link " iliyotumika ni nguo (shati) ya jamaa. Jamaa alilitambua shati lake lililopotea siku nyingi akiwa Upanga ila siku hiyo ililiona likiwa Manyoni Singida likiwa limechomwa chomwa sindano, pia likiwa limenyunyuziwa dawa na kufungungwa Power Banks (Ilizi) mbalimbali zenye rangi tofauti tofauti ndani ya chumba ambacho kina giza nene na hakuna mtu uruhusiwa kuingia.
Vyote hivyo vilitosha kuhahakikisha mambo ya jamaa hayaendi, iyo mpaka umauti ulipomkuta 2019 kwenye kilabu kimoja cha pombe maeneo ya vigunguti.
TUKIO LA PILI (2):
Tukio la pili nililisoma humu JamiiForums.
Kuna jamaa yeye ni mzawa na mkazi wa jiji la Dar, Yeye alikuwa ana mpango South Africa.
Alifanya mipango yake kwa siri sana mpaka kufika Mbeya bila familia yake kujua. Kwa bahati mbaya alimtonya ndugu yake hapo Mbeya, Ndugu huyo akawa-informer kwa familia yake ilipo Dar. Mama yake mzazi hakutaka mwanae aende South Africa ivyo ikambidi aende kwa mtaalam amsaidie.
Mtaalam akaagiza Mama Mzazi wa jamaa alete nguzo ya mshikaji afanye mambo. Mtaalam baada ya kukabidhiwa nguo hiyo alifanya mambo kwa ustadi wakutosha.
Uwezi amini bhana yule jamaa ndani ya muda mfupi tu alibadili mawazo "completely" na kurudi kwao Temeke.
Kwako Mshana Jr na wajuvi wengine wenye nyota zenu na mwezi
Tupeni chemistry ya Nguo kwenye ulozi.
Uandishi tuvumiliane tu, hamna namna.