Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Mkuu wahi kwa mwanasaikolojia, una dalili za kuingia milembe, ukichelewa tunakupoteza.sasa naanza kuamini nimerogwa nimegundua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wahi kwa mwanasaikolojia, una dalili za kuingia milembe, ukichelewa tunakupoteza.sasa naanza kuamini nimerogwa nimegundua.
Mkuu viliibwa vikiwa kabatini na kabati huwa na lock. Mlangoni pia huwa nafunga na getini kuna mlinziMkuu watakuwa vibaka 'walikupiga' au uliisahau kwa mchepuko wako.
Aende moja kwa moja kwa wataalam.Mkuu wahi kwa mwanasaikolojia, una dalili za kuingia milembe, ukichelewa tunakupoteza.
almost 50, vp wewe unaamini mambo ya kishirikinaUna miaka mingapi?
Umri je ?almost 50, vp wewe unaamini mambo ya kishirikina
mbona nishakujibuUmri je ?
Umejibu miakambona nishakujibu
tupe procedure za kufanya meditationAmna mkuu, ukistukia mchongo, unajipanga upya muhimu ni kuusoma mchezo, ukitaka kujua unaishije waangalie sana waliokuzunguka utajua tu. Unaweza kujua upo sawa kumbe ni kinyume chake, meditation inasaidia sana
ilikuaje mzee?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
So mkuu ukaona mambo yasiwe mengi bora upige para tu kuwakomoa, dah hata mimi hao watu wamecheza na maisha yangu mpaka kidgo nitupwe jera mahala flani nikala nduki kukimbia kesi, kumbe kuna likiumbe hai moja liko behind
uchawi ni game ya Siri...kimya kimyaHalafu Kuna watoto wenye maziwa kwenye meno wanakuambia uchawi hamna....ihiii...dah...huwa nashangaa tu.....watu wanapigana pin daily
jumlisha roho mbayaNa wachawi wengine wapo hapahapa wanasoma commets kabisa na kushusha matusi ya haja.
Naskia sifa kuu ya mchawi ni unafki.
uchawi upo ngoja yakukuteHakuna uchawi,hakuma mchawi ,hizo ni imani tu ila in reality ni uongo mtupu.mtu mwenye mawazo ya kishirikina mpaka dunia ya sasa huyo ni mpuuzi
[emoji1533][emoji1545][emoji1545][emoji1545]nakuja hapa jioni nikiwa kwenye utulivu mzuriHabari zenu wakuu natumahi mu wazima wa afya.
Leo nimekuja na hili baada ya kuona matukio yakufanana yahusishayo Nguo.
TUKIO LA KWANZA (1):
Kuna jamaa yangu tulifahamiana nae yeye ni ndugu yake na binamu yangu. Yeye ni Upanga Boy (Mzaliwa wa kata ya Upanga wilaya ya Ilala Mkoa wa Dar es Salaam). Back to the story, yeye alikumbwa na tukio (la kishirikina)ambalo lilimfanya awe cha pombe sana, afu michongo sifuri. Ali-turn 40 akiwa home kwao Upanga.
Baada ya jamaa huyo kuwa tatizo katika familia na ukoo kwa muda mrefu. Mwaka 2018 ilikuja bainika kuwa jamaa kalogwa na Shangazi yake wa Singida, Na moja ya " Link " iliyotumika ni nguo (shati) ya jamaa. Jamaa alilitambua shati lake lililopotea siku nyingi akiwa Upanga ila siku hiyo ililiona likiwa Manyoni Singida likiwa limechomwa chomwa sindano, pia likiwa limenyunyuziwa dawa na kufungungwa Power Banks (Ilizi) mbalimbali zenye rangi tofauti tofauti ndani ya chumba ambacho kina giza nene na hakuna mtu uruhusiwa kuingia.
Vyote hivyo vilitosha kuhahakikisha mambo ya jamaa hayaendi, iyo mpaka umauti ulipomkuta 2019 kwenye kilabu kimoja cha pombe maeneo ya vigunguti.
TUKIO LA PILI (2):
Tukio la pili nililisoma humu JamiiForums.
Kuna jamaa yeye ni mzawa na mkazi wa jiji la Dar, Yeye alikuwa ana mpango South Africa.
Alifanya mipango yake kwa siri sana mpaka kufika Mbeya bila familia yake kujua. Kwa bahati mbaya alimtonya ndugu yake hapo Mbeya, Ndugu huyo akawa-informer kwa familia yake ilipo Dar. Mama yake mzazi hakutaka mwanae aende South Africa ivyo ikambidi aende kwa mtaalam amsaidie.
Mtaalam akaagiza Mama Mzazi wa jamaa alete nguzo ya mshikaji afanye mambo. Mtaalam baada ya kukabidhiwa nguo hiyo alifanya mambo kwa ustadi wakutosha.
Uwezi amini bhana yule jamaa ndani ya muda mfupi tu alibadili mawazo "completely" na kurudi kwao Temeke.
Kwako Mshana Jr na wajuvi wengine wenye nyota zenu na mwezi
Tupeni chemistry ya Nguo kwenye ulozi.
Uandishi tuvumiliane tu, amna namna.
Nisaidie namna ya kufanya meditation hiyo unayozungumziaAmna mkuu, ukistukia mchongo, unajipanga upya muhimu ni kuusoma mchezo, ukitaka kujua unaishije waangalie sana waliokuzunguka utajua tu. Unaweza kujua upo sawa kumbe ni kinyume chake, meditation inasaidia sana
Wivu wa kijinga pia.jumlisha roho mbaya