Katika ulimwengu wa kishirikina, nguo yako ni wewe

Katika ulimwengu wa kishirikina, nguo yako ni wewe

Sa 7 mchana

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2018
Posts
5,214
Reaction score
10,276
Habari zenu wakuu natumahi mu wazima wa afya.

Leo nimekuja na hili baada ya kuona matukio yakufanana yahusishayo Nguo.

TUKIO LA KWANZA (1):
Kuna jamaa yangu tulifahamiana nae yeye ni ndugu yake na binamu yangu. Yeye ni Upanga Boy (Mzaliwa wa kata ya Upanga wilaya ya Ilala Mkoa wa Dar es Salaam). Back to the story, yeye alikumbwa na tukio (la kishirikina)ambalo lilimfanya awe cha pombe sana, afu michongo sifuri. Ali-turn 40 akiwa home kwao Upanga.

Baada ya jamaa huyo kuwa tatizo katika familia na ukoo kwa muda mrefu. Mwaka 2018 ilikuja bainika kuwa jamaa kalogwa na Shangazi yake wa Singida, Na moja ya " Link " iliyotumika ni nguo (shati) ya jamaa. Jamaa alilitambua shati lake lililopotea siku nyingi akiwa Upanga ila siku hiyo ililiona likiwa Manyoni Singida likiwa limechomwa chomwa sindano, pia likiwa limenyunyuziwa dawa na kufungungwa Power Banks (Ilizi) mbalimbali zenye rangi tofauti tofauti ndani ya chumba ambacho kina giza nene na hakuna mtu uruhusiwa kuingia.

Vyote hivyo vilitosha kuhahakikisha mambo ya jamaa hayaendi, iyo mpaka umauti ulipomkuta 2019 kwenye kilabu kimoja cha pombe maeneo ya vigunguti.

TUKIO LA PILI (2):
Tukio la pili nililisoma humu JamiiForums.

Kuna jamaa yeye ni mzawa na mkazi wa jiji la Dar, Yeye alikuwa ana mpango South Africa.

Alifanya mipango yake kwa siri sana mpaka kufika Mbeya bila familia yake kujua. Kwa bahati mbaya alimtonya ndugu yake hapo Mbeya, Ndugu huyo akawa-informer kwa familia yake ilipo Dar. Mama yake mzazi hakutaka mwanae aende South Africa ivyo ikambidi aende kwa mtaalam amsaidie.

Mtaalam akaagiza Mama Mzazi wa jamaa alete nguzo ya mshikaji afanye mambo. Mtaalam baada ya kukabidhiwa nguo hiyo alifanya mambo kwa ustadi wakutosha.

Uwezi amini bhana yule jamaa ndani ya muda mfupi tu alibadili mawazo "completely" na kurudi kwao Temeke.

Kwako Mshana Jr na wajuvi wengine wenye nyota zenu na mwezi

Tupeni chemistry ya Nguo kwenye ulozi.

Uandishi tuvumiliane tu, hamna namna.
 
Hata mm nilirudishwa kwa Stail hiyo! Kutoka Canada, ( nilikuja kujua baadae sana )Pia yupo baba wa msanii mmoja wa mchekeshaji maarufu nae wamemtia uchizi kwa ungese huo huo, mzee alikuwa don pale karachi, malay* anakuroga, ndugu wanakuroga, mke anakuroga, utatokea wapi
 
Hata mm nilirufishwa kwa Stail hiyo! Kutoka Canada! Pia yupo baba wa msanii mmoja wa mchekeshaji maarufu nae wamemtia uchizi kwa ungese huo huo, mzee alikuwa don pale karachi, malay* anakuroga, ndugu wanakuroga, mke anakuroga, utatokea wapi
Mimi kuna kipindi zilipotea sana nguo zangu alafu zinapotelea kabatini na wakati naishi peke yangu. Kuna jeans ilipotea ikiwa mpya nimevaa week moja tu nikaweka kabatini haikuonekana mpaka leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kuna kipindi zilipotea sana nguo zangu alafu zinapotelea kabatini na wakati naishi peke yangu. Kuna jeans ilipotea ikiwa mpya nimevaa week moja tu nikaweka kabatini haikuonekana mpaka leo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee unaweza kurudishwa na mzazi kabisa, ooh tulijua utakufa huko ama utatokomea huko, unajua kurudi kizombi? Unarudi unatelekeza familia huko? Unajikuta tu upo Bongo? Yaani zile Hustle za miaka kadhaa kupambana utoboe uwabebe na wengine zinamalizwa na mpuuzi mmoja kwa nguo zako za zamani tu? Ngoja nikae kimya maana temperature inapanda.
 
Mzee unaweza kurudishwa na mzazi kabisa, ooh tulijua utakufa huko ama utatokomea huko, unajua kurudi kizombi? Unarudi unatelekeza familia huko? Unajikuta tu upo Bongo? Yaani zile Hustle za miaka kadhaa kupambana utoboe uwabebe na wengine zinamalizwa na mpuuzi mmoja kwa nguo zako za zamani tu? Ngoja nikae kimya maana temperature inapanda.
[emoji23]mambo ya uswahili ni tabu sana mkuu. Mashangazi nao sio wazuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mateso haswa.kuna mtaa niliishi mwaka jana walininyoa nywele usiku mpaka leo zimegoma kuota sehemu fulani nikawa nashangawa na watu ikabidi nipige para

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
So mkuu ukaona mambo yasiwe mengi bora upige para tu kuwakomoa, dah hata mimi hao watu wamecheza na maisha yangu mpaka kidgo nitupwe jera mahala flani nikala nduki kukimbia kesi, kumbe kuna likiumbe hai moja liko behind
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
So mkuu ukaona mambo yasiwe mengi bora upige para tu kuwakomoa, dah hata mimi hao watu wamecheza na maisha yangu mpaka kidgo nitupwe jera mahala flani nikala nduki kukimbia kesi, kumbe kuna likiumbe hai moja liko behind
[emoji38]mkuu ilikua kila mtu ninayekutana naye anauliza nywele ziko wapi. Kwenye kesi hapo sasa ndio sio powa mzee. Watu ni wabaya sana mkuu,bora ulikimbia maana sahivi ungekuwa unapangiwa muda wa kulala huko jera

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom